Mtumishi wa Bwana89
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 3,191
- 4,220
Aondoke tuHuyu ana tatizo limejificha mahali. Kuna taasisi hazifanyi kazi yake inavyotakiwa. Kiti kinapwaya sana.
Hata Kinana juzi aligusia kubadilisha urais 2025 kwa lugha ya ishara. Deep state wameshaamua kumng'oa. Ni suala la muda tu atajulishwa kuwa muda wake wa kushikilia nafasi iliyokuwa wazi umeisha. Aachie wenye sifa wachukue.
[emoji23][emoji23][emoji23] ngoja Dr akukande na matusi
Ushaambiwa ni lugha ya ishara, unataka aandike?Ebu andika hiyo kauli ya kinana
Huruma ipi? Binafsi sio kwamba kila analofanya nalipinga ila naweka record sawa tu, Mama anapaswa kutengeneza parallel intelligence itakayomsaidia katika kufanya maamuzi na kuchukua hatua, akiendelea kutegemea ripoti za kina Said Nassoro ku deal na ushawishi wa kisiasa kwenye pembe ya Afrika mashariki atapotea.mtapata sonona maana kila kitu afanyacho rais mnapinga. mnatia huruma maskini
Tahila ww,kila kitu mnalaumuJe, ni busara kwa Rais Samia kwenda Kenya kwa siri bila Watanzania kujurishwa?
Je, Mama Samia anakwenda kusuruhisha Jirani huku Nyumbani haoni kama kuna cheche zinazoashiria moto?
---
View attachment 2699204
Pia soma: Raila Odinga: Rais Samia alikuja Kenya kutusuluhisha mgogoro lakini Rais Ruto akaingia mitini
Source: Raila Odinga na BBC.
official duties gani?She played cheap politics. Alienda Kenya kwa mualiko wa Uhuru Kenyatta na Raila Odinga, akadhani Siasa za Kenya ni kama za CCM na Chadema akadhani atakua na ushawishi wa kumsihi Rutto afanye mazungumzo na Odinga kwa bahati mbaya Rutto akamuwekea tinted, hakuwa na namna ikabidi arudi nyumbani kimya kimya. What a shame. BTW Rutto kesho yuko TZ kwa official duties. Sema walevi huwa tunapeana matumaini sana.
Waipate mara ngapi? "sonona" limewashika mpaka...mtapata sonona maana kila kitu afanyacho rais mnapinga. mnatia huruma maskini
Duh!Je, ni busara kwa Rais Samia kwenda Kenya kwa siri bila Watanzania kujurishwa?
Je, Mama Samia anakwenda kusuruhisha Jirani huku Nyumbani haoni kama kuna cheche zinazoashiria moto?
---
View attachment 2699204
Pia soma: Raila Odinga: Rais Samia alikuja Kenya kutusuluhisha mgogoro lakini Rais Ruto akaingia mitini
Source: Raila Odinga na BBC.
Ameshaambiwa hiloHuyu ana tatizo limejificha mahali. Kuna taasisi hazifanyi kazi yake inavyotakiwa. Kiti kinapwaya sana.
Hata Kinana juzi aligusia kubadilisha urais 2025 kwa lugha ya ishara. Deep state wameshaamua kumng'oa. Ni suala la muda tu atajulishwa kuwa muda wake wa kushikilia nafasi iliyokuwa wazi umeisha. Aachie wenye sifa wachukue.
Lazima kuna kitu kimetokea kule kiasi cha kumkera Raila na kuamua kufichua siri akijufanya ana aporeciate kumbe anawatonya watanzania kuhusu wasichokijua.Eti alikaa siku mbili akisubiri kusuluhisha
Tafuta thread za mazezeta wenzako wa Uvccm, hii thread siyo size yako, vilaza wenzako wanapita kimya kimya na wewe Fanya hivyo.Kwa hiyo unaamini maneno ya Odinga ndo unaleta uzi humu? Hayo maneno yana ukweli wowote? Umethibitisha?
Anaumwa Mavi huyo Uvccm, sijawahi kuwa na account Twitter na wala sifikirii.Twitter matola anatumia I'd gani
Fistula inatibika, wahi matibabu.Wewe kama nani kwenye "protocol" na usalama wa Rais hata ujulishwe safari zake zote?
.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Hataki kurudisha? Wataka kusema kuna mzigo alipelekwa huko?DP World imemchanganya sana Samia... Rushwa na hongo ni tamu tu pale usipotakiwa kuzirudisha!
Hivi wewe takadini na BBC nani ni reliable source?Huyo mleta mada alikuwa chooni kwa wiki mbili, habari zishakuwa historia yeye ndiyo anashangaa leo.
Mnamsema halafu alishawahi kusema ni mdau mzuri wa JF so huenda hii ameisomaNdio nasikia hapa kwenye news citizen ..secret travel 2 days Kwa ndege ya jeshi Tena hotel huko porini. Raisi ni mtu nyeti hizi safari za design hii si salama kwake.....halafu trip yenyewe Rutto kampuuza vibaya according to Raila speech..ndio Sasa Rutto anakuja kesho Tanzania kuongea nae halafu akirudi Kenya ndio wakae chini na odinga.
Samia Trip yake Kenya ya Siri imekuwa ya dharau Sana Bora hata asingeenda..na why huende kabla ya confirmation ya uhakika ya kukutana na wahusika unaoneda kuonana nao?