mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Pale Ikulu kuna watu wanalipwa mishahara ya bure. Tabora United na Yanga ni timu za nchini inakuwaje moja ipongezwe moja inangwe? Je, ni mara ya kwanza Yanga kufungwa?
Kama mtu ni mgeni anaweza kudhani labda ilikuwa mechi ya kimataifa kati ya Tabora united na Yanga ya Burundi, kumbe zote ni za humu nchini.
Najua ni mara chache Marais kupost wenyewe mitandaoni, kuna timu hupewa kazi hiyo.
Kwa dhati kabisa niseme mmechemsha, hiyo kazi hamuiwezi, Rais ni mlezi wa vilabu vyote nchini hatakiwi kuonyesha upande kwa mechi za ligi kuu.
Mimi sio Yanga ila nilishangaa sana kwa hizo pongezi dhidi ya Tabora UTD.
Kama mtu ni mgeni anaweza kudhani labda ilikuwa mechi ya kimataifa kati ya Tabora united na Yanga ya Burundi, kumbe zote ni za humu nchini.
Najua ni mara chache Marais kupost wenyewe mitandaoni, kuna timu hupewa kazi hiyo.
Kwa dhati kabisa niseme mmechemsha, hiyo kazi hamuiwezi, Rais ni mlezi wa vilabu vyote nchini hatakiwi kuonyesha upande kwa mechi za ligi kuu.
Mimi sio Yanga ila nilishangaa sana kwa hizo pongezi dhidi ya Tabora UTD.