Rais Samia kwenda Kenya kimyakimya: Je, ni sahihi kwa Usalama wake? Kwanini Usalama wa Taifa wametuficha ziara ya Rais wetu kwenda Kenya?

Rais Samia kwenda Kenya kimyakimya: Je, ni sahihi kwa Usalama wake? Kwanini Usalama wa Taifa wametuficha ziara ya Rais wetu kwenda Kenya?

DP World imemchanganya sana Samia... Rushwa na hongo ni tamu tu pale usipotakiwa kuzirudisha!
[emoji419][emoji375]
20230726_070003.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ana matatizo makubwa sana. Anaenda kulazimisha kusuluhisha nchi za watu wakati ya kwake imemshinda?

Ndiyo maana wakamdharau na kumwacha huko ajisuluhishe mwwnyewe na machawa wake.
Alaah, huku ndani anatuzibia masikio kisha anaenda nje kusuluhisha?!
 
Me nawaza tu, huyu joyce banda alipokelewa na nani pale Jomo Kenyatta International Airport?
inasemekana huwa anaenda dubai mara kwa mara pia......najaribu kuwaza kama wewe pia!
imagine blackmail anayopigwa hapo[emoji23]
 
Huyu ana tatizo limejificha mahali. Kuna taasisi hazifanyi kazi yake inavyotakiwa. Kiti kinapwaya sana.

Hata Kinana juzi aligusia kubadilisha urais 2025 kwa lugha ya ishara. Deep state wameshaamua kumng'oa. Ni suala la muda tu atajulishwa kuwa muda wake wa kushikilia nafasi iliyokuwa wazi umeisha. Aachie wenye sifa wachukue.
Tanzania? Hao deep state Toka lini hawapendi incompetence? Mbona hata huko jeshini ndio Kuna ufisadi wa kutosha? Hakuna Cha deep state Wala Nini wote wananufaika nchi ikiwa na ufisadi otherwise CCM ingeshatolewa madarakani 1995.
 
Kwa hiyo unaamini maneno ya Odinga ndo unaleta uzi humu? Hayo maneno yana ukweli wowote? Umethibitisha?
Ziara ya Mhe. Rais lazima ifahamike na itangazwe kwa wananchi wake. Ziara yake Kenya kama wananchi tulitakiwa tujue.
 
Ziara ya Mhe. Rais lazima ifahamike na itangazwe kwa wananchi wake. Ziara yake Kenya kama wananchi tulitakiwa tujue.
Koryo nade omera wacha aende bwana ale raha, Nairobi siyo Dar ina raha zake omera
 
Wakulaumiwa wanaomzunguka hasa Usalama wa taifa, Wao ndio wanaotakiwa wam guide katika Kila jambo analofanya sasa kwa inavyoonekana ni kana kwamba Rais ndio anawaambia usalama wa taifa nini Cha kufanya na mbaya zaid wanamfuata.
 
Sidhani kama Ruto angekubali kuongea na mtu ambaye anajua ni Pro -uhuru..........Ruto na Uhuru walikuwa Ikulu walikuwa hawaelewani na dunia nzima ililijua hilo,nayeye alishaenda mara kadhaa Kenya, kwanini asingewapatanisha wakati ule,RUTO anajua Samia,Uhuru ni rafiki yake mkubwa ndiyo maana kamkaushia tu
 
Huyu mama tangu alipoahamishia serikali na kukaa marekani siku zaidi ya 6 kuzindua Royal tour nikajua tu hapa tumepigwa na katiba. Ndiyo maana mara nyingi ninapojaribu kutoa kasoro na mapungufu ya Rais kuna nafsi inaniambia "usimseme sana" kumbuka ni amateur kwenye office inayohitaji pro. Natamani kumalizia hasira zangu kwenye katiba...
Siku 6?? Ni wiki mbili
 
“the president of Tanzania was here two weeks ago, by the invitation of president Ruto to mediate. We attended but president Ruto didn’t show up, she stayed for two days”.

Huyo ni mtu aliejiendea tu, au kaalikwa na raisi wa Kenya kufika huko mwenyeji ndio akutokea.

If anything Ruto asiichukulie Tanzania poa na kudhani anaweza ipotezea muda taasisi ya uraisi at whim. But then atujui kama aliongea na Ruto kwenye simu na kumpa sababu kwanini kaghairi.

Kama ilivyo hadha yetu kilichotokea na kinachodaliwa ni vitu viwili tofauti.
 
Ndio nasikia hapa kwenye news citizen ..secret travel 2 days Kwa ndege ya jeshi Tena hotel huko porini. Raisi ni mtu nyeti hizi safari za design hii si salama kwake.....halafu trip yenyewe Rutto kampuuza vibaya according to Raila speech..ndio Sasa Rutto anakuja kesho Tanzania kuongea nae halafu akirudi Kenya ndio wakae chini na odinga.

Samia Trip yake Kenya ya Siri imekuwa ya dharau Sana Bora hata asingeenda..na why huende kabla ya confirmation ya uhakika ya kukutana na wahusika unaoneda kuonana nao?
Ruto akija Tanzania naye amkimbie.
 
Back
Top Bottom