Rais Samia kuongoza CC ya CCM leo, macho na masikio ya Watanzania ni majina ya Walioteuliwa kugombea nafasi za Mkoa na Taifa

Mngekuwa na akili nyie CCM msingekuwa mnajibu chochote kuhusu wizi kwenye chaguzi zetu,mana ni jambo lilo waza sana!

Ni bora muendelee na mapambio tu....
Unataka hoja za CCM zijibiwe na nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…