Rais Samia kuwa mgeni rasmi kongamano la BAWACHA siku ya wanawake duniani

Missile, do not speculate untill you spectate. Sikudhanii kama unaweza kuwa na such reasoning
Watu wanadhani kupitia matusi ndio unaweza fanikiwa lengo lako...

Watu wengi hufanikiwa kwa kunyenyekea ila wanakuwa na uhakika wa kupata kile wanachokitaka.

Chadema kwa hili niwapongeze maana mdogo mdogo vile vilio vitafumbulika
 

Usijizungushe, anaenda Kama Rais na pia Kama kiongozi mkuu mwanamke.
 
Kweli wewe ni missile iliyobaki ambayo injini yake ilitutoka march 17
 
Watu wanadhani kupitia matusi ndio unaweza fanikiwa lengo lako...

Watu wengi hufanikiwa kwa kunyenyekea ila wanakuwa na uhakika wa kupata kile wanachokitaka.

Chadema kwa hili niwapongeze maana mdogo mdogo vile vilio vitafumbulika
Umesema jambo la msingi sana kuliko hao wanaobeza juhudi za cdm.

Nashangaa sana na watu wa ACT nao wanabeza
 
Sasa kesi si ipo maha
Sasa kesi si ipo mahakamani jombii?
 
Kama ni kweli natabiri nchi yetu inaenda kuwa na utaifa unaouka mipaka ya itikadi na vyama vya siasa, tunaenda kuwa na siasa safi na demokrasia ambayo Afrika haijawahi kutokea.

Vv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…