BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 377
- 435
Wao wanafanya vikao, NCCR-Mageuzi wanazuiwa. Wafia wote kwenye jengo humo liwaangukieLeo Kamati Kuu ya CCM kukutana Dodoma chini ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan.
View attachment 1931522
Leo Kamati Kuu ya CCM kukutana Dodoma chini ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan.
View attachment 1931522
vp wana kibali cha polisi maana wasije wakazuiwa kama wenza nccr-mageuzi ikawa aibuKila la heri kwa chama bora zaidi barani Afrika....
Siempre CCM💪
#NchiKwanza
Gwajima mtovu wa nidhamu,atimuliwe.
Pole pole pia.....
Usitegemee jipya !!!Leo ndio tutajua hatma ya Gwajima, Pelepole na Jerry Slaa.
Labda sio ccmGwajima mtovu wa nidhamu,atimuliwe.
Pole pole pia.....