Rais Samia kuyaaga mashindano kwenye kinyang'anyiro cha Urais? Kakosea na kumuita waziri Mh. Rais, apata kigugumizi

Duniani chochote kinawezekana.
Vipi iwapo mwenyekiti wa INEC akamtangaza Hashimu Rungwe kuwa ndiye mshindi wa nafasi ya Urais wa JMT!!?

Ushindi au matokeo ya urais hayapingwi popote nikukumbushe, akishatangazwa ametangazwa!!
Mkuu una imani kuBwa katika miujiza. Hivi kweli unaamini huyu mama atashindwa uchaguzi au unaamini hatagombea?
Hii imani yako ni ole ya kuambia mlima kilimanjaro ukajitose baharini.
 
Kiroho imeisha hiyo...๐Ÿ‘Œ๐Ÿฟ
 
Kinacho msumbua huyo mp**zi ni uraia wa mchongo na uraisi wa mchongo ajafiti
 
"Chawa, ukija na povu hakikisha umejipangaโ€ฆ usije ukafutwa kazi kwa stress za kichwa cha mtu mwingine!" ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ”ฅ
 
Kwa hiyo amejiona amepwaya katika maongezi Aweso amemfunika?
 
Ulimi hauna mfupa

Kama walimshindwa wajumbe pale Dodoma, hakuna mwingine wa kumuweza
Mkuu wasikilizeni wanaccm wenzenu achaneni na chawa.

Wanasema kilichofanyika pale ni sawa na Kiongozi kuwalazimisha wakulima walime zao ambalo halina mvuto wala biashara sokoni kisa tu analipenda yeye.

Tusubiri soko lifunguliwe Wakulima wayalete mazao yao. Tuone ni zao gani litaibuka kidedea kwa kutawala biashara sokoni.
 
Duniani chochote kinawezekana.
Vipi iwapo mwenyekiti wa INEC akamtangaza Hashimu Rungwe kuwa ndiye mshindi wa nafasi ya Urais wa JMT!!?

Ushindi au matokeo ya urais hayapingwi popote nikukumbushe, akishatangazwa ametangazwa!!
Probability ya hilo kutokea ni 1 in a tillion. Hivyo kwa sasa ni sawa haliwezi kutokea.
 
Si unajua Dola wanayo wao
 
mgh! kazi ipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ