Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Ndio alivyopanga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu anahusikaje kwenye hii Post?Lisu anapambana na Diamond kumbuka Diamond ameajiri maelfu ya watu huku Lisu akiwa hana legacy nchini na hata jimboni kwake alipowahi kuwa mbunge kwa miaka kumi.Lisu kwa sasa amefugwa na Amsterdam Ubelgiji.
Kwani kila taarifa lazima upost?Ujumbe kutoka Rwanda leo umekutana na Rais Samia Ikulu Dodoma na kumpa salamu maalumu kutoka kwa Rais Paul Kagame.
Katika salamu hizo Rais Kagame kwanza ametoa pole kwa Rais Samia kufuatia kifo cha hayati Magufuli na pia amempongeza mama Samia kwa kupokea kijiti.
Pia Kagame amesisitiza kuwa miradi yote ya pamoja itatekelezwa ipasavyo ikiwemo ujenzi wa SGR.
Source: ITV habari!
Kwani na wewe ni lazima ucomment katika kila uzi?Kwani kila taarifa lazima upost?
Hii taarifa ilishaketwa jamvini mchana
Kuna fursa kaiona hivyo kaja kinyume uzuri Jk anamjua vizuriAlikuwa wapi siku zote
Nimekuta Jet ya RwandaAir oale airport Dodoma asubuhi leoUjumbe kutoka Rwanda leo umekutana na Rais Samia Ikulu Dodoma na kumpa salamu maalumu kutoka kwa Rais Paul Kagame.
Katika salamu hizo Rais Kagame kwanza ametoa pole kwa Rais Samia kufuatia kifo cha hayati Magufuli na pia amempongeza mama Samia kwa kupokea kijiti.
Pia Kagame amesisitiza kuwa miradi yote ya pamoja itatekelezwa ipasavyo ikiwemo ujenzi wa SGR.
Source: ITV habari!
Alikuwa wapi siku zote
Ujumbe kutoka Rwanda leo umekutana na Rais Samia Ikulu Dodoma na kumpa salamu maalumu kutoka kwa Rais Paul Kagame.
Katika salamu hizo Rais Kagame kwanza ametoa pole kwa Rais Samia kufuatia kifo cha hayati Magufuli na pia amempongeza mama Samia kwa kupokea kijiti.
Pia Kagame amesisitiza kuwa miradi yote ya pamoja itatekelezwa ipasavyo ikiwemo ujenzi wa SGR.
Source: ITV habari!
Huyu anatupa pole leo?mbona kama kachelewa sanaUjumbe kutoka Rwanda leo umekutana na Rais Samia Ikulu Dodoma na kumpa salamu maalumu kutoka kwa Rais Paul Kagame.
Katika salamu hizo Rais Kagame kwanza ametoa pole kwa Rais Samia kufuatia kifo cha hayati Magufuli na pia amempongeza mama Samia kwa kupokea kijiti.
Pia Kagame amesisitiza kuwa miradi yote ya pamoja itatekelezwa ipasavyo ikiwemo ujenzi wa SGR.
Source: ITV habari!
Lisu anapambana na Diamond kumbuka Diamond ameajiri maelfu ya watu huku Lisu akiwa hana legacy nchini na hata jimboni kwake alipowahi kuwa mbunge kwa miaka kumi.Lisu kwa sasa amefugwa na Amsterdam Ubelgiji.
mbona walitoa pole waliomboleza kama nchi na kushusha bendera kwa siku kadhaa hadi alipozikwaHuyu anatupa pole leo?mbona kama kachelewa sana