Rais Samia kwa sababu zangu Binafsi nakushauri Jina la Naibu Spika awe amepitia au amebobea katika maeneo haya Matatu tu....

Rais Samia kwa sababu zangu Binafsi nakushauri Jina la Naibu Spika awe amepitia au amebobea katika maeneo haya Matatu tu....

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Awe ni TISS Agent

2. Awe ni Mmedani ( JWTZ ) Mstaafu

3. Awe Lawyer na Diplomat tu

ANGALIZO

Hakikisha awe ni Muislamu kwa Imani ( Dini ) halafu awe anatokea Visiwani ( Zanzibar Isles ) na kamwe asitokee huku Kwetu Tanzania Mainland.

Mheshimiwa Rais wangu Samia kama ambavyo hukuniangusha GENTAMYCINE katika Kukuomba Wewe kama Mwenyekiti wa CCM Taifa pamoja na wana CCM wote naamini hata kwa hili pia kamwe hutoniangusha kwani nina Imani Kubwa nawe.

Nikutakie Kazi Njema Rais wetu Samia.
 
1. Awe ni TISS Agent

2. Awe ni Mmedani ( JWTZ ) Mstaafu

3. Awe Lawyer na Diplomat tu

ANGALIZO

Hakikisha awe ni Muislamu kwa Imani ( Dini ) halafu awe anatokea Visiwani ( Zanzibar Isles ) na kamwe asitokee huku Kwetu Tanzania Mainland.

Mheshimiwa Rais wangu Samia kama ambavyo hukuniangusha GENTAMYCINE katika Kukuomba Wewe kama Mwenyekiti wa CCM Taifa pamoja na wana CCM wote naamini hata kwa hili pia kamwe hutoniangusha kwani nina Imani Kubwa nawe.

Nikutakie Kazi Njema Rais wetu Samia.
Hivi huwa anateuliwa na rais?
 
1. Awe ni TISS Agent

2. Awe ni Mmedani ( JWTZ ) Mstaafu

3. Awe Lawyer na Diplomat tu

ANGALIZO

Hakikisha awe ni Muislamu kwa Imani ( Dini ) halafu awe anatokea Visiwani ( Zanzibar Isles ) na kamwe asitokee huku Kwetu Tanzania Mainland.

Mheshimiwa Rais wangu Samia kama ambavyo hukuniangusha GENTAMYCINE katika Kukuomba Wewe kama Mwenyekiti wa CCM Taifa pamoja na wana CCM wote naamini hata kwa hili pia kamwe hutoniangusha kwani nina Imani Kubwa nawe.

Nikutakie Kazi Njema Rais wetu Samia.
Awe kama Shahidi wa Leo Afande Goodluck hahahahaa.

 
1. Awe ni TISS Agent

2. Awe ni Mmedani ( JWTZ ) Mstaafu

3. Awe Lawyer na Diplomat tu

ANGALIZO

Hakikisha awe ni Muislamu kwa Imani ( Dini ) halafu awe anatokea Visiwani ( Zanzibar Isles ) na kamwe asitokee huku Kwetu Tanzania Mainland.

Mheshimiwa Rais wangu Samia kama ambavyo hukuniangusha GENTAMYCINE katika Kukuomba Wewe kama Mwenyekiti wa CCM Taifa pamoja na wana CCM wote naamini hata kwa hili pia kamwe hutoniangusha kwani nina Imani Kubwa nawe.

Nikutakie Kazi Njema Rais wetu Samia.
Kwa hiyo tutengue jina la Mwakabujibuji?
 
TISS na JWTZ bungeni akafanye nini? kufungana midomo na kutishana naona hakuna maana tena.

Atleast mwanasheria na diplomat nimekuelewa.
 
1. Awe ni TISS Agent

2. Awe ni Mmedani ( JWTZ ) Mstaafu

3. Awe Lawyer na Diplomat tu

ANGALIZO

Hakikisha awe ni Muislamu kwa Imani ( Dini ) halafu awe anatokea Visiwani ( Zanzibar Isles ) na kamwe asitokee huku Kwetu Tanzania Mainland.

Mheshimiwa Rais wangu Samia kama ambavyo hukuniangusha GENTAMYCINE katika Kukuomba Wewe kama Mwenyekiti wa CCM Taifa pamoja na wana CCM wote naamini hata kwa hili pia kamwe hutoniangusha kwani nina Imani Kubwa nawe.

Nikutakie Kazi Njema Rais wetu Samia.
😂😂😂😂😂🔁Mhhhh napita tuu.
 
Back
Top Bottom