Rais Samia katika hilo anafanya vizuri sanaWenyenchi tuko wengi mtu mmoja asijaribu kuturudisha nyuma
Itakuwa mwakani kwa mapenzi ya MunguPhase I ya Dar - Moro, inaanza lini operation?
Itakuwa mwakani kwa mapenzi ya Mungu
Umakini huo unatoka wapi nje ya mfumo wa ccm?Awe makini asije kuingizwa chaka tena kama kule bandarini.
Mtakopa hadi wajukuu wenu ipo siku watapigwa mnada kulipia madeni.Safii hata lissu atapanda hilo treni!
Kwanza huo mradi ni wa kusanifu na kujenga hapohapo tofauti na miradi mingine ya usanifu hufanyika kabla kwa hiyo hiyo nayo ni changamoto.Nini kinachelewesha, maana ilikuwa ianze mwishoni mwa 2019 na sasa naona wataja 2022
Mama nitamkubali akija na sgr ya Dar to Arusha.Mkataba wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) kipande cha kilomita 368 kutoka Makutupora hadi Tabora utatiwa saini leo Ikulu huku rais Samia akishuhudiaView attachment 2060103