Pre GE2025 Rais Samia, kwenye mabadiliko Madogo, Jumaa Aweso na Dorothy Gwajima tunaomba usiwaguse

Pre GE2025 Rais Samia, kwenye mabadiliko Madogo, Jumaa Aweso na Dorothy Gwajima tunaomba usiwaguse

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Salaam Wakuu,

Nadhani mtakubaliana nami kwamba hawa ni miongoni mwa Mawaziri wanaofanya vizuri.

Juma Aweso, Dorothy Gwajima na Dotto Biteko, ndo aina ya Mawaziri Tanzania inataka kuwaona.
View attachment 3020019Waziri Dkt. Dorothy Gwajima

Biteko kinachomkwambisha kazi ni nyingi. Anazidiwa.

Napendekeza apewe manaibu Waziri wawili. Mmoja awe Tanesco na mwingine akomae na Rea pamoja na taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishati.

Jirani yake Kassim Majaliwa Pale Makambi Mjini Songea, Dada Jenista Mhagama atulie hapo hapo.
View attachment 3020021
WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso

Ila pia nashauri Mkwe wetu Mchengerwa aondolewe Tamisemi ili Dr. Mkenda akafanye kazi mambo aliyosomea Tamisemi.

Mchengerwa apelekwe Muungano na Mazingira, na Jafo apelekwe Wizara ya Utalii.

Abdallah Ulega na Damas Ndumbaro wapangiwe kazi nyingine.

Ashantu Kijaji apewe Manaibu Wawili wapya na mmoja awe Viwanda Mwingine Biashara.

Kilimo apewe Luhaga Mpina ili tuone Kelele zake kama zinaendana na Vitendo.
Na kwenye sukari vipi napo akaushe tu?
 
Huyo jamaa ktk mawaziri wote tz ndo waziri pekees anaejua kwamba yuko kwa ajiri ya wananchi.Big up sana Jery slaaa umeonesha vijana akipewa madaraka wanaweza.
Hakuna analolifanya, anachofanya sio kazi yake, ni sawa na jaji kusikiliza kesi za mahakama ya mwanzo, amezidiwa kwa mbali sana na mtangulizi wake wa kiume achana na huyu Mabula aliyetolewa juzi.
 
Tumekiona kikosi chako ingawa sidhani kama kinaweza kuleta ushindi wa kweli kwenye timu yetu pendwa
 
Jenista Mhagama atolewe huyu mama ni useless. Japo ni mbunge wangu lakini hafaiii.

Atokeeeeeeee
 
Hakuna analolifanya, anachofanya sio kazi yake, ni sawa na jaji kusikiliza kesi za mahakama ya mwanzo, amezidiwa kwa mbali sana na mtangulizi wake wa kiume achana na huyu Mabula aliyetolewa juzi.
Mm kwangu naona anajitahidi kuna uozo mkubwa sana ardhi
 
Wee mtoa mada hebu tulia, watu wanavyolia miezi 6 sasa hawapati maji huoni?
Hapo anayefanya kazi ikaonekana na anasaidia ni Waziri wa Ardhi. Wengi ni mzigo kwa Serikali.
 
Salaam Wakuu,

Nadhani mtakubaliana nami kwamba hawa ni miongoni mwa Mawaziri wanaofanya vizuri.

Juma Aweso, Dorothy Gwajima na Dotto Biteko, ndo aina ya Mawaziri Tanzania inataka kuwaona.
View attachment 3020019Waziri Dkt. Dorothy Gwajima

Biteko kinachomkwambisha kazi ni nyingi. Anazidiwa.

Napendekeza apewe manaibu Waziri wawili. Mmoja awe Tanesco na mwingine akomae na Rea pamoja na taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishati.

Jirani yake Kassim Majaliwa Pale Makambi Mjini Songea, Dada Jenista Mhagama atulie hapo hapo.
View attachment 3020021
WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso

Ila pia nashauri Mkwe wetu Mchengerwa aondolewe Tamisemi ili Dr. Mkenda akafanye kazi mambo aliyosomea Tamisemi.

Mchengerwa apelekwe Muungano na Mazingira, na Jafo apelekwe Wizara ya Utalii.

Abdallah Ulega na Damas Ndumbaro wapangiwe kazi nyingine.

Ashantu Kijaji apewe Manaibu Wawili wapya na mmoja awe Viwanda Mwingine Biashara.

Kilimo apewe Luhaga Mpina ili tuone Kelele zake kama zinaendana na Vitendo.
Kwa hiyo Aweso ndo Waziri mzuri! Nchi hii inawajinga wengi sana!
 
Kwa mabadiliko haya ya mara kwa mara, bado unaamini shida ni MAWAZIRI na WATEULE wengine?
 
Back
Top Bottom