Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Kilo Tshs 10 itakuwa poa!Mpaka yafike Kagera yatauzwa Sh ngapi?
Tatizo tu tufikirie in big scale kwa maana ukisafirisha tani 10,000 ya makaa ya mawe kanda ya ziwa, bei itashuka sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kilo Tshs 10 itakuwa poa!Mpaka yafike Kagera yatauzwa Sh ngapi?
Soma maelezo ya Rais ,kasema sio swala la vuupu kama gas bali ni swala mtambuka so lianze na mapendekezo ya kisera kutoka kwa wadau then serikali itafanyia Kazi..Wananchi wa hali ya Chini ananufaikia vipi na hiyo nishati. au ni uzinduzi tu wa kongamano
Unasomea mafuta na gas Tanzania una akili timamu? Ni uarabuni huku au west Africa?View attachment 2403620
Wakati nimetoka kusoma post hii post ya chini yako nimekutana na hii 👆👆👆👆👆
Aaaah boss eb ntajie education level yako kabla hatujaanz mjadala maana 🤣🤣🤣🤣Unasomea mafuta na gas Tanzania una akili timamu? Ni uarabuni huku au west Africa?
Hivi Majiko ya makaa ya mawe yanapatikana wapi?Kilo Tshs 10 itakuwa poa!
Tatizo tu tufikirie in big scale kwa maana ukisafirisha tani 10,000 ya makaa ya mawe kanda ya ziwa, bei itashuka sana.
Morogoro wanachofanyia pale inasikitisha sana leo Moro ni joto jua kali utasema uko Singida huko wanakata hovyo miti na serikali ya mkoa wapo tu wanaona. Mji ulikuwa na hali ya hewa nzuri tu leo hakufai. Pwani ndio usiseme na viongozi wapo wa mkoa. Kuwe na sheria kali kulinda miti na vyanzo vya maji na hawa wanaojenda kiholela Dar na miji mingine kama hawatavunjiwa na fine juu hawataacha hakuna kuonea huruma watu wanaovunja sheria kwa makusudi na kuleta athari kubwa miaka ijayo.Dar 70% watumie ges asilia kupikia ziwekwe gas prepaid meters no Mkaa Dar. Pia Moro mjini Tuokoe Misitu ya Pwani na Morogoro. Vinginevyo we are doomed
Mbona vocha za bando wanapata, watu wanasema bora ukose pesa ya kula ila bando lazima.Pesa ya kununua gesi wanaitoa wapi?
Morogoro wanachofanyia pale inasikitisha sana leo Moro ni joto jua kali utasema uko Singida huko wanakata hovyo miti na serikali ya mkoa wapo tu wanaona. Mji ulikuwa na hali ya hewa nzuri tu leo hakufai. Pwani ndio usiseme na viongozi wapo wa mkoa. Kuwe na sheria kali kulinda miti na vyanzo vya maji na hawa wanaojenda kiholela Dar na miji mingine kama hawatavunjiwa na fine juu hawataacha hakuna kuonea huruma watu wanaovunja sheria kwa makusudi na kuleta athari kubwa miaka ijayo.
Hii nchi imelaaniwa siyo bureEwaaa acha watu washare keki ya taifa