maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,749
- 2,319
SAWA kaka, ungenijulisha basiNimeacha nafasi ili uweke hata yako tu ndugu yangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SAWA kaka, ungenijulisha basiNimeacha nafasi ili uweke hata yako tu ndugu yangu.
Sasa acha bangi CAG alisema hivyoHakuna kitu kama hicho. Naona mmeanza kuweweseka baada ya kunusa mafanikio makubwa yaliyopatikana kupitia taasisi na mashirika mbalimbali ya umma ,baada ya kuanza kutekeleza kwa ufanisi na ubunifu maelekezo Mazito yaliyokuwa yametolewa na Mheshimiwa Rais wetu mpendwa
Utaona kila kitu.Tulia nawa uso wako na pata hata chai kama ipo halafu usubiri muda ufike upate raha na furaha itakayo kububujisha machozi ya furaha.Vipi ATCL itakuwepo kutoa gawio?
Acha matusi hapa .naona umeanza kupata presha.Huo upumbavu uliasisiwa na mpumbavu mmoja aliitwa Jiwe.
Hayo mashirika yanayotoa gawio kwenye ripoti ya CAG yanapata hasara.
Mengine BAADA yataomba ruzuku serikalini ili kujinusuru.
Acha Papara .wewe kaa kwa kutulia kama maji mtungini usubiri habari njema muda wa saa tano asubuhi.Sasa acha bangi CAG alisema hivyo
TTCL nae ataenda kutoa gawio!!!Waambie ukweli Hawa machawa pro max!
Dogo lucas nilikukaribisha huku JFs sema nimebadilisha tu jina ndo maana umesahau.Acha Papara .wewe kaa kwa kutulia kama maji mtungini usubiri habari njema muda wa saa tano asubuhi.
Ulinikaribisha kufanya nini .kwani nilikuwa mgeni.hufahamu mimi nipo humu kwa muda mrefu sana tangia 2013 huko ila nilikuwa tu sijajiunga bado.Dogo lucas nilikukaribisha huku JFs sema nimebadilisha tu jina ndo maana umesahau.
Acha ujinga wakusifia upuuz
Hapo nakutafutia gepu wewe unakaza fuvu. Kwanza kwanini sikuhizi huweki namba yako ya simu?Nani kasema nipo hapa jukwaani kutafuta kazi ya ufagizi.
Hujui unachoongea wewe na usitake tukasema hata yasiyopaswa kusemwa, lkn jua 90% ya mashirika na taasisi zote zimeminywa kupeleka gawio pasipo uhalisia na maana ya gawio kwa maana ya mengi ya mashirika hayo hayaendeshwa kwa hasara au hayafanyi vzr kwenye soko lake. Mfano mzuri ni TTCL, TANESCO, DAWASCO ambao watatoa gawio lkn kiukweli wapo hoi ukiacha taasisi kama Ngorongoro na TANAPA ambao wao wanafanya vzr licha ya kuwa kichaka cha kupiga pesa kwa viongozi wenye access na taasisi hizo.Ni Gawio na Michango halali na siyo Gawio la kulazimishwa au kupika Takwimu.
Naamini hujaacha kupokea simu ya katibu wa itikadi na uenezi wa Chadema bwana ErythrocyteWana CHADEMA wengi sana tayari wameanza kunipigia wakiwa na kiu kubwa sana ya kusubiri muda ufike ili wasikie na kumuona Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan katika tukio hilo zito.
Yupo kwenye majonzi mazito sana baada ya kuona CHADEMA Inaendelea kusambaratika na kupasuka pasuka kila uchwao.Naamini hujaacha kupokea simu ya katibu wa itikadi na uenezi wa Chadema bwana Erythrocyte
Ndugu yangu kaa kwa kutuliaa maana naona presha inakupanda na kushuka kwa kasi sana.Hujui unachoongea wewe na usitake tukasema hata yasiyopaswa kusemwa, lkn jua 90% ya mashirika na taasisi zote zimeminywa kupeleka gawio pasipo uhalisia na maana ya gawio kwa maana ya mengi ya mashirika hayo hayajapata hasara au hayafanyi vzr kwenye soko lake. Mfano mzuri ni TTCL, TANESCOA, DAWASCO ambao watatoa gawio lkn kiukweli wapo hoi ukiacha taasisi kama Ngorongoro na TANAPA ambao wao wanafanya vzr licha ya kuwa kichaka cha kupiga pesa kwa viongozi wenye access na taasisi hizo.
Naacha nafasi ili hata wewe upate nafasi ya kuweka namba yako.kwani wewe hupendi kazi ya ufagizi unayotaka mimi nipewe?Hapo nakutafutia gepu wewe unakaza fuvu. Kwanza kwanini sikuhizi huweki namba yako ya simu?
Hujaziona Reforms?Tuliambiwa wakati wa Magufuli kuwa Mashirika yalikuwa hayaingizi faida bali hasara na Wakurugenzi walikuwa wanakopa pesa Benki ili wakatoe gawio kwa serikali.Sasa yeye Samia kafanya miujiza gani mpaka Mashirika yamepata faida wakati Management mentality ya Watumishi ni ile ile!!!
Ata Samia wakati nilimsikia akisema Mashirika yalikopa pesa!