Rais Samia: Mahabusu wengi kesi zao ni za kubambikwa, wenye hatia wanaachwa uraiani

Rais Samia: Mahabusu wengi kesi zao ni za kubambikwa, wenye hatia wanaachwa uraiani

Kumbe anaijua haki tatizo anaiogopa pale anapoona kuna dalili ya maslahi yake kuingiliwa, awaache wapinzani wafanye mikutano ya siasa kwani ndio haki yao, na asiwabambikie kesi wale wanaotoa maoni hasa kuhusu Katiba Mpya.
Hapo msumari wa moto
 
Hapo msumari wa moto
Penye jema acha tupongeze mkuu na penye baya natukosoe lakini kwa hili ulipaswa kupongeza

Kwenye swala la maendeleo hasa Yanayo gusa maisha ya watu wengi
TUnapaswa kuweka chuki binafsi pembeni

Mkuu jera watu Wana teseka Nisha fika kunamtu aliokota risasi akaenda kuipeleka police kama raia mwema Cha ajabu police waka mwambia aonyeshe na bunduki yake

Kuna watu wame kamatwa kwa kesi za uzurulaji wamefika police wakapewa murder case

Nahii si hadithi me mwenyewe nimeingia kule na kuya kuta haya ninayo kumbia hapa kwa kusingiziwa nilipoteza kazi nikaharibiwa Kila kitu

Nashukuru mungu nilishinda na nipo huru na kazini nime Rudi kwahiyo kwa hili huwezi kuelewa mpaka litakapo kufika kwa sisi yalio tukuta

Samia abarikiwe
 
Penye jema acha tupongeze mkuu na penye baya natukosoe lakini kwa hili ulipaswa kupongeza

Kwenye swala la maendeleo hasa Yanayo gusa maisha ya watu wengi
TUnapaswa kuweka chuki binafsi pembeni

Mkuu jera watu Wana teseka Nisha fika kunamtu aliokota risasi akaenda kuipeleka police kama raia mwema Cha ajabu police waka mwambia aonyeshe na bunduki yake

Kuna watu wame kamatwa kwa kesi za uzurulaji wamefika police wakapewa murder case

Nahii si hadithi me mwenyewe nimeingia kule na kuya kuta haya ninayo kumbia hapa kwa kusingiziwa nilipoteza kazi nikaharibiwa Kila kitu

Nashukuru mungu nilishinda na nipo huru na kazini nime Rudi kwahiyo kwa hili huwezi kuelewa mpaka litakapo kufika kwa sisi yalio tukuta

Samia abarikiwe
Sawa hata mimi sijapinga lakini hapo anaongea tu kwa nini hataki manadiliko ya kisheria na kimfumo ili kudhibiti hayo yasitokee na badala yake tusubiri tu huruma ya mtu?
 
Kingai alimbambikia kesi Mbowe na walinzi wake. Leo Kingai kapandishwa cheo na huhyu huyu Mama.

Hivi Mh Rais kwa mawazo yake, ana amini Kingai ata acha tabia ya kubambikia watu kesi kweli?
Unapo hitaji kumpa mtu nafasi ya kukusaidia nadhani una takiwa uwe na taarifa za utendaji wake.
Je inaweza kuwa hukujua ni Kingai gani una mpa cheo cha DPP?
Mkuu LESIRIAMU, kwenye utawala wa nchi, kuna vitu vingi vinatokea na kufanyika kwa idhini ya mkuu wa nchi lakini sio kwa utashi wake!, na kuna baadhi ya watendaji wa serikali wanafanya mambo ya ukatili wa ajabu, na kuonekana kama mashetani, kumbe ni walikuwa wanatekeleza maagizo.

Dunia nzima, maandamano yanadhibitiwa na anti riot police, FFU kwa kutumia tear gas na rubber billets, lakini kama kama uliwahi kusikia mauaji ya Soweto ya tarehe 16 mwezi wa 6 mwaka 1976, polisi wa Soweto, walitumia risasi za moto, waliwamiminia risasi za moto za kutosha waandamanaji na kuwauwa kadhaa!. Tukio kama hilo lilitokea pia nchini China, Tianman Squire.

Polisi wale walipewa amri ya shoot to kill kwa kuwaua baadhi ili kuwaogofya wengine na kuzima maandamano!. Hao walio uliwa wanakuwa sucrificed ili kuokoa nchi!.

Hata Yesu, aliteswa kusulubiwa hadi kifo msalabani bila kosa lolote, ila kwa kuteswa kwake, sisi tuliponywa!.

Hivyo hayo aliyoyafanya Kingai, usikute wala sio Kingai, ni maelekezo tuu, "wewe mbambikie kesi", kisha mtu atamsamehe, mtu na kuonekana ana huruma sana!. The movie was well acted, Kingai did a good job ya kustahili pongezi na kupandishwa cheo!, Mbowe hathubutu tena kuandamana!, nchi imetulia, inatawalika!.
Una buni tatizo, unalianzisha, unamtoa mtu kafara, unambakia kesi, unamsweka ndani muda wa kutosha, ananyooka kisha unatafuta solution, inchi inatulia!.

P
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema “Tulikuwa tunaangalia magereza yetu tukabaini waliofungwa na walio mahabusu idadi yao ni kama ilikuwa sawa, wengi wao ni kesi za kubambikwa ndio maana unakuta mtu yupo ndani miaka mitatu, haendi mahakamani, haulizwi na hakuna kesi ya maana.

“Tulichofanya ni kuwatoa magereza yakapata kupumua, msipofanya haki, mnapochukua rushwa kumtia mtu hatiani ambaye hana hatia na mwenye hatia mkamuacha nje anaendeleza ubabe akiamini pesa yake itambeba, ambaye hana hela anaishia jela.

“Usiangalie Duniani, umechukua fedha sawa, imekufanya umekuwa nani, imekufikisha wapi, matatizo yako ya Dunia yameisha, ni ushawishi tu wa akili, itendeeni haki sheria.”

Amesema hayo Novemba 24, 2022 alipokuwa akizungumza katika ufunguzi wa mkutano wa wanasheria wa 27 Afrika Mashariki unaofanyika Jijini Arusha.
Watanzania tuna bahati sana kua na Rais anaesimamia haki za wananchi na nchi pia
 
Nani anashituka kwa maneno hayo, kama ushahidi wa watu kubambikiwa kesi upo, na ushahidi kwamba wenye pesa wako nje, serikali imewachukulia hatua gani wahusika?
Swali zuri Sana🤝

Tunaomba majibu, toka kwa Rais Samia Suluhu Hassan
 
Ukweli ni kwamba watu wengi waliotenda makosa wanaachiwa huru kwa ile sentensi ya prove without reasonable doubt...kukosa ushahidi hapa tz ina maana mtu hajatenda kosa...katika jamii iliyojaa rushwa hao wezi matqjiri wataonekana hawana hatia kwa sababu ushahidi wa kuwatia hatiani bila shaka haupo....lakini watu wanajua ni wezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HSawa hata mimi sijapinga lakini hapo anaongea tu kwa nini hataki manadiliko ya kisheria na kimfumo ili kudhibiti hayo yasitokee na badala yake tusubiri tu huruma ya mtu?
Okey sawa mkuu nilikuwa na maanisha unge fanya hivi..

Kwamfano.Tunashukuru raisi kwa kuliona hiri mungu amjalie.lakini pia ninge shauri afanye mabadiliko ya kisheria na kimfumo ili kudhibiti hayo yasitokee

Kusudi tusisubili tu huruma ya mtu,

hapo mkuu ungekuwa umefanya vitu viwili kwa wakati mmoja
Kwanza umempongeza raisi kwa kazi nzuri.

Pili unakuwa umetoa ushauri ambao una weza kuliokoa taifa Kama utafanyiwa kazi mkuu

Lakini yote kwa yote Katiba inatutesa mkuu. tuombe mungu raisi alione hili na si alione tu. Hapana alifanyie kazi.

Mwisho nikushukuru mkuu kwa hekima na busara na namna unavyo jibu kwa busara ahsante
 
Back
Top Bottom