Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Kusema na kuandika ni rahisi lakini kutenda ni mtihani.Mbona Rais wa Marekani au PM wa Uingereza wao hawasafiri mara kwa mara kwenda kwneye nchi za wengine? tuchapeni kazi tuache kuomba omba kijinga, hakuna mtu alifanikiwa kwa kuomba omba hata mmoja, ardhi tunayo, madini, mito, mbunga kubwa, wanyama wa kila aina, tulichokosa ni akili na mfumo mbovu lakini MUNGU alitupa rasilimali zote hapa duniani
Mi natenda familia yangu haiombi kama ya mumeoKusema na kuandika ni rahisi lakini kutenda ni mtihani.
Tuliza hasira mkuu, mapovu hayana msaada.Mi natenda familia yangu haiombi kama ya mumeo
Kaza... Jpm si alikua anasema mkasema anaingilia majukumu,Mimi kama kuna jambo linalonishangaza kuhusu uongozi wa sasa ni ukimya wa Rais wa nchi, mambo mengi yanaendelea watu wana maswali mengi, tunapata habari tofauti, kwa nini Rais wa nchi hasimami na kuweka mambo sawa?
Kama hili la Wamasai kuondolewa kwa nini Mkuu wa nchi hatoki na kusema kuna hiki na kile, kwa nini watu wanaiongelea Serikali?
Kuna watu wanaamini kabisa Wamasai wanaondolewa kwa nguvu wakati Serikali inasema ni hiari, sasa kwa nini Rais hasimami na kuongea kumaliza mjadala?