MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,304
WEWE nani mpaka uambiwe kila kitu? Sio kila afanyacho Rais lazima wananchi wajueJe, ni busara kwa Rais Samia kwenda Kenya kwa siri bila Watanzania kujurishwa?
Je, Mama Samia anakwenda kusuruhisha Jirani huku Nyumbani haoni kama kuna cheche zinazoashiria moto?
---
View attachment 2699204
Pia soma: Raila Odinga: Rais Samia alikuja Kenya kutusuluhisha mgogoro lakini Rais Ruto akaingia mitini
Source: Raila Odinga na BBC.
Rubbish.WEWE nani mpaka uambiwe kila kitu? Sio kila afanyacho Rais lazima wananchi wajue
[emoji419][emoji375]DP World imemchanganya sana Samia... Rushwa na hongo ni tamu tu pale usipotakiwa kuzirudisha!
Aombe msamaha kwa lipi?official duties gani?
Sio anakuja kuomba msamaha kweli? na kuweka mambo sawa?
Alaah, huku ndani anatuzibia masikio kisha anaenda nje kusuluhisha?!Ana matatizo makubwa sana. Anaenda kulazimisha kusuluhisha nchi za watu wakati ya kwake imemshinda?
Ndiyo maana wakamdharau na kumwacha huko ajisuluhishe mwwnyewe na machawa wake.
inasemekana huwa anaenda dubai mara kwa mara pia......najaribu kuwaza kama wewe pia!Me nawaza tu, huyu joyce banda alipokelewa na nani pale Jomo Kenyatta International Airport?
Tanzania? Hao deep state Toka lini hawapendi incompetence? Mbona hata huko jeshini ndio Kuna ufisadi wa kutosha? Hakuna Cha deep state Wala Nini wote wananufaika nchi ikiwa na ufisadi otherwise CCM ingeshatolewa madarakani 1995.Huyu ana tatizo limejificha mahali. Kuna taasisi hazifanyi kazi yake inavyotakiwa. Kiti kinapwaya sana.
Hata Kinana juzi aligusia kubadilisha urais 2025 kwa lugha ya ishara. Deep state wameshaamua kumng'oa. Ni suala la muda tu atajulishwa kuwa muda wake wa kushikilia nafasi iliyokuwa wazi umeisha. Aachie wenye sifa wachukue.
Ziara ya Mhe. Rais lazima ifahamike na itangazwe kwa wananchi wake. Ziara yake Kenya kama wananchi tulitakiwa tujue.Kwa hiyo unaamini maneno ya Odinga ndo unaleta uzi humu? Hayo maneno yana ukweli wowote? Umethibitisha?
Odinga siyo level yako, ni mtu makini sana na ni msomi bwashee hajaishia form four sawaKwa hiyo unaamini maneno ya Odinga ndo unaleta uzi humu? Hayo maneno yana ukweli wowote? Umethibitisha?
Koryo nade omera wacha aende bwana ale raha, Nairobi siyo Dar ina raha zake omeraZiara ya Mhe. Rais lazima ifahamike na itangazwe kwa wananchi wake. Ziara yake Kenya kama wananchi tulitakiwa tujue.
Ishara inaweza kuelezwa Kwa maandishiUshaambiwa ni lugha ya ishara, unataka aandike?
Ukweli unauma RUBBISHRubbish.
Siku 6?? Ni wiki mbiliHuyu mama tangu alipoahamishia serikali na kukaa marekani siku zaidi ya 6 kuzindua Royal tour nikajua tu hapa tumepigwa na katiba. Ndiyo maana mara nyingi ninapojaribu kutoa kasoro na mapungufu ya Rais kuna nafsi inaniambia "usimseme sana" kumbuka ni amateur kwenye office inayohitaji pro. Natamani kumalizia hasira zangu kwenye katiba...
Ruto akija Tanzania naye amkimbie.Ndio nasikia hapa kwenye news citizen ..secret travel 2 days Kwa ndege ya jeshi Tena hotel huko porini. Raisi ni mtu nyeti hizi safari za design hii si salama kwake.....halafu trip yenyewe Rutto kampuuza vibaya according to Raila speech..ndio Sasa Rutto anakuja kesho Tanzania kuongea nae halafu akirudi Kenya ndio wakae chini na odinga.
Samia Trip yake Kenya ya Siri imekuwa ya dharau Sana Bora hata asingeenda..na why huende kabla ya confirmation ya uhakika ya kukutana na wahusika unaoneda kuonana nao?
It is funny,Samia akasuluhishe Kenya?Kwa moral authority ipi .Je, ni busara kwa Rais Samia kwenda Kenya kwa siri bila Watanzania kujurishwa?
Je, Mama Samia anakwenda kusuruhisha Jirani huku Nyumbani haoni kama kuna cheche zinazoashiria moto?
---
View attachment 2699204
Pia soma: Raila Odinga: Rais Samia alikuja Kenya kutusuluhisha mgogoro lakini Rais Ruto akaingia mitini
Source: Raila Odinga na BBC.