FURUSHI LA CHANJO
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 874
- 1,080
Chadema ni kama wale wanyama wa serengetii wanaohama hama.Missile, do not speculate untill you spectate. Sikudhanii kama unaweza kuwa na such reasoning
Hujui kitu! Hao akina Mbowe wamefika bei! Mchaga na pesa mzee! Kama akina Mashinji na Slaa walivyofika bei wakati wa Jiwe!
Wale wanyama wa serengeti wanaohama hama wanafanana sana na chadema.Naiona serikali ya mseto kwa siku za usooni.
Mbowe Waziri Mkuu
Tundu Lissu Waziri wa Sheria
Godblesss Lema Waziri wa Mambo ya Ndani
Hao ni kwa uchache.
Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi ni kabla ya 2025.
Serikali tatu znakuja.
Hata hivyo, Mama awe makini sana CCM hawapendi haya mambo.
Wanasiasa wa upinzani watalazimika kuunda serikali moja na CCM Kama njia ya rahisi ya kupunguza nguvu za dola za CCM na pia ni kwasababu watanzania wamekuwa waoga kupambana na dola kuindoa CCM madarakani
Mtanielewa yakitimia.
Nimemaliza.
Hivi inahitajika akili sana kuwadhibiti CHADEMA?
Mbona ni kazi rahisi sana….🤣
Exactly, sidhani kama wana fahamu kuhusu habari za mazombie zanzibar...Samia atakuwa ktk uhalisi wake na kutoa makucha wakati wa Uchaguzi na kutangaza matokeo.
..Sasa hivi Ccm na Cdm wanatumiana tu. Subirini 2024 na 2025 muone kitakachotokea.
..JK mnayemsema ni muungwana si ndio alipora uchaguzi wa Znz akimtumia Bwana Jecha.
..Na unasema Znz hawajazoea ukatili umesahau mauaji ya wakati wa Karume mkubwa?
Safi kabisaaa, Tena mwaliko huu wauona mabarozi wote WA magaribi na ulaya nzimaa. Sasa niwakati wa SAMIA kupita bila kupingwaa 2025.
Walete walete mama, fimbo ya mbali haiuwi nyoka, wasogeze
Ni sawa na hakina swala kumualika simba mgeni rasmi kwenye mkutano wao. Interesting kusikia watakachoongea kwenye huo mkutano.
Ingeeleweka kama wanamama wanasiasa wa vyama vyote kufanya kwa pamoja na Bi Tozo kuwa mgeni rasmi. Lakini shughuli ya BAWACHA halafu mgeni rasmi mwenyekiti wa CCM, only in Tanzania.
How do I upgrade?
Kutokana na katiba yetu ilivyo yatupasa kuwa wapole tu maana wananchi wa kusaidia ipatikane hawapo. Njia pekee ni kukubaliana na CCM tu. Maana tukiwasusia wengine wanakubaliUmesema jambo la msingi sana kuliko hao wanaobeza juhudi za cdm.
Nashangaa sana na watu wa ACT nao wanabeza
Kwakuelewa ni raisi wa nchi na mwanamama ndio maana nikaandika isingekuwa jambo la kushangaza kama hiyo sherehe ingekuwa imeandaliwa na vyama vyote.Leo mnamkana Samiah sio Rais wa nchi. CHADEMA wamemwita Kama Rais sio Kama mwanaccm. Mabadiliko magumu Sana Tanzania.
kwenda mbele zaidi kwenye umoja kiongozi wa Chadema apande jukwaa la ccm na wa ccm apande jukwaa la Chadema hata atoe salamu tu kwa wanachama
tukifika huko sasa kuelekea katiba mpya na tume huru itakua simple.
Wewe Sasa unatafuta vita na hao wasabato😄Kumbuka Samia anatoka Zanzibar hajazoea ujambazi na uhuni wa bara. Dini yake inamfunga kuwa kila mtu ana haki sawa hakuna aliye juu ya mwenzake na ukumbuke ni muislamu siyo dini ya kijinga na ya kijasusi na ya kuuana ya kikristo
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye kongamano la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) lililoandaliwa na Baraza la Wanawake (Bawacha) wa chama hicho.
Akizungumza na vyombo vya habari leo Jumapili, Machi 05, Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe, amesema Rais Samia amethibitisha kuwa mgeni rasmi kwenye kongamano hilo litakalofanyika Machi 08 Moshi mkoani Kilimanjaro.
“Kongamano hili la siku ya wanawake duniani ni la wanawake wote, lakini hapa Tanzania, Bawacha wamekuwa wakiliandaa kwa mafanikio makubwa kila mwaka na wamekuwa wakitoa hotuba zenye jumbe mbalimbali zinazowahusu wanawake wote bila kujali itikadi za vyama vyao.
“Napenda kuwatangazia kuwa Rais Samia ambaye nilikuwa na mazungumzo naye jana Jumamosi, amekubali kuwa mgeni Rasmi siku hiyo na mimi nitampokea mjini Moshi siku hiyo,” alisema Mbowe
Rais Samia kukubali kuhudhuria na kuwa mgeni rasmi kwenye kongamano linaloandaliwa na chama kikuu cha upinzani ni matunda ya maridhiano ya kisiasa yanayoendelea kufanywa na chama chake (CCM) na Chadema.
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AKIWAPUNGIA WAJUMBE KWENYE MOJA YA MIKUTANO YA CHAMA CHAKE (CCM) AMBAPO YEYE NI MWENYEKITI TAIFA
Maridhiano hayo awali yalianza baada ya Rais Samia kuunda kikosi kazi cha kuishauri serikali kuhusu mwenendo wa kisiasa nchini.
Lakini maridhiano yalitiwa chachu baada ya kikao cha kwanza kati ya Rais Samia na Mbowe kukutana Ikulu, Machi 04, 2022 siku ambayo Mbowe alitoka gerezani baada ya Serikali kuifuta kesi ya ugaidi iliyokuwa inamkabili mwanasiasa huyo.
Kati ya mambo ambayo Chadema waliyapeleka kwa Rais na kutaka yarekebishwe haraka ni pamoja na kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa wa Chadema, jambo ambalo kwa asilimia kubwa limeshafanyika.
Jambo la pili ni kuweka usalama kwa wakimbizi wa kisiasa waliokimbia nchi. Tayari viongozi wa Chadema waliokimbia nchi wamesharejea. Viongozi hao ni Tundu Lissu, Ezekia Wenje na Godbles Lema.
Jambo la tatu lililodaiwa na Chadema ni kuondoa zuio la mikutano ya hadhara ambapo tayari Januari mwaka huu, Rais Samia ameondoa zuio hilo.
Jambo la nne ni upatikanaji wa Katiba mpya ambapo mpaka sasa mchakato haujaanza.
View attachment 2538065
Mbowe yupo kwenye njia sahihi sanaKutokana na katiba yetu ilivyo yatupasa kuwa wapole tu maana wananchi wa kusaidia ipatikane hawapo. Njia pekee ni kukubaliana na CCM tu. Maana tukiwasusia wengine wanakubali
Akina Halima walifukuzwa hadharani CHADEMA waao wakakimbilia mahakamani. Kosa la CHADEMA lipo wapi?
kila day anateuwa watu kutoka ndani ya chama lakini awamsaidii wanawaza kupiga madili tu.Watu wengi hawajamwelewa huyu Mama kashaona wapinzani ni wadau wa maendeleo la sio wanafiki. Huwezi kuchukua mawazo kutoka kwa chawa
Hivi hii ndiyo siasa inapaswa kuwa?Sukuma Gang mna nongwa sana