Rais Samia kutoipa kipaumbele ikulu ya Dodoma: Je, kuhamia Chamwino ilikuwa matakwa binafsi ya Hayati Magufuli?

Rais Samia kutoipa kipaumbele ikulu ya Dodoma: Je, kuhamia Chamwino ilikuwa matakwa binafsi ya Hayati Magufuli?

Tusirudi nyuma kuhusu kuhamishia serikali Dodoma, hii pia inapunguza presha ya watu na makazi Dar, ukichukulia mfano wa jiji la Lagos nigeria serikali ilihamia abuja nafikri kupunguza presha kwenye hilo jiji kwa sababu limeshakuwa na watu wengi na hivyo movement za watendaji wa serikali zinakuwa ngumu kuweza kutekeleza majukumu yao. Hii pia itasaidia kuendeleza miji mingine, mfano Dodoma yenyewe, na mikoa jirani kama singida na manyara. Pamoja na serikali kuhamia dodoma bado huwezi kumpangia rais sehemu ya kufanyia kazi kwa sababu ana ofisi kila mkoa, nafikiri hata wilayani..
 
Dom-Zenji mbali sana mkuu, na mazingira ya DSM kwa kiasi kikubwa hayatofautiani sana na Zenji kwa hiyo kwa DSM ni favourable kwake kama kuona bahari, samaki, vitu ambavyo ni vigumu semi desert DOM.

Tusubirie Aweso afikishe maji kwanza Dom haiwezekani Rais awe anapiga passport kila siku.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ujenzi wa Ikulu Mpya Jijini Dodoma ulikuwa ni moja ya muendelezo tu wa matumizi mabaya ya fedha za umma uliofanywa na marehemu! Ile Ikulu ya zamani ilikuwa inatosha kabisa.


Kuna ikulu ipo Dodoma!!!

Wengi tulijua ndiyo inajengwa mpya kwa mara ya kwanza
 
Unashangaa iyo mbona ya dar yenyewe hakai kwani hujaona leo sasa ametokea wapi na gari wakati ni hafla inafanyika ikulu alaf tena unapanda gari kutoka wapi si utembee tu kwa miguu unaingia sehem ya hafla
Sasa ana kaa wapi huyu mother theresa.
 
SSH,ni ant-magufuli.hilo liko wazi!inamaana mpaka Sasa hamjaisoma upepo unavyokwenda!?,Ikulu ya chamwino itasimama lkn si Sasa,mpaka itapofika wakati wa ajaye 2025yr.
 
Sumu za yule kolo hadi mtaani huku bado zipo za kutosha ila mwisho wa siku watajua kua hawajui😀😀😀😀
 
Mkuu watu wanamtuhumu Jiwe kuwa yale yalikuwa ni maamuzi yake binafsi kwani aliwahi kutamka hadharani kuwa " Ufisadi mkubwa ndani ya Serikali uliofanywa na Watendaji Wakuu wakiwemo Watangulizi wake wengi waliwekeza ndani ya Jiji la Dsm especialy kwenye majengo. Na majengo yale walipangishiwa Mashirika mbali mbali ya Kimataifa na Idara pamoja na Taasisi mbali mbali za Serikali. Sasa naiondoa Serikali yangu na kuipeleka Dom kama ilivyoasisiwa na Nyerere. Kisha nione haya majengo ya Mafisadi watayafanyia nn". Full kuwakomoa.

Ninachokiona mimi ni kwamba Serikali haiamini ktk "Uchawi" lkn Serikali hiyo hiyo Watendaji wake ni Binadamu wenye Imani tofauti tofauti. Mshana Jr atakuwa kanielewa.
Alikosea? Unataka kuniambia hakupaswa kutekeleza lile wazo?
 
Kwa hili angeendeleza Dodoma.. ili aonyeshe nae alipenda ya Baba wa Taifa.
Tujenge kwanza madarasa na matundu ya vyoo tuache anasa!! Kuna serekali mtandao sasa!! Napendekeza wizara ya fedha na bank kuu, wizara ya uvuvi, wizara ya ujenzi na wizara ya Mambo ya nje zibaki DSM kupunguza gharama
 
Watanzania wanataka mabadiliko , watanzania wanataka maendeleo ,hata akikaa MARS sio tatizo ili mradi alate "MAENDEREO".
 
MUACHENI MAMA WA watu atajituliza hapo Hapo Dar ndio upepo
 
Ikulu ya Dar ipangishwe ni matumizi mabaya ya pesa kugharamia Ikulu 2 kwa pamoja.sema tu ndio vile Watanzania ni matahira tupo tupo kama hatupo.
Sio ya huko bush chamwino ndo ifutwe,

Usijitoe ufahamu mikoa Karibu yote kuna ikulu ndogo
 
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji188][emoji188]
 
Unataka kutuambia kuwa watu wa visiwani hawako SINGIDA ,DODOMA IRINGA ,MBEYA na TABORA?!!! Khaaaa 🤣🤣

Unataka kutuambia kuwa watu wa visiwani wengi wao wako huko kuliko huku bara ?!!!
wapo kwa ulazima wa ajira tu. Wapemba wengi huku ni wanajeshi tu.
 
Mwacheni Mama yetu kipenzi.Our beloved beautiful Maza.Beauty with brain .Hivi mmegundua tumbwembwe twa Jokate kisarawe Kama tunapungua..Maza atamfix tu au atampotezea kwa huruma.
 
Back
Top Bottom