Liwagu JF-Expert Member Joined Jan 25, 2017 Posts 5,593 Reaction score 6,754 Nov 14, 2022 #61 Nzie ya Mana said: Majizi makubwa yakiongozwa na yule kichaa jiwe! Click to expand... Jiwe alikuwa ccm rangi tu, labda kama hujitambui ndio unaweza kushindwa kumtofautisha jiwe na hayo ma ccm.
Nzie ya Mana said: Majizi makubwa yakiongozwa na yule kichaa jiwe! Click to expand... Jiwe alikuwa ccm rangi tu, labda kama hujitambui ndio unaweza kushindwa kumtofautisha jiwe na hayo ma ccm.
Rais wa Matajiri JF-Expert Member Joined Sep 14, 2018 Posts 1,522 Reaction score 643 Nov 14, 2022 #62 Kennedy said: Hali Tete Lakini Wanakwenda Kukaa Kuongelea Siyo Ya Wananchi Wanakwenda Kula Keki Ya Upako, Ili Wananchi Tuzidi Kupumbazika Click to expand... Hali tete nyumbani kwako nani kakuchagua kuwa Msemaji wetu?
Kennedy said: Hali Tete Lakini Wanakwenda Kukaa Kuongelea Siyo Ya Wananchi Wanakwenda Kula Keki Ya Upako, Ili Wananchi Tuzidi Kupumbazika Click to expand... Hali tete nyumbani kwako nani kakuchagua kuwa Msemaji wetu?
T TrioNeTwork JF-Expert Member Joined Aug 7, 2022 Posts 444 Reaction score 382 Nov 14, 2022 #63 mapesa yamejaa said: Ndiyo wanachoweza kwa sasa.mambo ya msingi kama huduma ya maji Dar es salaam vimewashinda.Lakini hivyo vikongamano vya kupeana posho ndiyo wanapenda.Hii awamu ni shida tupu Click to expand... Kwani wao wanaleta mvua?
mapesa yamejaa said: Ndiyo wanachoweza kwa sasa.mambo ya msingi kama huduma ya maji Dar es salaam vimewashinda.Lakini hivyo vikongamano vya kupeana posho ndiyo wanapenda.Hii awamu ni shida tupu Click to expand... Kwani wao wanaleta mvua?
Yoda JF-Expert Member Joined Jul 22, 2018 Posts 48,475 Reaction score 70,102 Nov 14, 2022 #64 Limia meno[emoji16] Stroke said: Hali ya uchumi ni mbaya mno. Click to expand...
Yoda JF-Expert Member Joined Jul 22, 2018 Posts 48,475 Reaction score 70,102 Nov 14, 2022 #65 Usipofanya kazi vyuma sio vitakaza tu, vitavunjika kabisa[emoji16] Stroke said: Hali ya uchumi ni mbaya mno. Click to expand...
Usipofanya kazi vyuma sio vitakaza tu, vitavunjika kabisa[emoji16] Stroke said: Hali ya uchumi ni mbaya mno. Click to expand...
T TrioNeTwork JF-Expert Member Joined Aug 7, 2022 Posts 444 Reaction score 382 Nov 15, 2022 #66 narogo said: Mngekuwa na akili nyie CCM msingekuwa mnajibu chochote kuhusu wizi kwenye chaguzi zetu,mana ni jambo lilo waza sana! Ni bora muendelee na mapambio tu.... Click to expand... Unataka hoja za CCM zijibiwe na nani?
narogo said: Mngekuwa na akili nyie CCM msingekuwa mnajibu chochote kuhusu wizi kwenye chaguzi zetu,mana ni jambo lilo waza sana! Ni bora muendelee na mapambio tu.... Click to expand... Unataka hoja za CCM zijibiwe na nani?