Mamndenyi JF-Expert Member Joined Apr 11, 2011 Posts 43,242 Reaction score 60,939 Oct 13, 2022 #21 Wale wasichana wa mama salma wako wapi leo?
N Nyabukika JF-Expert Member Joined Jun 15, 2022 Posts 1,440 Reaction score 1,046 Oct 13, 2022 Thread starter #22 Allen Kilewella said: Kwa nini atoe pesa ya mfukoni mwake?? Yaani serikali inayokusanya kodi inashindwa yeye kwa fedha za mfukoni mwake atawezaje?? Click to expand... Kwaiyo ulitaka asiwasaidie? acha roho mbaya kijana mdogo Rais Samia Suluhu ana moyo wa kutoa acha atoe na Mungu atambariki
Allen Kilewella said: Kwa nini atoe pesa ya mfukoni mwake?? Yaani serikali inayokusanya kodi inashindwa yeye kwa fedha za mfukoni mwake atawezaje?? Click to expand... Kwaiyo ulitaka asiwasaidie? acha roho mbaya kijana mdogo Rais Samia Suluhu ana moyo wa kutoa acha atoe na Mungu atambariki
N Nyabukika JF-Expert Member Joined Jun 15, 2022 Posts 1,440 Reaction score 1,046 Oct 13, 2022 Thread starter #23 Mamndenyi said: Wale wasichana wa mama salma wako wapi leo? Click to expand... Hapa tunamuongea Rais Samia Suluhu kipenzi cha watanzania wote anaepambana kwa hali na mali kutokomeza tatizo la ajira Tanzania
Mamndenyi said: Wale wasichana wa mama salma wako wapi leo? Click to expand... Hapa tunamuongea Rais Samia Suluhu kipenzi cha watanzania wote anaepambana kwa hali na mali kutokomeza tatizo la ajira Tanzania