Rais Samia kuwa mgeni rasmi kongamano la BAWACHA siku ya wanawake duniani

Wale wanyama wa serengeti wanaohama hama wanafanana sana na chadema.

Kumbe wanachokitaka wananchi ni mbowe kuwa waziri mkuu???
 
Exactly, sidhani kama wana fahamu kuhusu habari za mazombie zanzibar.
 
Ni sawa na hakina swala kumualika simba mgeni rasmi kwenye mkutano wao. Interesting kusikia watakachoongea kwenye huo mkutano.

Ingeeleweka kama wanamama wanasiasa wa vyama vyote kufanya kwa pamoja na Bi Tozo kuwa mgeni rasmi. Lakini shughuli ya BAWACHA halafu mgeni rasmi mwenyekiti wa CCM, only in Tanzania.
 

Leo mnamkana Samiah sio Rais wa nchi. CHADEMA wamemwita Kama Rais sio Kama mwanaccm. Mabadiliko magumu Sana Tanzania.
 
Umesema jambo la msingi sana kuliko hao wanaobeza juhudi za cdm.

Nashangaa sana na watu wa ACT nao wanabeza
Kutokana na katiba yetu ilivyo yatupasa kuwa wapole tu maana wananchi wa kusaidia ipatikane hawapo. Njia pekee ni kukubaliana na CCM tu. Maana tukiwasusia wengine wanakubali
 
Leo mnamkana Samiah sio Rais wa nchi. CHADEMA wamemwita Kama Rais sio Kama mwanaccm. Mabadiliko magumu Sana Tanzania.
Kwakuelewa ni raisi wa nchi na mwanamama ndio maana nikaandika isingekuwa jambo la kushangaza kama hiyo sherehe ingekuwa imeandaliwa na vyama vyote.

Lakini ukishasema ni hafla ya BAWACHA halafu mgeni rasmi ni mwenyekiti wa CCM ni jambo la kushangaza kidogo; na ndio maana binafsi naona itakuwa interesting kusikia hiyo theme ya mkutano wao kesho na kitakachoongelewa.

Unajua psychologically to make something special inabidi uwaaminishe watu it’s special.

Sasa kama mwenyekiti wa chama pinzani ndio mgeni special kwenye mkutano wenu hiyo ni message gani kwa wananchi na wanachama wa CDM.

Keshokutwa viongozi wa BAWACHA wakimkosoa Bi Tozo tukawaita wanafiki kupitia mkutano wao ambao chances watatumia muda mwingi kumpamba utakataa vipi hao watu kuitwa wanafiki wakati mwenyekiti wa CCM ni shujaa wao.
 
kwenda mbele zaidi kwenye umoja kiongozi wa Chadema apande jukwaa la ccm na wa ccm apande jukwaa la Chadema hata atoe salamu tu kwa wanachama
tukifika huko sasa kuelekea katiba mpya na tume huru itakua simple.


Watu wengi hawajamwelewa huyu Mama kashaona wapinzani ni wadau wa maendeleo la sio wanafiki. Huwezi kuchukua mawazo kutoka kwa chawa
 
Kumbuka Samia anatoka Zanzibar hajazoea ujambazi na uhuni wa bara. Dini yake inamfunga kuwa kila mtu ana haki sawa hakuna aliye juu ya mwenzake na ukumbuke ni muislamu siyo dini ya kijinga na ya kijasusi na ya kuuana ya kikristo
Wewe Sasa unatafuta vita na hao wasabato😄
 

Loh salalaaah!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…