Hope yasije kuwa ya habiarimana na ndadae wakati tshekedi mru mrefu na yule mtoto wetu wakati watakopokua wanarudBBC wamesema Tchisekedi akitokea Kagame hatokei Kagame akitokea Tchisekedi hatokei
Wewe pia ni rais? Mlikaa meza moja wapi?Ubavu wake ni akiwa kwake ndiyo huwa anatoa maneno ya kejeli na kujiona mwamba.
Ila akiwa na marais wenzake huwa hawezi.
majitu yana uhasama halafu yaje kufanya mkutano kwetu, je yakitunguana angani nchi yetu itaeleweka vipi?Tanzania tusingekubali kuhost mkutano huo ili kulinda hadhi na heshima ya Nchi Kimataifa.
Ni vipi kama baada ya mkutano ndege ya Kedi na Rama zikapotea mawasiliano kwenye Rada?. Au ndege ya Kagame?.Nakumbuka ndege ya rais wa Rwanda na Burundi; hata ile ya Samora zilikuwa zinatokea Dar kwenye Mkutano
Mpk kesho saa hz uwe ngome au ushahama nchi unafungua codeHuo mkutano wawe makini kuna watu watanyunyiziwa sumu kama ilivyotokea kimakosa kwa Dr. Omary Ali Juma
Hivi chupi na sidiria na shumizi shingapi madukani siku hizi .03 February 2025
Dar es Salaam, Tanzania
Rais Samia Suluhu Hassan amekubali kwa ukarimu kuandaa mkutano huo kujadili hali ya Mashariki mwa DRC
DAR ES SALAAM KUPOKEA MARAIS WA NCHI ZA SADC NA EAC KUJADILI MGOGORO WA NCHI YA DR CONGO
Mkutano wa pamoja wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) utafanyika Ijumaa na Jumamosi kuhusu mzozo wa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Hii inafuatia makubaliano kati ya Mwenyekiti wa SADC Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe na Mwenyekiti wa EAC Rais William Ruto wa Kenya.
"Rais Samia Suluhu Hassan amekubali kwa ukarimu kuandaa mkutano huo kujadili hali ya Mashariki mwa DRC," Rais Ruto alisema.
MORE INFO :
Baada ya M23 Kunyakua pande la jimbo la Kivu ya Kaskazini uliopo mji wa Goma na kuonekana kuelekea Kivu ya Kusini mjini wa Bukavu.
Marais wa kanda za Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wale wa nchi za Kusini SADC wamependekeza pande mbili katika mgogoro wa ndani wa DR Congo wa kujongea katika meza ya mazungumzo kutafuta utatuzi wa kudumu
Pia soma
- Waasi wa M23 sasa waelekea mji wa Bukavu
Tusianze kufungiana tena barabara kama juzi03 February 2025
Dar es Salaam, Tanzania
Rais Samia Suluhu Hassan amekubali kwa ukarimu kuandaa mkutano huo kujadili hali ya Mashariki mwa DRC
DAR ES SALAAM KUPOKEA MARAIS WA NCHI ZA SADC NA EAC KUJADILI MGOGORO WA NCHI YA DR CONGO
Mkutano wa pamoja wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) utafanyika Ijumaa na Jumamosi kuhusu mzozo wa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Hii inafuatia makubaliano kati ya Mwenyekiti wa SADC Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe na Mwenyekiti wa EAC Rais William Ruto wa Kenya.
"Rais Samia Suluhu Hassan amekubali kwa ukarimu kuandaa mkutano huo kujadili hali ya Mashariki mwa DRC," Rais Ruto alisema.
MORE INFO :
Baada ya M23 Kunyakua pande la jimbo la Kivu ya Kaskazini uliopo mji wa Goma na kuonekana kuelekea Kivu ya Kusini mjini wa Bukavu.
Marais wa kanda za Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wale wa nchi za Kusini SADC wamependekeza pande mbili katika mgogoro wa ndani wa DR Congo wa kujongea katika meza ya mazungumzo kutafuta utatuzi wa kudumu
Pia soma
- Waasi wa M23 sasa waelekea mji wa Bukavu
Bora mkutano ufanyikie huu IRINGA ili na sisi tufanyie kazi majumbani.kwa hiyo Ijumaa no JOB tena?
Nimewaza kama weweNao
Hope yasije kuwa ya habiarimana na ndadae wakati tshekedi mru mrefu na yule mtoto wetu wakati watakopokua wanarud
Ndipo tujue sasaSasa suluhu itapatikanaje ilhali wao ndio wahusika wakuu kwenye mgogoro huu?
Ni kweli!Nao
Hope yasije kuwa ya habiarimana na ndadae wakati tshekedi mru mrefu na yule mtoto wetu wakati watakopokua wanarud
Watafutiwe chumba, Kagame na Ramaphosa wayajenge. Ruto akiwa Referee.Kagame asiwekwe siti ya karibu na Ramaphosa wanaweza pigana ngumi live wale
Ndio kitu rahisi kuliko kufanya kazi ..Waafrika kwanini tunapenda vita kuliko maendeleo alie turoga mama…e
Huyu kiongozi wa m23 watuambie vizuri hiko kiswahili cha sinza kabisa amejifunzia wapiToka maktaba :
Mmoja wa viongozi wa juu wa M23:
Hotuba za vuguvugu la M23 za mkuu wa kitengo cha siasa na mawasiliano cha M23 Bertrand Bisimwa zote kwa kiswahili
View: https://m.youtube.com/watch?v=pgo9vuvzSF0
Bertrand Bisimwa mkuu wa kitengo cha Siasa na Mawasiliano wa AFC / M23 akiongoea na wana wa Congo
View: https://m.youtube.com/watch?v=cYGvcWvJ9_U&
Huyu kiongozi wa m23 watuambie vizuri hiko kiswahili cha sinza kabisa amejifunzia wapi
Na iwe hivyo.. Historia ijirudie..Tanzania tusingekubali kuhost mkutano huo ili kulinda hadhi na heshima ya Nchi Kimataifa.
Ni vipi kama baada ya mkutano ndege ya Kedi na Rama zikapotea mawasiliano kwenye Rada?. Au ndege ya Kagame?.Nakumbuka ndege ya rais wa Rwanda na Burundi; hata ile ya Samora zilikuwa zinatokea Dar kwenye Mkutano
Mnapigana na M23 sio Rwanda, siku mkielewa hilo solution itapatikana the same daynduli uchwara wa rwanda sasa ameanza kulegezwa mishipa polepole