Rais Samia kutembelea Kenya kwa ziara ya siku mbili

Rais Samia kutembelea Kenya kwa ziara ya siku mbili

Haijulikani Kama ataongea Kiswahili au Kiingereza.

Lakini akiongea Kiswahili ataongea na watu wengi zaidi Kenya.

Ukienda sokoni Nairobi, Bujumbura, Lubumbashi, lugha inayovuma angani no Kiswahili.
Akiongea kiingereza ataongea na Afrika Mashariki na dunia kwa ujumla.
 
No new as a good news" kuhutubia bunge la kenya watanzania watanufaika nini, mishahara naskia haongezi ni blaa blaa tu, mwinyi naye kule zanzibar eti asingizia Corona, wazanzibar washaanza kuamka jamaa anapiga kamba tupu hana jipya.
Hawa waswahili hawana ubunifu wowote kwenye uongozi.
 
Wanunuzi wa Tanzanite wanakuja wenyewe kutoka USA. Kenya wanahaha hivi sasa, wana uhaba wa chakula lakini wao ni vinyonga tu hawawezi kubadilika.
 
Mipaka ya Tanzania na Kenya itumike kwa manufaa ya wananchi wa pande zote mbili; Tanzania na Kenya. Wafanye biashara zao kwa uhuru bila vikwazo au urasimu.
 
Rais Samia leo anawahutubia wananchi wa Kenya na Tanzania kupitia bunge la Kenya ambalo litasheheni wabunge wa mabunge yote mawili ya nchi hiyo

Tukio hilo litakuwa mubashara kupitia runinga mbalimbali duniani.

Source: BBC

Kazi Iendelee!
 
Afanye yote lakini si kuwaruhusu wakenya kufanya kazi ambazo watanzania wanaweza fanya maana hili ndilo linawauma sana wakenya kati ya mengi yanayo wauma!

Hivi kuna mtanzania ni meneja rasilimali watu uko kenya kwenye kampuni yeyote?

Kila la Kheri President lakini Tanzania kwanza
 
Rais Samia leo anawahutubia wananchi wa Kenya na Tanzania kupitia bunge la Kenya ambalo litasheheni wabunge wa mabunge yote mawili ya nchi hiyo

Tukio hilo litakuwa mubashara kupitia runinga mbalimbali duniani.

Kazi Iendelee!
Anafukia mashimo ya nduli Magufuli.
 
Rais Samia leo anawahutubia wananchi wa Kenya na Tanzania kupitia bunge la Kenya ambalo litasheheni wabunge wa mabunge yote mawili ya nchi hiyo

Tukio hilo litakuwa mubashara kupitia runinga mbalimbali duniani.

Source: BBC

Kazi Iendelee!
Huyu ndio rais, sio yule mwingine mtukanaji asiyejali utu wa raia zake.
 
Afanye yote lakini si kuwaruhusu wakenya kufanya kazi ambazo watanzania wanaweza fanya maana hili ndilo linawauma sana wakenya kati ya mengi yanayo wauma!

Hivi kuna mtanzania ni meneja rasilimali watu uko kenya kwenye kampuni yeyote?

Kila la Kheri President lakini Tanzania kwanza
Maoni yako yatazingatiwa!
 
Rais Samia leo anawahutubia wananchi wa Kenya na Tanzania kupitia bunge la Kenya ambalo litasheheni wabunge wa mabunge yote mawili ya nchi hiyo

Tukio hilo litakuwa mubashara kupitia runinga mbalimbali duniani.

Source: BBC

Kazi Iendelee!
Umekuwa msemaji wa awamu ya 6,baada ya ile ya mwendazake?
 
Rais Samia leo anawahutubia wananchi wa Kenya na Tanzania kupitia bunge la Kenya ambalo litasheheni wabunge wa mabunge yote mawili ya nchi hiyo

Tukio hilo litakuwa mubashara kupitia runinga mbalimbali duniani.

Source: BBC

Kazi Iendelee!
Kila la kheri mama president lakini kuwa makini sana na wakenye ni wajanjwajanja sana mama tunakusihi kutanguliza maslahi ya watanzania kwanza. Mimi nasema hayo kwa kuwa wakenya nawafahamu sana wanavizia nafasi zetu sana
 
Zamani ilikua huku Jiwe huku Trump. Ugali moto mboga moto.

Sahizi huku Mama SSH huku Biden wote wamepoa ka maji mtungini. But I wish her the very best.
 
Mama ponya majereha ya umoja wetu na ndugu zetu Wakenya, tuliosababishiwa na Hitler Magufuli .
 
Rais Samia leo anawahutubia wananchi wa Kenya na Tanzania kupitia bunge la Kenya ambalo litasheheni wabunge wa mabunge yote mawili ya nchi hiyo

Tukio hilo litakuwa mubashara kupitia runinga mbalimbali duniani.

Source: BBC

Kazi Iendelee!
Uchumi wa Tanzania unawahitaji mno Wakenya na aliyeharibu uliokuwa Uhusiano mzuri baina ya hizi nchi mbili alituponza sana Watanzania na tafadhali hili lisijirudie tena.

Ubabe uliochanganyika na Ushamba ni mbaya zaidi. Ushauri wangu tu wa bure kuwe na Kipengele 'Maalum' kwa Wagombea 'Urais' nchini Tanzania lazima wawe 'Wameiva' hasa Kidiplomasia.
 
Ni vizuri kujua dhumuni la safari hii, na kujua nini hasa tutarajie kama wanajumuiya wa Africa mashariki.

Simply to chart a way forward after conclusion reached by the two heads of states, signing the EPA agreement and its implications to members states economies.

Attached below is a manual of the agreement which entails various analyses for the implementation of the agreement.
 

Attachments

Back
Top Bottom