Hakuna taasisi tenaUnajua nawashangaa!!! Kwa hiyo, Sasa hivi urais siyo Taasisi Tena? Mbona mnasakama, isakame Taasisi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna taasisi tenaUnajua nawashangaa!!! Kwa hiyo, Sasa hivi urais siyo Taasisi Tena? Mbona mnasakama, isakame Taasisi!
Play for Tanganyika
Wa kiume anaitwa dictator. Je wa kike anaitwa nani?Sijawahi ona dictator wa jinsia ke duniani ngoja tuone itakavyo isha
Daah! Wewe unachukiwa sana na kiingerezaPlay for Tanganyika
Mbona makasiriko Ndg kwanini umtukane mwenzio ambaye hajatoa tusi hata moja kwenye uzi wake, yeye ametoa mawazo na mtizamo wake, hivyo na wewe ni vyema ukamjibu kwa hoja na siyo vitisho na matusi jifunze hilo litakusaidia sana ndg, jibu hoja kwa hoja na siyo kwa matusi!acha upuuzi wako huo, we ndio unashabikia ubaguzi, waliokamwatwa ni wahalifu, hawakukamatwa kwasababu ya dini zao wala kuwa wametokea upande fulani wa muungano. Kwa hiyo kwa akili yako polisi ikamate mzanzibari hata hajafanya kosa? au imkamate muislam. Tumia akili kuliko makalio ktk kufikiri. Mama yetu atapita kwa kura za kishindo 2025 we nyau km umetumwa kumtisha rais wetu. We kweli ni kenge ufanye upumbavu uache kisa we mkatoliki na rais muislam? Kwanza hakuna wakristo wa kijinga hivyo.
Hapa wewe ndiyo mjinga ndg, maana hakuna mahali mtoa mada amepinga uwekezaji wa bandari, na hakuna mtanzania yeyote yule mwenye akili timamu anaepinga uwekezaji wa bandari, isipokuwa ni watu wanapinga aina ya mkataba baina ya DP world na Tanzania Government, ndiyo maana wadau mbali mbali wanasema huo mkataba ufanyiwe marekebisho maana una mapungufu mengi na hauna maslai kwa Tanzania, ni hayo tuu, sasa jipime kati yako wewe na mtoa mada ni nani mjinga, kumzidi mwenzieUnadhani unatoa ushauri wa busara kumbe unashindwa kutazama picha pana ya uchumi na ufanisi mzima wa bandari.
Umemezwa na siasa mpaka unasahau kuwa bandari yetu inatakiwa ifaidike na uwepo wa nchi hii kijiografia. Kwa akili hizi ni rahisi kukubaliana na msemo kwamba kwenye miti mingi hakuna wajenzi.
Kagame aliposema anaweza kuiendesha Tanzania kupitia bandari peke yake hakujumuisha na ujinga mwingi tulionao raia wa nchi hii.
Vilevile waliokamatwa kwa uhaini wote ni watanzania bara, hili nalo litaongeza ufa uliopo katika Muungano.[emoji817][emoji419][emoji817][emoji375]Mheshimiwa Rais, suala la Mkataba wa Bandari limefichua nyufa kubwa za Taifa letu hasa katika suala la Dini, Muungano, Ukabila, Ukanda, Jinsia na Itikadi za Siasa. Sasa naomba nikushauri kwa unyenyekevu mkubwa epuka mtego wa wasaidizi wako hasa huu wa kukamata watu na kuwaambia ni wahaini.
Huu ni mtego Mkubwa kwako ili 2025 ubaki mkiwa na watakutoa sadaka. Usicheze na Hawa Jamaa wana mbinu balaa. Hivi unadhani unaweza mfunga Dr. Slaa halafu watu wa dini za mlengo wake wakakaa kimya, watakuandama balaa na watataka kuthibitisha madai ambayo mimi sitaki kuamini ya udini na mambo kama hayo. Vilevile waliokamatwa kwa uhaini wote ni watanzania bara, hili nalo litaongeza ufa uliopo katika Muungano.
Ushauri Wangu, kuwa makini kubali sauti za kila upande, amua kwa busara, jikabidhi kwa Mungui akupe busara, hekima na uthabiti.
Wakati mwingine unaruka ndogo na kuangukia KubwaWakati mwingine, kwa haraka zako, ni bora kuacha moto uwake na kuzimika wenyewe, ukijaribu kuuruka unatumbukia motoni.
Atapigwa Pini na hakuna Cha mtego,Rais usisikilize Hawa wapuuzi,kwani Wanamuabudu Slaa? Who is Dr.Slaa by the way mhuni huyo aliyekuwa anafurahia kupigwa Lisasi Lisu na kufungwa Mbowe?Mheshimiwa Rais, suala la Mkataba wa Bandari limefichua nyufa kubwa za Taifa letu hasa katika suala la Dini, Muungano, Ukabila, Ukanda, Jinsia na Itikadi za Siasa. Sasa naomba nikushauri kwa unyenyekevu mkubwa epuka mtego wa wasaidizi wako hasa huu wa kukamata watu na kuwaambia ni wahaini.
Huu ni mtego Mkubwa kwako ili 2025 ubaki mkiwa na watakutoa sadaka. Usicheze na Hawa Jamaa wana mbinu balaa. Hivi unadhani unaweza mfunga Dr. Slaa halafu watu wa dini za mlengo wake wakakaa kimya, watakuandama balaa na watataka kuthibitisha madai ambayo mimi sitaki kuamini ya udini na mambo kama hayo. Vilevile waliokamatwa kwa uhaini wote ni watanzania bara, hili nalo litaongeza ufa uliopo katika Muungano.
Ushauri Wangu, kuwa makini kubali sauti za kila upande, amua kwa busara, jikabidhi kwa Mungui akupe busara, hekima na uthabiti.
Mjomba ni mama.. Lakini sio mama mzaziKweli kabisa walisema wataenda mtaani kuelimisha wananchi kuhusu mkataba baada ya kufeli wameubadilisha Mjadala saaa umekuwa ni Uhaini.
Hii mimi bado haijaniingia akilini.
Itakuwa Mwarabu anapendwa sana
Toeni ujinga wenu hapa,Chawa ndio walimtuma Slaa na waropokaji wengine wakafanye uhaini?Saa zingine naona kabisa huyu Maza hana shida wala kona yeyote ila hapa tatizo ni chawa wanampitisha kwenye miiba yaani nchi haiendeshwi kimpangilio imebaki mihemko
Wote walio penyezwa pesa na dp world warejeshe vitu hvyoArudishe chochote alichopokea kutoka DP World na asitishe mkataba dhalimu atakuwa salama!
Sio rahisi kihivyo vingine vilishakuwa manureArudishe chochote alichopokea kutoka DP World na asitishe mkataba dhalimu atakuwa salama!
Wala tatizo sio mkataba ila tatizo ni wahuni kusema eti wataongoza Maandamano kumpindua Rais , thubutu ngoja awanyooshe kwanza wawe na adabu.CCM walijipanga kwenda mikoa yote kuwashawishi watu uzuri wa mkataba huu, mambo yamewawia vigumu Sasa wameona dawa ni kubambika kesi ya uhaini kupoozesha mambo, lakini hata hili la kubambika kesi za uhaini sioni kama litafanikiwa.
SAS msigwa atakuelimisha nn wkt anafikiria tumbo lake lishibeeHivi serikali imeahindwa kutumia vyombo vya habari kuelimisha watu kuhusu huo mkataba kama kweli haupo au hauna dosari.
Sasa ndio utaona kama ulikuwa unaleta mzaha Kwa kuangalia jinsia ngoja Sasa uoneshwe kwamba jinsia has nothing to do with authoritySijawahi ona dictator wa jinsia ke duniani ngoja tuone itakavyo isha
Wajinga sana Hawa,walikuwa wanamdhihaki Rais na kumuona mtoto mdogo,ngoja awapelekee moto.acha upuuzi wako huo, we ndio unashabikia ubaguzi, waliokamwatwa ni wahalifu, hawakukamatwa kwasababu ya dini zao wala kuwa wametokea upande fulani wa muungano. Kwa hiyo kwa akili yako polisi ikamate mzanzibari hata hajafanya kosa? au imkamate muislam. Tumia akili kuliko makalio ktk kufikiri. Mama yetu atapita kwa kura za kishindo 2025 we nyau km umetumwa kumtisha rais wetu. We kweli ni kenge ufanye upumbavu uache kisa we mkatoliki na rais muislam? Kwanza hakuna wakristo wa kijinga hivyo.
Unaongelea dini gani? Wakristu, Wakatoliki!! Wakristu tuko very objective, hatuwezi kuunga mkono mtu ambaye anataka kutuharibia amani ya taifa letu.Mheshimiwa Rais, suala la Mkataba wa Bandari limefichua nyufa kubwa za Taifa letu hasa katika suala la Dini, Muungano, Ukabila, Ukanda, Jinsia na Itikadi za Siasa. Sasa naomba nikushauri kwa unyenyekevu mkubwa epuka mtego wa wasaidizi wako hasa huu wa kukamata watu na kuwaambia ni wahaini.
Huu ni mtego Mkubwa kwako ili 2025 ubaki mkiwa na watakutoa sadaka. Usicheze na Hawa Jamaa wana mbinu balaa. Hivi unadhani unaweza mfunga Dr. Slaa halafu watu wa dini za mlengo wake wakakaa kimya, watakuandama balaa na watataka kuthibitisha madai ambayo mimi sitaki kuamini ya udini na mambo kama hayo. Vilevile waliokamatwa kwa uhaini wote ni watanzania bara, hili nalo litaongeza ufa uliopo katika Muungano.
Ushauri Wangu, kuwa makini kubali sauti za kila upande, amua kwa busara, jikabidhi kwa Mungui akupe busara, hekima na uthabiti.