Rais Samia leo Juni 03 amepokea ujumbe maalumu kutoka kwa Rais Kagame wa Rwanda

Rais Samia leo Juni 03 amepokea ujumbe maalumu kutoka kwa Rais Kagame wa Rwanda

Kenya ndie rafiki wetu na ndugu zetu wa damu toka nitoke,pia Kenya ndio kimbilio la watz wengi kama first sehemu salama wakimbiao mkono wa chuma.Oscar Kambona,Lisu,Lema,Manji,Rostam,nk.
Walikuja kutuzika na wakashusha bendera.Rafiki wa kweli ni kwenye shida.
 
Kaaa mbali sana na PAKA ndie aliyempotosha mpita njia kisha akamtosa
Kipindi kile mwendazake akiwa Waziri akawa anawambia watu wapige mbizi baharini,alivyobomoa Petrol station ya Mwarabu Mwz serikali ikaishia kulipa fidia,alivyojigawia nyumba za serikali na mengineyo alikua anapotoshwa na nani?
 
Kenya ndie rafiki wetu na ndugu zetu wa damu toka nitoke,pia Kenya ndio kimbilio la watz wengi kama first sehemu salama wakimbiao mkono wa chuma.Oscar Kambona,Lisu,Lema,Manji,Rostam,nk.
Walikuja kutuzika na wakashusha bendera.Rafiki wa kweli ni kwenye shida.
Bendera mbona nchi zote za E/Africa zilishusha?

Kenya nakubali ni ndg zetu wa damu maana juzi mama alipotoka Kenya tu na Maziwa ya Brookside yanayomilikiwa na Kenyatta yanaingia bongo.,hahag

Hakika Hawa ni ndg zetu.
 
Kipindi kile mwendazake akiwa Waziri akawa anawambia watu wapige mbizi baharini,alivyobomoa Petrol station ya Mwarabu Mwz serikali ikaishia kulipa fidia,alivyojigawia nyumba za serikali na mengineyo alikua anapotoshwa na nani?
Moto ukikutana na petrol matokeo yake uwaje
 
Wasau wa JF,

Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan leo Juni 03 amepokea ujumbe maalumu kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Rwanda Mheshimiwa Paulo Kagame.

Katika ujumbe huo uliowasilishwa na Mjumbe maalumu Vincent Biruta ,Rais Kagame alitoa pole kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli , alimpongeza kwa kupokea kijiti cha Urais na pia alimuhakikishia kuwa Rwanda itaimarisha ushirikiano na Tanzania

Kazi Iendelee.

Wewe SSH be careful with this wolf PK he is an extremely dangerous and a notorious opportunist! Be ware! He did not attend a funeral to a diseased person who gave him his first visit, the person he publicly called a "brother". Chase this shit away!! it is of no use!
 
nashukuru SHS hamchekei kabisa PAKA, manake mwendazake alipoapishwa tu akaenda kujisubmit kwa paka, tukaishi maisha ya kutokuwa na furaha kama wanyarwanda, paka ni wa kukaa naye mbali sana na ni kiumbe ambaye tz tunatakiwa kumcontrol, ni kumfanyia kama alivyokuwa JK tu, I hope JK atakuwa amemshauri vyema mama kuhusu paka. hatufai na ana kiburi sana na ule ukatili anaowafanyia watu wake ndio uliosambaa kwetu hapa kwa miaka kadhaa iliyopita.
 
Safi, tuzidi kuimarisha mahusiano yetu na mataifa jirani.
Rwanda ni Jirani zetu na pia ni wadau wakubwa ktk mashirikiano ya kiuchumi.
Rwanda sio nchi muhimu sana kwetu kama zilivyo nyingine, hata tukiwaweka pembeni kwanza hatutaathirika sana. Jk amshauri mama amnyooshe PK, ni kiumbe wa ajabu sana ambaye nashukuru Jk alimshorosha.
 
Pamoja na kuwa kuhani hakuna kipindi maalum………..lakini muda wote huoooo!!!!? Au naye alikuwa anawaza kama MATAGA wengine walivyokuwa wanafikiri kuwa, baada ya MWENDAZAKE "kwenda zake",basi ndiyo mwisho wa TZ!?
hahahaha Mambo ni mengi sana....
 
Ujumbe kutoka Rwanda leo umekutana na Rais Samia Ikulu Dodoma na kumpa salamu maalumu kutoka kwa Rais Paul Kagame.

Katika salamu hizo Rais Kagame kwanza ametoa pole kwa Rais Samia kufuatia kifo cha Hayati Magufuli na pia amempongeza mama Samia kwa kupokea kijiti.

Pia Kagame amesisitiza kuwa miradi yote ya pamoja itatekelezwa ipasavyo ikiwemo ujenzi wa SGR.
 
Simpendi Kagame[emoji2959][emoji2959][emoji2959]
 
Wewe SSH be careful with this wolf PK he is an extremely dangerous and a notorious opportunist! Be ware! He did not attend a funeral to a diseased person who gave him his first visit, the person he publicly called a "brother". Chase this shit away!! it is of no use!

yamekuwa hayo tena kwa rafiki yetu kipenzi?
 
Back
Top Bottom