Mkuu huyo naye anakusumbua kweli, ukimjibu anajisikia raha sana bora unapita kimya tu, kifupi hafai hata kutukanwa.Duh [emoji849] mijitu mingine bure kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huyo naye anakusumbua kweli, ukimjibu anajisikia raha sana bora unapita kimya tu, kifupi hafai hata kutukanwa.Duh [emoji849] mijitu mingine bure kabisa.
Aaaah masihara haya !!!!Ujumbe kutoka Rwanda leo umekutana na Rais Samia Ikulu Dodoma na kumpa salamu maalumu kutoka kwa Rais Paul Kagame..
Naona kigololi kimekushuka lazima umtaje LissuLisu anapambana na Diamond kumbuka Diamond ameajiri maelfu ya watu huku Lisu akiwa hana legacy nchini na hata jimboni kwake alipowahi kuwa mbunge kwa miaka kumi.Lisu kwa sasa amefugwa na Amsterdam Ubelgiji.
.Siyo wa kumwamini sana, ni kinyonga fulani hivi
Ukisikia mtu kuanza kuugua uwendawazimu, ndiyo huku. Hailewi hata kinachojadiliwa, anaporomosha tu chochote kilichobakia kichwani wakati akili ilipokuwa inaondoka.Lisu anapambana na Diamond kumbuka Diamond ameajiri maelfu ya watu huku Lisu akiwa hana legacy nchini na hata jimboni kwake alipowahi kuwa mbunge kwa miaka kumi.Lisu kwa sasa amefugwa na Amsterdam Ubelgiji.
Acha Ushamba katika Medani za Diplomasia na Itifaki huwa hakuna Msamiati wa Kuwahi au Kuchelewa hasa katika kutoa Tamko au Taarifa fulani. Nasisitiza tena acha Ushamba.mzee wa mikakati bhana! siku zote alikuwa anafikiria kutoa pole au hakusikia msiba wa kifo cha raisi mwana east africa mwenzie... vituko tu hivi
Too little too late.Ujumbe kutoka Rwanda leo umekutana na Rais Samia Ikulu Dodoma na kumpa salamu maalumu kutoka kwa Rais Paul Kagame.
Katika salamu hizo Rais Kagame kwanza ametoa pole kwa Rais Samia kufuatia kifo cha Hayati Magufuli na pia amempongeza mama Samia kwa kupokea kijiti.
Pia Kagame amesisitiza kuwa miradi yote ya pamoja itatekelezwa ipasavyo ikiwemo ujenzi wa SGR.
Kuna Watu ni Wapumbavu hapa duniani. Hivi hamjui kuwa Rais Kagame alitoa sana pole zake katika Msiba ule mpaka akamtuma Mwakilishi wake ( nadhani Waziri Mkuu au Balozi ) wake pale Dodoma na mpaka kule Mazikoni Chato Mkoani Geita?Alikuwa wapi siku zote
nimekuelewa mwerevu, nisamehe mfugajiAcha Ushamba katika Medani za Diplomasia na Itifaki huwa hakuna Msamiati wa Kuwahi au Kuchelewa hasa katika kutoa Tamko au Taarifa fulani. Nasisitiza tena acha Ushamba.
Kwani huyo JK ndiyo Rais wa Tanzania?Kuna fursa kaiona hivyo kaja kinyume uzuri Jk anamjua vizuri
Mbona inafanya sana tu Safari nchini?Nimekuta Jet ya RwandaAir oale airport Dodoma asubuhi leo
Hata Watanzania hamuaminiki Makwao.Siyo wa kumwamini sana, ni kinyonga fulani hivi
Rejea tukio la Kumuaga Hayati Rais Dkt. Magufuli Kitaifa pale Dodoma kisha msikilize aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje Mzee Kabudi alimtaja nani kutoka Rwanda Kumuwakilisha Rais Kagame na alitoa Salamu zake zipi.Ametuma Leo??? Mbona inashangaza alikuwa wapi muda wote?
Watanzania wengi ( siyo wote ) wana Ujuha ( Upuuzi ) mwingi sana tu Ndugu yangu.mbona walitoa pole waliomboleza kama nchi na kushusha bendera kwa siku kadhaa hadi alipozikwa
Another Fool. Nani kakuambia kuwa Kidiplomasia na Kiitifaki Safari au Ziara za Marais hupangwa Kiholela kama Wewe unavyotoka Kyela kwenda Namtumbo kila ukijisikia tu.Too little too late.
Kagame kajishaua kwa miezi miwili, huku tukimuomboleza Mwendazake.
Mama Samia kaenda Kaenda, kaenda Kenya.
Rwanda NO!
Lissu anahusikaje kwenye hii Post?
Utakuja kuolewa bila kupenda.
Punguzeni Ujuha wenu unaowasumbua.nimekuelewa mwerevu, nisamehe mfugaji
Acha kutokwa na mapovu au wewe ni side chick ya Paulo?Watanzania wengi ( siyo wote ) wana Ujuha ( Upuuzi ) mwingi sana tu Ndugu yangu.
Leo wanashangaa Rais Kagame kuendelea kutoa Pole zake na hadi kumtuma Mwakilishi huyo..
Maelfu? hivi shuleni mlienda somea ujinga au?Lisu anapambana na Diamond kumbuka Diamond ameajiri maelfu ya watu huku Lisu akiwa hana legacy nchini na hata jimboni kwake alipowahi kuwa mbunge kwa miaka kumi.Lisu kwa sasa amefugwa na Amsterdam Ubelgiji.
Nimekuelewa bwashee!Watanzania wengi ( siyo wote ) wana Ujuha ( Upuuzi ) mwingi sana tu Ndugu yangu.
Leo wanashangaa Rais Kagame kuendelea kutoa Pole zake na hadi kumtuma Mwakilishi huyo...