Kwa hiyo tutegemee huu mgao wa umeme mpk mwakani mwezi 3
aSerious kweli B mkubwa hivi anajua nchi kwa siku hizi chache tumeathirika KIUCHUMI kiasi gani

Ama hakika UISLAM ulisena kweli
Mwanamke kila kitu atapewa DALAJA LA KWANZA au wazungu wanasema LADIES FIRST
lkn ukakata katukatu MWANAMKE KUWA KIONGOZI

ama hakik TANZANIA tumepigwa
 
Kampuni inafanya vizuri ndani ya kampuni inayofanya vibaya kwa nje..kuna kizuri hapo???kuna uzuri gani unaofanyika na sub-contractors ndani ambao bado hata hivyo umeshindwa kuiondoa TTCL hapo ilipo..
 
Tatizo la teuzi za kishikaji bila kufanya vetting haya ndiyo matokeo yake mtu kabla hata hajaanza kazi anatumbuliwa.
 
Jipya la kuteua na kutengua kila siku!!!
Hiyo mitambo tuliambiwa na January inakarabatiwa bado tu!!!!
Huelewi maana ya Reconciliation, Resilience, Reform na Rebuilding.

Sikushangai.

Leo mama kwenye kuapisha wateuzi wake kayaonesha yote hayo kwa vitendo, kwa wenye uelewa.
 
Sasa ni kipi ambacho Nape alikua akishangilia Maharagwe kupelekwa TTCL? Si anatakiwa na yeye Nape apigwe chini kwa kushindwa kumshauri rais?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…