Rais Samia kuwa mgeni rasmi kongamano la BAWACHA siku ya wanawake duniani

Dr Slaa amesema leo kama haya anayofanya Rais hawakukubaliama kwenye Kamati Kuu ya CCM basi leo kuna watu watalala na viatu na wengine watalazwa hospitalini.
Sipati picha ya Mkumbo na Mtaturu leo wana hali gani huko walipo
 
Ndugu, serikali ya mseto si jambo jema kwa wapenda democrasia. Upinzani ni lazima uwepo kuleta fikra mbadala.
 
Kwa hivyo watanzania hawataipigia kura CHADEMA kisa imemwalika rais wa nchi kwenye mkutano wa BAWACHA?. Wakati CHADEMA wanalimwa risasi na kesi za m hongo hao wananchi walikuwa wapi?, Acha kuwasingizia wananchi kwa Jambo ambalo sio lao.
Unamakasiriko mengi sana!

Soma ukiwa umetulia!

Si kila uzi ni kulialia!

Kunanyakati inatubidi tufikirie zaidi ya milengo yetu ya kisiasa!

Unanilisha maneno. Tujipe Muda mkuu wangu!

Muda ni mwamuzi wa Khaki!
 
I'm feeling very proud of my president.
Long live our kind president.
God be with you.
 
Kwa nchi zenye demokrasia changa kama ya kwetu ni hatari sana air.tel na voda.com kufanya kazi kwa kushirikiana, ofisi ya c.ag na taasisi za seri,kali, mara nyingi kwenye kushirikiana kwa namna hiyo, mwananchi wa kawaida hana chake.

Would never condone siasa za hatari za aina ya akina mako.nda, sa,baya, lis.su, ali ,hapi, kheri ja.mes etc lakini naamini ushirikiano wa kiasi hiki kati ya cha..dema na cc,m hauwezi kuwa na afya kwa ustawi wa n.chi, hawa wanashirikiana kula.
Muda utaongea

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Chadema tulikipenda ila CCM imekipenda zaidi.!
 
Kajinyonge wewe huna faida kwa taifa letu na wewe ni adui mkubwa wa umoja wetu
 
Hii ndiyo njia JPM alitakiwa kuitumia Kuiua CHADEMA na si ile aliyoitumia!

Ni swala la Muda tu, watanzania wataamua watakavyo pigia chama gani katika uchaguzi Mkuu!

Maisha yanakwenda kwa kasi sana!
Coment yako imenifikirisha sana, kwamba Samia ameua Upinzani bila kutumia nguvu nyingi...
 
Coment yako imenifikirisha sana, kwamba Samia ameua Upinzani bila kutumia nguvu nyingi...
Hakuna chama Cha upinzani,hapa ndipo tunapokosea na huenda ni kutokana na kasoro zilizoko kwenye lugha yetu ya kiswahili.., ukiangalia lugha ya kiingereza Huwa Wanatumia neno critical/critics, wakitaka kurejelea upinzani.., upinzani ni neno lenye ukakasi na linaloleta taswira mbaya,na huenda ndio maana viongozi wengi wa kisiasa hasa Africa wanalichukulia kama lilivyo na kutreat accordingly!
 
Hii ndo dini ya mnyazi mungu tunataka muslimu ili msije ikosa Pepo. Ukifa mkristo unaingia motoni mojakwamoja ndo mana Huwa tunataka msiende huko
Imeandikwa "USIMJIBU MPUMBAVU SAWASAWA NA UPUMBAVU WAKE, USIJE UKAFANANA NAE"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…