[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dom-Zenji mbali sana mkuu, na mazingira ya DSM kwa kiasi kikubwa hayatofautiani sana na Zenji kwa hiyo kwa DSM ni favourable kwake kama kuona bahari, samaki, vitu ambavyo ni vigumu semi desert DOM.
Tusubirie Aweso afikishe maji kwanza Dom haiwezekani Rais awe anapiga passport kila siku.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dodoma bado ni mkoa wa kishamba, kwa mtoto wa mjini hawezi kuvumilia kukaa pale
Ujenzi wa Ikulu Mpya Jijini Dodoma ulikuwa ni moja ya muendelezo tu wa matumizi mabaya ya fedha za umma uliofanywa na marehemu! Ile Ikulu ya zamani ilikuwa inatosha kabisa.
Sasa ana kaa wapi huyu mother theresa.Unashangaa iyo mbona ya dar yenyewe hakai kwani hujaona leo sasa ametokea wapi na gari wakati ni hafla inafanyika ikulu alaf tena unapanda gari kutoka wapi si utembee tu kwa miguu unaingia sehem ya hafla
unataka kusema Delila ni mtt wa mjini!?Dodoma bado ni mkoa wa kishamba, kwa mtoto wa mjini hawezi kuvumilia kukaa pale
Mkuu STUNTER tutake radhi TAFADHALI!!Dodoma bado ni mkoa wa kishamba, kwa mtoto wa mjini hawezi kuvumilia kukaa pale
Alikosea? Unataka kuniambia hakupaswa kutekeleza lile wazo?Mkuu watu wanamtuhumu Jiwe kuwa yale yalikuwa ni maamuzi yake binafsi kwani aliwahi kutamka hadharani kuwa " Ufisadi mkubwa ndani ya Serikali uliofanywa na Watendaji Wakuu wakiwemo Watangulizi wake wengi waliwekeza ndani ya Jiji la Dsm especialy kwenye majengo. Na majengo yale walipangishiwa Mashirika mbali mbali ya Kimataifa na Idara pamoja na Taasisi mbali mbali za Serikali. Sasa naiondoa Serikali yangu na kuipeleka Dom kama ilivyoasisiwa na Nyerere. Kisha nione haya majengo ya Mafisadi watayafanyia nn". Full kuwakomoa.
Ninachokiona mimi ni kwamba Serikali haiamini ktk "Uchawi" lkn Serikali hiyo hiyo Watendaji wake ni Binadamu wenye Imani tofauti tofauti. Mshana Jr atakuwa kanielewa.
Tujenge kwanza madarasa na matundu ya vyoo tuache anasa!! Kuna serekali mtandao sasa!! Napendekeza wizara ya fedha na bank kuu, wizara ya uvuvi, wizara ya ujenzi na wizara ya Mambo ya nje zibaki DSM kupunguza gharamaKwa hili angeendeleza Dodoma.. ili aonyeshe nae alipenda ya Baba wa Taifa.
Wewe unaeelewa mbona hujashika hatamu?huyu mama anakoelekea hata haeleweki, anaongea sana utendaji ZERO......
yani yeye ni dsm, zenji, dsm zenji sijui kama anaelewa anachokifanya!
Sio ya huko bush chamwino ndo ifutwe,Ikulu ya Dar ipangishwe ni matumizi mabaya ya pesa kugharamia Ikulu 2 kwa pamoja.sema tu ndio vile Watanzania ni matahira tupo tupo kama hatupo.
wapo kwa ulazima wa ajira tu. Wapemba wengi huku ni wanajeshi tu.Unataka kutuambia kuwa watu wa visiwani hawako SINGIDA ,DODOMA IRINGA ,MBEYA na TABORA?!!! Khaaaa 🤣🤣
Unataka kutuambia kuwa watu wa visiwani wengi wao wako huko kuliko huku bara ?!!!
na samson ni nani?unataka kusema Delila ni mtt wa mjini!?