chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
J K Kikwete akiongoza awamu ya sita.Achana na kodi ya miamala ya simu. Kuna kodi ya pembejeo ambayo kelele zake hazijasikika. Serikali imepandisha kodi ya pembejeo za kilimo ili kukomoa wakulima. Mbolea ya kupandia mazao aina ya DAP imeongezeka bei kutoka 52,000= hadi 92,000/= Mbolea za kukuzia Mf.UREA kutoka 48,000/=na sasa ni 80,000/= na CAN kutoka 40,000-60,000/=...
Kumbe angekuwa na akili angeanza kuula mpunga wenyewe ili apate nguvu ya kubeba magunia mengi zaidi.Huko ambako serikali inaheshimu matakwa ya umma, siyo kwa sababu viongozi walikuwa watakatifu bali wananchi walikataa kata kata kuburuzwa.
Huku ambako funguo zote za maisha tumewakabidhi watawala, tuwe tayari kufanya chochote mtawala anachokitaka...
J K Kikwete akiongoza awamu ya sita.Achana na kodi ya miamala ya simu. Kuna kodi ya pembejeo ambayo kelele zake hazijasikika. Serikali imepandisha kodi ya pembejeo za kilimo ili kukomoa wakulima. Mbolea ya kupandia mazao aina ya DAP imeongezeka bei kutoka 52,000= hadi 92,000/= Mbolea za kukuzia Mf.UREA kutoka 48,000/=na sasa ni 80,000/= na CAN kutoka 40,000-60,000/...
UmenenaHuko ambako serikali inaheshimu matakwa ya umma, siyo kwa sababu viongozi walikuwa watakatifu bali wananchi walikataa kata kata kuburuzwa.
Huku ambako funguo zote za maisha tumewakabidhi watawala, tuwe tayari kufanya chochote mtawala anachokitaka...
Hata wale wasiotaka kuona umuhimu wake wanakaribishwa,tuyakatae yasiyofaa kupitia katiba mpya.Katiba na tume huru ya uchaguzi zinahitajika haraka sn
Kweli aise yaani mbolea imepanda karibu mara mbili ya bei iliokuwa imezoeleka.N kweli au story tuu
Lipeni KODI maendeleo na we we yanakuhusuuu.Achana na kodi ya miamala ya simu. Kuna kodi ya pembejeo ambayo kelele zake hazijasikika. Serikali imepandisha kodi ya pembejeo za kilimo ili kukomoa wakulima. Mbolea ya kupandia mazao aina ya DAP imeongezeka bei kutoka 52,000= hadi 92,000/= Mbolea za kukuzia Mf.UREA kutoka 48,000/=na sasa ni 80,000/= na CAN kutoka 40,000-60,000/=
Watawala hawataki kubanwa wao wanataka kutanua na pesa za umma.Hata wale wasiotaka kuona umuhimu wake wanakaribishwa,tuyakatae yasiyofaa kupitia katiba mpya.
AiseeKuna likikundi la watu flani limekamata usukani wa Nchi na mama kaachiwa azunguke hovyo na Dreamliner. Hopeless kabisa.
Aendelee kupiga hapo hapo panapoumaHaya yote yanayoendelea nadhani tunayaona na hii itoshe kusema CCM hawana nia tena na kuongoza nchi.
Mmeongeza Kodi sawa, ndio iwe mara mbili? Ongezeko la 100% tena kwa kipindi hiki? HAPANA
Mama hii ni Kodi ya dhulma, haikubaliki. Watanzania wengi wamejiajiri kwenye kilimo lakini napo umeamua kuongeza kodi mara mbili kwenye mbolea.
Kweli tutaisoma namba, sasa hivi kila kitu beini mara mbili ukiuliza unaambiwa kodi mpya. Tutakoma.
Wale wakulima wenzangu kazi tunayo
Nilitegemea mama katika jitihada zako za kukuza uchumi basi ungepunguza haya makodi hasahasa kwenye sekta ya kilimo, Ila imekuwa vice versa
[emoji23][emoji23][emoji23]wewe oohYaani...! we acha tu
Hivi hawa wapitisha budget huwa wanamwakilisha nani?Tutaisha asee
Sukuma gang wameamua wamuharibie mamaKuna likikundi la watu flani limekamata usukani wa Nchi na mama kaachiwa azunguke hovyo na Dreamliner. Hopeless kabisa.