Rais Samia kweli umedhamiria kukusanya Kodi za dhuluma hadi kwenye mbolea?

Ww ndio ulimuombea mabaya Magu....
kaa kwa kutulia hatujakusahau
 
Wananchi wa marekani na nchi za ulaya zinawasikia Watanzania kuwa hawataki kulipa kodi eti wanataka wasaidiwe.

Aisee!

Ngoja wanachi wenzetu watusikie! Sijui watatuonaje, kweli tumekomaa au tulidekezwa mpaka ukubwani?
Hakuna anayekataa mhlipa kodi. Wanapinga kodi isoyolipika, inayoumiza
 
Kila tukiimba hapa kuwa CCM ilishafeli kuongoza hili Taifa hamsikii.Sasa mtaelewa kwa matendo yao.
 
Huyo ndiyo kipenzi cha watu na kodi ya dhuluma.
 
Tulilalamika mwendazake anaharibu uchumi Kwa kuwabana matajiri walipe Kodi, Sasa mama anataka wote tulipe kodi bado tunalalama. Mnataka Kodi alipe nani?
Mama ongeza kuupiga mwingi!
 
Nimekuwa naunga mkono tozo mbalimbali kama miamala na mafuta ila hili la mbolea hapana,hapa sijui Waziri alifikiria nini..kama hafai akae pembeni maana it is too much hiyo bei ni mara 2
 
Tulilalamika mwendazake anaharibu uchumi Kwa kuwabana matajiri walipe Kodi, Sasa mama anataka wote tulipe kodi bado tunalalama. Mnataka Kodi alipe nani?
Mama ongeza kuupiga mwingi!
Hakuna cha maskini wala nini mimi naunga mkono hizi tozo kila mtu alipe
 
Kwa nini wasizalishe ile mbolea ya minjingu ili ipatikane kwa bei nafuu kwa wakulima..
 
wee unazani huyo samia asipokusanya kodi atakula nini na vibaraka wake? na maisha ya gharama watayatolea wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…