Rais Samia kuwa mgeni rasmi kongamano la BAWACHA siku ya wanawake duniani

Jiwe hatokaa asamehewe
Kumbuka Samia anatoka Zanzibar hajazoea ujambazi na uhuni wa bara. Dini yake inamfunga kuwa kila mtu ana haki sawa hakuna aliye juu ya mwenzake na ukumbuke ni muislamu siyo dini ya kijinga na ya kijasusi na ya kuuana ya kikristo
 
Charming Low Status People is incredibly easy.

Complement them.

Low Status People are very vulnerable to complements, since to them they are so scarce; many of them have not received a complement in years.
 
Kikwete sio muislamu ila amelelewa mazingira ya dini ya kiislam
 
Sasa mbona Marais wa kikristo wote walikuwa wauaji na kukandamiza haki za binadamu mpaka mkapa akatuita eti sisi ni marofa na wapumbavu
Nitajie nchi zimazoongoza kwa machafuko duniani ni nchi za dini gan ndio utapata jibu
 
Nitajie nchi zimazoongoza kwa machafuko duniani ni nchi za dini gan ndio utapata jibu
Marekani na nchi za magharibi. Kumbuka marekani mpaka walimuua gadafi. Ufaransa wanamsapoti kagame ili ya DRC isitawalike waibe madini kirahisi. Ni nchi za magharibi ndo zinatukuza ushoga na papa akiwemo
 
Safi kabisaaa, Tena mwaliko huu wauona mabarozi wote WA magaribi na ulaya nzimaa. Sasa niwakati wa SAMIA kupita bila kupingwaa 2025.
 
Nimegundua najibishana na mwehu
Sasa nakusaidia nchi zenye machafuko
1. Afghanistan
2. somaria
3. Syria
4. Libya
5. South Sudan
6. Iraq
7. Dr congo
8.Yemen
9. Russia
10. Ukraine
11. Pakistan
Haya niambie mataifa ya dini gani yaongoza kwa machafu.
Tena mataifa mengi hapo yanaongoza kwa sheria za Dini
na hata huyo Zanzibar bila muungano kungekuwa na machafuko huko.
 
Marekani ndo sponsors wa haya machafuko dogo. Muombe mungu urusi awe baba wa Dunia machafuko yote duniani yataisha. We ndo hujui kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…