Rais Samia lazima awe Mwenyekiti CCM

Unatafuta kick tu mbona hilo liko wazi??
 
Mwakibinga msaka tonge akiwa kazini, mwanaharakati anaeharakatia tumbo lake hawezi kudumu upinzani kwani anakuwa kama demu maharage ya mbeya akiombwa hakatai.
 
Andika kwa kiswahili tuu mkuu.
Kichwa cha makala tuu umechapia. Mods saidieni kuhariri hili bandiko.
 
Automatically Rais Samia ni Mwenyekiti wa CCM ila wale wanaopanic wengi wao ni udini unawasumbua Kuanzia Zitto, Kikwete na hata Lipumba. Hawana lolote zaidi ya Dini. Islam ndugu yake islam.
 
Kuna mabakia na nasalia ya watu wasiohitajika na wanaompinga Mama Samia wazi wazi juu ya Uenyekiti wa CCM.

Masalia hao wa ajulikana, na ni wale wafaidika wakubwa wa teuzi zisizo na tija Awamu uliyopita.
Tunaona waliotumwa wazi wazi kumpinga mama ati oooh, Mzanzibari, mara ooh hawezi!

Mshindwe na mlegee.

CCM Zilipomchagua Mama Samia kuwa Makamu wa Rais walijua uwezo wake.
Wanaompinga Mama Samia Uenuyekiti wa CCM, njooni hapa tupambane kwa hoja!
Mufilisi nyie!
 
Tangu zamani watoto walilala pamoja na wageni; lakini mlawiti mmoja ndiye aliyewafanya wazazi waone umhimu wakutenganisha watoto na wageni!

Unapouliza Kwanini sasa na Mimi nitakuuliza unataka hadi watoto wangapi walawitiwe?
Kutenganisha kofia ya urais na uenyekiti ni mhimu!
 
Kama una uzoefu wa kulawitiwa na viongozi waliopita tafuta ushauri nasaha.
 
Siyo lazima ila katiba za chama ndiyo zinaelekeza ivyo kuwa Rais wa nchi ndiye anayetakiwa kuwa Mwenyekiti wa chama, siyo kulazimisha bali ni wajibu kuwa ivyo
 
Ukishika dola ni lazima uwe mwenyekiti wa chama kilichokufanya ushike dola , Ni falsafa ya baba wa taifa na Ina ukweli
 
Kofia mbili zitenganishwe Ili kuzuia udikteta nchini
 
kwani kuna mtu amekataa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…