makilo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 2,620
- 5,260
Namimi natamani Sana kujua ngoja tusubili jibu.Ikulu ipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namimi natamani Sana kujua ngoja tusubili jibu.Ikulu ipi?
Jiwe alipigwa za shingo hadi sasa anajibu maswali huko kwa malaikaItakutandika kama ilivyocharaza familia ya mungu wako mbowe
Mkataba wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) kipande cha kilomita 368 kutoka Makutupora hadi Tabora utatiwa saini leo Ikulu huku rais Samia akishuhudiaView attachment 2060103
Wakati wa JIWE huyu mbilikimo alikua anatetea ule mkopo wa WB kuhusu elimu!!Chukua hiyoView attachment 2060122
Inaleta maudhi sana kwa watu kama hawa.Wakati wa JIWE huyu mbilikimo alikua anatetea ule mkopo wa WB kuhusu elimu!!
Upo sahihi kabisaUjenzi wa reli hii utakamilika 2050
Piteni porini maana hizo barabara zote ni mikopo!Mtakopa hadi wajukuu wenu ipo siku watapigwa mnada kulipia madeni.
Mpuuzi mkubwa wewe chumia tumbo wa koromitje,Piteni porini maana hizo barabara zote ni mikopo!
Sisi wananchi tusharidhirika na tunaiunga mkono serikali asilimia 100,haya nenda kanywe sumu!Mpuuzi mkubwa wewe chumia tumbo wa koromitje,
Hujui kuwa hiyo mikopo wanalipa wananchi kupitia kodi zao?
Utakunywa sumu wewe sukuma gang maana mmetengwa utadhani mna ukoma.Sisi wananchi tusharidhirika na tunaiunga mkono serikali asilimia 100,haya nenda kanywe sumu!
Aliyekudhamini hilo jero la bundle ametuletea balaa bora angekulipia uji wa ulezi na kalimati tusingepata hii vurugu!Utakunywa sumu wewe sukuma gang maana mmetengwa utadhani mna ukoma.
Heri yangu mimi nikipatiwa uji wa ulezi kuliko wewe unayeshindia maji ya kandoro na kashataAliyekudhamini hilo jero la bundle ametuletea balaa bora angekulipia uji wa ulezi na kalimati tusingepata hii vurugu!