Kwani kabla ya hapo yalikuwa hayaruhusiwi kuja kuwekeza nchini ?Makampuni yatepewa ruhusa na serikali kuingia nchini kufanya kazi ,hivyo yataajiri ajira rasmi na zisizo rasmi na kufikisha idadi tajwa ,hivyo jukumu hili ni la serikali kwa mapanae yake
sasa hizo si hazina guarantee? maana makampuni yanaweza yasije kwa kiasi hicho. Yaani unaweza kuahidi mtu kitu halafu kitu chenyewe ni cha kutegemea kutoka kwa mtu wa tatu?Makampuni yatepewa ruhusa na serikali kuingia nchini kufanya kazi ,hivyo yataajiri ajira rasmi na zisizo rasmi na kufikisha idadi tajwa ,hivyo jukumu hili ni la serikali kwa mapanae yake
kwa nini mkuu?Katika Marais tunaopaswa kuwaombea ni huyu mama
Swali jepesi,fahamu awamu ya nne makampuni mengi ya kitapeli(briefcase companies)zilijaa.Kwani kabla ya hapo yalikuwa hayaruhusiwi kuja kuwekeza nchini ?
Hapana ,yatakuja ,yamepiga foleni za kutosha ,yanasubiri kipyenga,yana munkari haswasasa hizo si hazina guarantee? maana makampuni yanaweza yasije kwa kiasi hicho. Yaani unaweza kuahidi mtu kitu halafu kitu chenyewe ni cha kutegemea kutoka kwa mtu wa tatu?
Ccm haijawahi kuwa mtetezi wa mwananchi.Rais Magufuli wakati wa kampeni alahidi kutoa ajira milioni 8, pia aliyekuwa kaimu waziri wa fedha kipindi cha Magufuli (Wakati Dk. Mpango akiwa anaumwa) Mwigulu Nchemba akisoma mpano wa bajeti ya 2020/2021 mwezi Februari alisema watatoa ajira milioni 12, iweje sasa Samia anatoa ajira elfu 40 pekee? kwa spidi hii hata kama miaka 5 ikipita hatutafikia hata ajira laki 2
View attachment 1770907
Hizo ni hadithi za kina KapetoAjira milion 8 ni mpaka 2025,hizi walizotangaza ni za serikali ,za makampuni binafsi zinakuja lukuki,uwe mvumilivu kijana
Wewe mama yako yupo chatoAhadi ya kwenye ilani iko pale pale.
Hawa elfu 40 ni ahadi ya mama!
Mimi nilitaka kujua zamani wawekezaji walikuwa hawaruhusiwi kuja kuwekeza nchini ?Swali jepesi,fahamu awamu ya nne makampuni mengi ya kitapeli(briefcase companies)zilijaa.
Awamu ya tano ikasafisha nyumba
Mwendazake alikuwa anaishi kwenye FAKE world. Alipo pata FAKE PhD akaamua adanganye kila kitu.Rais Magufuli wakati wa kampeni alahidi kutoa ajira milioni 8, pia aliyekuwa kaimu waziri wa fedha kipindi cha Magufuli (Wakati Dk. Mpango akiwa anaumwa) Mwigulu Nchemba akisoma mpano wa bajeti ya 2020/2021 mwezi Februari alisema watatoa ajira milioni 12, iweje sasa Samia anatoa ajira elfu 40 pekee? kwa spidi hii hata kama miaka 5 ikipita hatutafikia hata ajira laki 2
View attachment 1770907
Ili kubalansi story yako ingependeza kwenye uzi huu na Magufuli angekuwa hai ,kwa sasa hii ni porojo tuMimi nilitaka kujua zamani wawekezaji walikuwa hawaruhusiwi kuja kuwekeza nchini ?
Hayo ya awamu ya nne na tano yametoka wapi ?
Kwa maana yako kwenye kampeni walidanganya?Mama hataki kua mnafiki, kuongea Vitu visivyowezekana
Unayumba mkuuAhadi ya kwenye ilani iko pale pale.
Hawa elfu 40 ni ahadi ya mama!
Hili ndiyo jibu la nilichouliza ?Ili kubalansi story yako ingependeza kwenye uzi huu na Magufuli angekuwa hai ,kwa sasa hii ni porojo tu
Sina ndio maana umeniuliza Boss..Hivi una akili kweli wewe ?
Hahahaaaa..... Wasalimie wamakonde wote hapo Nanguruwe!Wewe mama yako yupo chato
Katika Marais tunaopaswa kuwaombea ni huyu mama