Gabeji
JF-Expert Member
- Sep 10, 2024
- 1,530
- 1,903
1995 alihama CHAMA chake cha ccm baada ya kushindwa kwenye kura za maoni dhidi ya warioba na kuhamia NCCR MAGEUZI.
Lakini pia akafanya figisu huko ikaonekana akishinda ubunge kwa njia Rushwa hivyo mahakama kuu, ikapokonya ubunge wake.
NB: Huyu wasira ni kigeugeu kuwa nae makini kama aliweza kuhama CHAMA chake kwa ssb ya kupata madaraka, bila shaka anaweza pia kukugeuka katikati ya mapambano. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Lakini pia akafanya figisu huko ikaonekana akishinda ubunge kwa njia Rushwa hivyo mahakama kuu, ikapokonya ubunge wake.
NB: Huyu wasira ni kigeugeu kuwa nae makini kama aliweza kuhama CHAMA chake kwa ssb ya kupata madaraka, bila shaka anaweza pia kukugeuka katikati ya mapambano. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.