Rais Samia, kwa unyenyekevu mkubwa epuka huo mtego

Rais Samia, kwa unyenyekevu mkubwa epuka huo mtego

Hii karata ya dini wapinzani wake nao wameitumia unadhani DP World wangekua sio waarabu wangepingwa na hadi makanisa?
 
acha upuuzi wako huo, we ndio unashabikia ubaguzi, waliokamwatwa ni wahalifu, hawakukamatwa kwasababu ya dini zao wala kuwa wametokea upande fulani wa muungano. Kwa hiyo kwa akili yako polisi ikamate mzanzibari hata hajafanya kosa? au imkamate muislam. Tumia akili kuliko makalio ktk kufikiri. Mama yetu atapita kwa kura za kishindo 2025 we nyau km umetumwa kumtisha rais wetu. We kweli ni kenge ufanye upumbavu uache kisa we mkatoliki na rais muislam? Kwanza hakuna wakristo wa kijinga hivyo.
Mbona makasiriko Ndg kwanini umtukane mwenzio ambaye hajatoa tusi hata moja kwenye uzi wake, yeye ametoa mawazo na mtizamo wake, hivyo na wewe ni vyema ukamjibu kwa hoja na siyo vitisho na matusi jifunze hilo litakusaidia sana ndg, jibu hoja kwa hoja na siyo kwa matusi!
 
Unadhani unatoa ushauri wa busara kumbe unashindwa kutazama picha pana ya uchumi na ufanisi mzima wa bandari.

Umemezwa na siasa mpaka unasahau kuwa bandari yetu inatakiwa ifaidike na uwepo wa nchi hii kijiografia. Kwa akili hizi ni rahisi kukubaliana na msemo kwamba kwenye miti mingi hakuna wajenzi.

Kagame aliposema anaweza kuiendesha Tanzania kupitia bandari peke yake hakujumuisha na ujinga mwingi tulionao raia wa nchi hii.
Hapa wewe ndiyo mjinga ndg, maana hakuna mahali mtoa mada amepinga uwekezaji wa bandari, na hakuna mtanzania yeyote yule mwenye akili timamu anaepinga uwekezaji wa bandari, isipokuwa ni watu wanapinga aina ya mkataba baina ya DP world na Tanzania Government, ndiyo maana wadau mbali mbali wanasema huo mkataba ufanyiwe marekebisho maana una mapungufu mengi na hauna maslai kwa Tanzania, ni hayo tuu, sasa jipime kati yako wewe na mtoa mada ni nani mjinga, kumzidi mwenzie
 
Mheshimiwa Rais, suala la Mkataba wa Bandari limefichua nyufa kubwa za Taifa letu hasa katika suala la Dini, Muungano, Ukabila, Ukanda, Jinsia na Itikadi za Siasa. Sasa naomba nikushauri kwa unyenyekevu mkubwa epuka mtego wa wasaidizi wako hasa huu wa kukamata watu na kuwaambia ni wahaini.

Huu ni mtego Mkubwa kwako ili 2025 ubaki mkiwa na watakutoa sadaka. Usicheze na Hawa Jamaa wana mbinu balaa. Hivi unadhani unaweza mfunga Dr. Slaa halafu watu wa dini za mlengo wake wakakaa kimya, watakuandama balaa na watataka kuthibitisha madai ambayo mimi sitaki kuamini ya udini na mambo kama hayo. Vilevile waliokamatwa kwa uhaini wote ni watanzania bara, hili nalo litaongeza ufa uliopo katika Muungano.

Ushauri Wangu, kuwa makini kubali sauti za kila upande, amua kwa busara, jikabidhi kwa Mungui akupe busara, hekima na uthabiti.
Vilevile waliokamatwa kwa uhaini wote ni watanzania bara, hili nalo litaongeza ufa uliopo katika Muungano.[emoji817][emoji419][emoji817][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na Samia bhna tumepiga kelele tumechoka acha nae ale kiburi na jeuri yake ,,
 
Mheshimiwa Rais, suala la Mkataba wa Bandari limefichua nyufa kubwa za Taifa letu hasa katika suala la Dini, Muungano, Ukabila, Ukanda, Jinsia na Itikadi za Siasa. Sasa naomba nikushauri kwa unyenyekevu mkubwa epuka mtego wa wasaidizi wako hasa huu wa kukamata watu na kuwaambia ni wahaini.

Huu ni mtego Mkubwa kwako ili 2025 ubaki mkiwa na watakutoa sadaka. Usicheze na Hawa Jamaa wana mbinu balaa. Hivi unadhani unaweza mfunga Dr. Slaa halafu watu wa dini za mlengo wake wakakaa kimya, watakuandama balaa na watataka kuthibitisha madai ambayo mimi sitaki kuamini ya udini na mambo kama hayo. Vilevile waliokamatwa kwa uhaini wote ni watanzania bara, hili nalo litaongeza ufa uliopo katika Muungano.

Ushauri Wangu, kuwa makini kubali sauti za kila upande, amua kwa busara, jikabidhi kwa Mungui akupe busara, hekima na uthabiti.
Atapigwa Pini na hakuna Cha mtego,Rais usisikilize Hawa wapuuzi,kwani Wanamuabudu Slaa? Who is Dr.Slaa by the way mhuni huyo aliyekuwa anafurahia kupigwa Lisasi Lisu na kufungwa Mbowe?

Rais ongeza kamba vita zaidi tuone huyo Slaa na hao anaowataja watafanyaje.Vita ni vita muraa mpaka wahaini wakome.
 
Saa zingine naona kabisa huyu Maza hana shida wala kona yeyote ila hapa tatizo ni chawa wanampitisha kwenye miiba yaani nchi haiendeshwi kimpangilio imebaki mihemko
Toeni ujinga wenu hapa,Chawa ndio walimtuma Slaa na waropokaji wengine wakafanye uhaini?
 
CCM walijipanga kwenda mikoa yote kuwashawishi watu uzuri wa mkataba huu, mambo yamewawia vigumu Sasa wameona dawa ni kubambika kesi ya uhaini kupoozesha mambo, lakini hata hili la kubambika kesi za uhaini sioni kama litafanikiwa.
Wala tatizo sio mkataba ila tatizo ni wahuni kusema eti wataongoza Maandamano kumpindua Rais , thubutu ngoja awanyooshe kwanza wawe na adabu.
 
acha upuuzi wako huo, we ndio unashabikia ubaguzi, waliokamwatwa ni wahalifu, hawakukamatwa kwasababu ya dini zao wala kuwa wametokea upande fulani wa muungano. Kwa hiyo kwa akili yako polisi ikamate mzanzibari hata hajafanya kosa? au imkamate muislam. Tumia akili kuliko makalio ktk kufikiri. Mama yetu atapita kwa kura za kishindo 2025 we nyau km umetumwa kumtisha rais wetu. We kweli ni kenge ufanye upumbavu uache kisa we mkatoliki na rais muislam? Kwanza hakuna wakristo wa kijinga hivyo.
Wajinga sana Hawa,walikuwa wanamdhihaki Rais na kumuona mtoto mdogo,ngoja awapelekee moto.

Kwanza nimefurahi Sasa watakuwa na adabu.
 
Mheshimiwa Rais, suala la Mkataba wa Bandari limefichua nyufa kubwa za Taifa letu hasa katika suala la Dini, Muungano, Ukabila, Ukanda, Jinsia na Itikadi za Siasa. Sasa naomba nikushauri kwa unyenyekevu mkubwa epuka mtego wa wasaidizi wako hasa huu wa kukamata watu na kuwaambia ni wahaini.

Huu ni mtego Mkubwa kwako ili 2025 ubaki mkiwa na watakutoa sadaka. Usicheze na Hawa Jamaa wana mbinu balaa. Hivi unadhani unaweza mfunga Dr. Slaa halafu watu wa dini za mlengo wake wakakaa kimya, watakuandama balaa na watataka kuthibitisha madai ambayo mimi sitaki kuamini ya udini na mambo kama hayo. Vilevile waliokamatwa kwa uhaini wote ni watanzania bara, hili nalo litaongeza ufa uliopo katika Muungano.

Ushauri Wangu, kuwa makini kubali sauti za kila upande, amua kwa busara, jikabidhi kwa Mungui akupe busara, hekima na uthabiti.
Unaongelea dini gani? Wakristu, Wakatoliki!! Wakristu tuko very objective, hatuwezi kuunga mkono mtu ambaye anataka kutuharibia amani ya taifa letu.

Tofauti na Waislamu wanaangalia kila maamuzi na kuhusisha na kwenye dini ya mtu. Wakristu tunapima ubora (merit) ya maamuzi na kuyaunga au kuyapinga.

Dr Slaa hana jipya zaidi ya FRUSTRATION. na siyo mtu wa kuaminika.

Toka kuwa Padri wa RC hadi kuwa Mume wa Rose Kamili na Mushumbushi ni kukosa focus. Kisha Mgombea wa CCM Karatu mwaka 1995 na kuhmia CHADEMA. Mbunge na kuwa Katibu mkuu wa CDM na mgombea uRais mwaka 2010. Halafu akasaliti chama kwa kununuliwa na Magufuli kama andazi au bakuli. Kafanya ubalozi lakini kipindi kilipokwisha mke kakataa kurudi Tanzania

Baada ya Ubalozi ku expire maana aliyempa alikufa, ndipo anakuja na munkari wa kutaka kupindua Serikali.

Dr Slaa ni mnafiki, msaliti, mtu asiyekuwa na msimamo na yuko tayari kuuzwa kama bidhaa
 
Back
Top Bottom