Pre GE2025 Rais Samia, kwenye mabadiliko Madogo, Jumaa Aweso na Dorothy Gwajima tunaomba usiwaguse

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Apige watu chini kwenye vyuo na secta nyingine Kuna watu wenye weledi wakazi hii hamishahamisha sio sawa
 
Aya ya mwisho umeonesha chuki na visasi vyako!! Kabla ya Mpina tumewahi kuwa na wapiganaji wazuri sana sana akiwemo Zito na Tumbiri!! Hawa wote walitaka vyeo?

Ni Tumbili tu siku hizi ndo anatafuta vyeo kupitia Kwa bi mdogo wake Lucas
 
Unavyopanga sasa kama wewe ndio rais mwenyewe 🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…