Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,mama wa shoka , shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.
Hii leo muda na Majira ya saa tano asubuhi atafanya tukio zito sana lenye maslahi mapana kwa Taifa letu na lenye kuonyesha hali nzuri na yenye Matumaini na ustawi mzuri wa uchumi wetu.
Ni tukio la kupokea Gawio na michango kutoka mashirika na taasisi mbalimbali za umma. Ambapo zitatoa kwa serikali Gawio na michango kutokana na faida iliyopatikana.,inayotokana na mazingira wezeshi na mazuri yaliyowekwa na kuboreshwa na serikali ya Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia. Ni Gawio na Michango halali na siyo Gawio la kulazimishwa au kupika Takwimu.
Ni Gawio na michango inayoonesha na kutoa picha na taswira ya kuongezeka kwa ufanisi katika uendeshaji wa taasisi na mashirika ya umma, hasa baada ya maelekezo Mazito Sanaa ya Mheshimiwa Rais yakutaka kuongezwa ufanisi na ubunifu kwa mashirika na taasisi zote za umma. Ni gawio na Michango inayoonyesha muelekeo mzuri wa kuondoa hasara kwa mashirika na taasisi za umma.lakini pia kuonyesha kuanza kuwa mashirika yenye faida na tija badala ya kuwa mashirika Mzigo ,tegemezi na kupe kwa serikali na kodi za watanzania.
Tutarajie hotuba nzito sana kutoka kwa Amiri Jeshi mkuu Daktari Samia Suluhu Hasssan,yenye kutoa muongoza na Dira pamoja na maelekezo kwa Masuala mbalimbali Mtambuka. Tukio hilo litakuwa live kupitia vyombo vyote vya habari hapa Nchini pamoja na mitandao yote ya kijamii.usipange kukosa wala usisubiri kuhadithiwa maana utakuwa umekosa mambo mengi sana na utajuta sana maishani mwako. Andika historia yako mwenyewe kwa kufuatilia tukio la leo.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mams ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,mama wa shoka , shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.
Hii leo muda na Majira ya saa tano asubuhi atafanya tukio zito sana lenye maslahi mapana kwa Taifa letu na lenye kuonyesha hali nzuri na yenye Matumaini na ustawi mzuri wa uchumi wetu.
Ni tukio la kupokea Gawio na michango kutoka mashirika na taasisi mbalimbali za umma. Ambapo zitatoa kwa serikali Gawio na michango kutokana na faida iliyopatikana.,inayotokana na mazingira wezeshi na mazuri yaliyowekwa na kuboreshwa na serikali ya Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia. Ni Gawio na Michango halali na siyo Gawio la kulazimishwa au kupika Takwimu.
Ni Gawio na michango inayoonesha na kutoa picha na taswira ya kuongezeka kwa ufanisi katika uendeshaji wa taasisi na mashirika ya umma, hasa baada ya maelekezo Mazito Sanaa ya Mheshimiwa Rais yakutaka kuongezwa ufanisi na ubunifu kwa mashirika na taasisi zote za umma. Ni gawio na Michango inayoonyesha muelekeo mzuri wa kuondoa hasara kwa mashirika na taasisi za umma.lakini pia kuonyesha kuanza kuwa mashirika yenye faida na tija badala ya kuwa mashirika Mzigo ,tegemezi na kupe kwa serikali na kodi za watanzania.
Tutarajie hotuba nzito sana kutoka kwa Amiri Jeshi mkuu Daktari Samia Suluhu Hasssan,yenye kutoa muongoza na Dira pamoja na maelekezo kwa Masuala mbalimbali Mtambuka. Tukio hilo litakuwa live kupitia vyombo vyote vya habari hapa Nchini pamoja na mitandao yote ya kijamii.usipange kukosa wala usisubiri kuhadithiwa maana utakuwa umekosa mambo mengi sana na utajuta sana maishani mwako. Andika historia yako mwenyewe kwa kufuatilia tukio la leo.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mams ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.