Rais Samia kuongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM leo Jijini Dodoma

Rais Samia kuongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM leo Jijini Dodoma

Kila la heri kwa chama bora zaidi barani Afrika....

Siempre CCM[emoji123]

#NchiKwanza
giphy.gif
 
Double standards!
Where is Corona?
Will the police come and stop the meeting plus arrest some of you?
CCM- son of a bitch
 
Wengine kufanya vikao ni uhaini, ila wao ruksa.

Walaniwe na kikao chao.
 
Ni nchi gani yenye rais ambaye ni mwenyekiti wa chama ukiacha Tanzania?
 
Wao wanafanya vikao, NCCR-Mageuzi wanazuiwa. Wafia wote kwenye jengo humo liwaangukie

Dua za kuku hizi
Umeuliza kwanini walizuiliwa kufanya wakati huko Chadema wameruhusiwa kufanya?!! Au kwakuwa CCM ndio mnaiona Mbele yenu?.
 
Leo nilipata taarifa atakua Mwanza kumbe walibadili
 
Kunawatu wanaenda kusutwa leo, kisha wanatimuliwa kwa kukosa adabu...😎
Kukosa adabu ipi kwa mfano!! Gwajima yuko very honest!! Wengi husema hadharani vitu ambavyo wenyewe hawaviamini lakini wanahisi mwenyekiti wao wa kijani anaviamini!! Kwa hiyo wanasema vitu kwa unafiki huku wakidhani mwenyekiti anapenda vitu hivyo. Gwajima yeye anasema hadharani vitu anavyoviamini bila kujali nani anaamini nini!! My personal conviction is that Gwajima deserves to be our next president come 2030!!
 
Back
Top Bottom