Rais Samia leo Juni 03 amepokea ujumbe maalumu kutoka kwa Rais Kagame wa Rwanda

Rais Samia leo Juni 03 amepokea ujumbe maalumu kutoka kwa Rais Kagame wa Rwanda

Huyu jamaa ni dharau na kibri
Rais Paul Kagame ana IQ Kubwa ( Genius ) ambayo ni Marais Watatu tu Tanzania nzima walikuwa nayo ambao ni Hayati Mwalimu Nyerere, Hayati Mkapa na Hayati Dkt. Magufuli.

Asiyempenda HE Kagame ni damn Fool.
 
Mimi si Mnyarwanda bali ni Mtanzania kutokea Kisiwani Pemba hapa ninayejitambua na sikurithishwa Upumbavu na Wazazi, Mababu na Mabibi kama mlivyo Watanzania wengi ( japo siyo wote )

lee van cliff fanya investigation hapa maana Krav Maga ni Martial Arts ya Ki_Israel..........LIKUD again Purely Talented Popoma.

Cc: Bushmamy
 
Back
Top Bottom