Rais wa nchi ombaomba hana mamlaka yoyote kwa anao waomba zaidi ya kuteka watu wakeKuna katrend cha baadhi ya watu,wanasiasa na mabalozi wanataka kukatengeneza.yaani kutaka kuchukulia poa au kawaida eti Rais ni mtu au cheo cha kawaida tu.
Nawasihi tusijiaminishe upuuzi huu kwa mwamvuli wa demokrasia.
Kiongozi hata awe wa mtaa sio mtu wa kawaida tu.Kiongozi ni mtu mwenye maspirti ya kipekee...ana vyombo vingi sana ambavyo ni vya kawaida na sivivyo vya kawaida...amepitia mengi na ameona mengi sana ...ana akili zinazomwagika n.k
kamwe tusimchukulie poa.
hilo sio la mjadala na ulielewe hivyoOh okay kumbe rais nimkubwa kuliko wananchi sw.
All the best
Kwa mawazo hayo nakubali hili'Jinga lao" kweli kweli kama ilivyo profile name yakoKuna katrend cha baadhi ya watu,wanasiasa na mabalozi wanataka kukatengeneza.yaani kutaka kuchukulia poa au kawaida eti Rais ni mtu au cheo cha kawaida tu.
Nawasihi tusijiaminishe upuuzi huu kwa mwamvuli wa demokrasia.
Kiongozi hata awe wa mtaa sio mtu wa kawaida tu.Kiongozi ni mtu mwenye maspirti ya kipekee...ana vyombo vingi sana ambavyo ni vya kawaida na sivivyo vya kawaida...amepitia mengi na ameona mengi sana ...ana akili zinazomwagika n.k
kamwe tusimchukulie poa.
maoni kama haya nimeyazoea ...tafakari hoja na ujikite hukoKwa mawazo hayo nakubali hili'Jinga lao" kweli kweli kama ilivyo profile name yako
Mwenyekiti wa kijiji China ana akili nyingi kuliko Rais wa Tanzania.Kuna katrend cha baadhi ya watu,wanasiasa na mabalozi wanataka kukatengeneza.yaani kutaka kuchukulia poa au kawaida eti Rais ni mtu au cheo cha kawaida tu.
Nawasihi tusijiaminishe upuuzi huu kwa mwamvuli wa demokrasia.
Kiongozi hata awe wa mtaa sio mtu wa kawaida tu.Kiongozi ni mtu mwenye maspirti ya kipekee...ana vyombo vingi sana ambavyo ni vya kawaida na sivivyo vya kawaida...amepitia mengi na ameona mengi sana ...ana akili zinazomwagika n.k
kamwe tusimchukulie poa.
ajabu!!!!Najua Tanzania kuna Chief Kingdom zilizokuwa zimejawa Uwoga na Uvivu na vizazi vyao viko hivyo hata Leo
Lakini sisi ambao Babu zetu walimwaga damu kumfurusha Mjerumani tuko pamoja na Mpendwa Wetu Mh Rais Samia kuwataka Wasitupangie Sisi ni Taifa Huru lenye kujiamulia mambo yake
Haiwezekani Babu zetu wampige mzungu halafu sisi tumuogope mzungu, never
Kwenye Biblia Baraka za Ibrahim zilishuka hadi kwa Lawi Kizazi cha Yakobo
Mungu wa mbinguni awabariki!
Navalonge swela 🐼
Shenzi wewe kwa hiyo unataka upangiwe na Wa-Oman!Najua Tanzania kuna Chief Kingdom zilizokuwa zimejawa Uwoga na Uvivu na vizazi vyao viko hivyo hata Leo
Lakini sisi ambao Babu zetu walimwaga damu kumfurusha Mjerumani tuko pamoja na Mpendwa Wetu Mh Rais Samia kuwataka Wasitupangie Sisi ni Taifa Huru lenye kujiamulia mambo yake
Haiwezekani Babu zetu wampige mzungu halafu sisi tumuogope mzungu, never
Kwenye Biblia Baraka za Ibrahim zilishuka hadi kwa Lawi Kizazi cha Yakobo
Mungu wa mbinguni awabariki!
Navalonge swela 🐼
Ni haki Raisi kusema hata Magfuli alikuwa anasema hadharani kwa sababu ipo katika Tanzania foreign affairs policy ...Wengi hawajui Rais yuko sahihi hawana mamlaka ya kutuingilia mambo yetu hata kwenye sera zetu tumeainisha kabisa .
Nendeni mkasome Mkataba wa kimataifa wa Vienna Convention.Najua Tanzania kuna Chief Kingdom zilizokuwa zimejawa Uwoga na Uvivu na vizazi vyao viko hivyo hata Leo
Lakini sisi ambao Babu zetu walimwaga damu kumfurusha Mjerumani tuko pamoja na Mpendwa Wetu Mh Rais Samia kuwataka Wasitupangie Sisi ni Taifa Huru lenye kujiamulia mambo yake
Haiwezekani Babu zetu wampige mzungu halafu sisi tumuogope mzungu, never
Kwenye Biblia Baraka za Ibrahim zilishuka hadi kwa Lawi Kizazi cha Yakobo
Mungu wa mbinguni awabariki!
Navalonge swela 🐼