Rais Samia kwenye hili la ajira mpya umeturudisha nyuma alipotuachia Hayati Magufuli

Rais Samia kwenye hili la ajira mpya umeturudisha nyuma alipotuachia Hayati Magufuli

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Rais Magufuli wakati wa kampeni alahidi kutoa ajira milioni 8, pia aliyekuwa kaimu waziri wa fedha kipindi cha Magufuli (Wakati Dk. Mpango akiwa anaumwa) Mwigulu Nchemba akisoma mpano wa bajeti ya 2020/2021 mwezi Februari alisema watatoa ajira milioni 12, iweje sasa Samia anatoa ajira elfu 40 pekee? kwa spidi hii hata kama miaka 5 ikipita hatutafikia hata ajira laki 2

E0XqnFeXoAII4-l.jpg
 
Mbona linawezakana Mkuu..

40K wachache sana,mbali na hapo mwaka huu + mwaka jana kuna wazee walistaafu hivyo damu changa ambazo ni special.. zinatafutwa zikapige kazi.

Walimu wanastaafu,NSSF huko wanastaafu,sijui manini nini huko mara TRA huko + kada za afya nk
 
Ajira milion 8 ni mpaka 2025,hizi walizotangaza ni za serikali ,za makampuni binafsi zinakuja lukuki,uwe mvumilivu kijana
kwani Serikali inatoa ajira kwenye makampuni binafsi? Maana Magufuli alisema Serikali ndio itatoa
 
kwani Serikali inatoa ajira kwenye makampuni binafsi? Maana Magufuli alisema Serikali ndio itatoa
Makampuni yatepewa ruhusa na serikali kuingia nchini kufanya kazi ,hivyo yataajiri ajira rasmi na zisizo rasmi na kufikisha idadi tajwa ,hivyo jukumu hili ni la serikali kwa mapanae yake
 
Rais Magufuli wakati wa kampeni alahidi kutoa ajira milioni 8, pia aliyekuwa kaimu waziri wa fedha kipindi cha Magufuli (Wakati Dk. Mpango akiwa anaumwa) Mwigulu Nchemba akisoma mpano wa bajeti ya 2020/2021 mwezi Februari alisema watatoa ajira milioni 12, iweje sasa Samia anatoa ajira elfu 40 pekee? kwa spidi hii hata kama miaka 5 ikipita hatutafikia hata ajira laki 2

View attachment 1770907

E0NhMwdXIAAW0HL (1).jpeg
 
Mbona linawezakana Mkuu..

40K wachache sana,mbali na hapo mwaka huu + mwaka jana kuna wazee walistaafu hivyo damu changa ambazo ni special.. zinatafutwa zikapige kazi.

Walimu wanastaafu,NSSF huko wanastaafu,sijui manini nini huko mara TRA huko + kada za afya nk
Hivi una akili kweli wewe ?
 
Back
Top Bottom