Rais Samia kuwa makini na Rais Paul Kagame

Sijuhi kwanini watanzania wengi wanamuogopa Kagame (siyo Rwanda) na kuwachukia WAkenya?!!
 
Kwan Rwanda si mizigo yao mingi inapitia bandari ya Mombasa ibakie huko huko MSA izo mambo za 70% akamwambie swahiba wake UK
 
Tulia kwani kwetu ni mashariki ya kweli jua linaanzia kwetu Tanga, wanajua na anajua usiwaze boss
 
It's fear of unknown. Zaidi sana PK is overrated. Watu wako na stories za vijiweni ambazo ni absolutely baseless
 
Jamaa ni war monger ,blood thirst an hypocrite, he is a dog all bad names he has
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…