hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Sasa hapa mambo ya CHADEMA na mada yangu wapi na wapi?
Wapi nimetaja chadema?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hapa mambo ya CHADEMA na mada yangu wapi na wapi?
Ukizungumzia Mbowe kuwa Rais unamaanisha nini? Sio kila anaekosoa serkali lazima awe CHADEMA! Binadamu lazima uwe na utashi hata kama ni mtu wa chama chako anafanya ujinga lazima umwambie ukweli!Wapi nimetaja chadema?
Delete mbowe weka lipumba basi haya tuendeleeUkizungumzia Mbowe kuwa Rais unamaanisha nini? Sio kila anaekosoa serkali lazima awe CHADEMA! Binadamu lazima uwe na utashi hata kama ni mtu wa chama chako anafanya ujinga lazima umwambie ukweli!
Umeme unakatika wapi?Kama unapenda aendelee kuwa waziri sasa unaweza kumbadilisha vizara ila kwa wizara ya nishati kusema kweli ni changamoto kubwa:
Watu wanalia kila kukicha lakini wewe kuna uwezekano hupati taarifa sahihi,ila naomba ujue hali sio nzuri!
Gharama za maisha zimepanda watu wa ofisi ndogondogo kama za saloon na maduka ya vivywaji, kuchomelea, gereji n.k wanaumia sana na kukatika kwa umeme na hii hali inawafanya warudi nyuma!
Kibaya zaidi kumekuwa na ngonjera nyinyi na vizingizio visivyoisha kila kukicha matatizo!
Jana amepeleka waandishi wa habari kwenye bwawa na mwl Nyerere sasa kitu kizuri ila mtaani performance yake bado ni ndogo!
Mimi sina chuki na Makamba ila kwenye nishati kapwaya mbadilishie wizara!.
Asanteh
kwani kuna kipindi gani au Cha kiongozi gani umeme haujawai kukatika? Acheni majungu yenu!Kama unapenda aendelee kuwa waziri sasa unaweza kumbadilisha vizara ila kwa wizara ya nishati kusema kweli ni changamoto kubwa:
Watu wanalia kila kukicha lakini wewe kuna uwezekano hupati taarifa sahihi,ila naomba ujue hali sio nzuri!
Gharama za maisha zimepanda watu wa ofisi ndogondogo kama za saloon na maduka ya vivywaji, kuchomelea, gereji n.k wanaumia sana na kukatika kwa umeme na hii hali inawafanya warudi nyuma!
Kibaya zaidi kumekuwa na ngonjera nyinyi na vizingizio visivyoisha kila kukicha matatizo!
Jana amepeleka waandishi wa habari kwenye bwawa na mwl Nyerere sasa kitu kizuri ila mtaani performance yake bado ni ndogo!
Mimi sina chuki na Makamba ila kwenye nishati kapwaya mbadilishie wizara!.
Asanteh
Samia kashawajua mna chuki na January, amewapuuzaUkweli msiotaka kuusikia ni kwamba ama mmeshindwa kwa sababu ya uwezo mdogo (uzoefu na taaluma) ama mmewadharau Watanzania, hivyo mnawapandia mtakavyo. Your days are numbered!
Haya ngoja aendelee kuupiga mwingi!Ni kweli wizara hii haimfai inamfaa Kwa kulamba asali zaidi kuliko ufanisi wa kazi. Ila acha aendelee maana ndio bahati yake
Niko hapa hapa Tanzania umeme unakatika kwa sababu maalumUko Africa tena east Africa then unalalamika kukatika umeme hahaha mbona unachekesha!
Waacheni watotoRidhiwani, Nape na Makamba ndio jicho la awamu hii,
Kupiga kelele kuhusiana nao ni kupoteza nguvu.
Unauliza jibu?Kwamba ndio watakuwa marais wastaafu miaka ijayo?
Hapa Africa karibu Nchi zote zenye uchumi mkubwa (ukiacha za North Africa) zina matatizo ya kukatika umeme .Hata ww ukiwa waziri wa hiyo wizara shida itakuwa pale pale,
Tuache malalamiko asubuh asubuh, uko Africa tena third world countries unapiga kelele umeme unakatika?
Hilo la pili ndio jibuUkweli msiotaka kuusikia ni kwamba ama mmeshindwa kwa sababu ya uwezo mdogo (uzoefu na taaluma) ama mmewadharau Watanzania, hivyo mnawapandia mtakavyo. Your days are numbered!
Niko hapa hapa Tanzania umeme unakatika kwa sababu maalum
Temeke gani?Temeke tabu tupu
Mawaziri vijana wawili, nishati na fedha wanaichafua taswira ya urais wa sa100.Kama unapenda aendelee kuwa waziri sasa unaweza kumbadilisha vizara ila kwa wizara ya nishati kusema kweli ni changamoto kubwa:
Watu wanalia kila kukicha lakini wewe kuna uwezekano hupati taarifa sahihi,ila naomba ujue hali sio nzuri!
Gharama za maisha zimepanda watu wa ofisi ndogondogo kama za saloon na maduka ya vivywaji, kuchomelea, gereji n.k wanaumia sana na kukatika kwa umeme na hii hali inawafanya warudi nyuma!
Kibaya zaidi kumekuwa na ngonjera nyinyi na vizingizio visivyoisha kila kukicha matatizo!
Jana amepeleka waandishi wa habari kwenye bwawa na mwl Nyerere sasa kitu kizuri ila mtaani performance yake bado ni ndogo!
Mimi sina chuki na Makamba ila kwenye nishati kapwaya mbadilishie wizara!.
Asanteh
Ukijua nani alimweka nani madarakani, hutasema tena kwamba wanamchafua. Chui jike hawezi kusingizia eti anachafuliwa kwa damu ya swala aliyemwinda na kumrarua mwenyewe. Are you dreaming?Mawaziri vijana wawili, nishati na fedha wanaichafua taswira ya urais wa sa100.
Pia tujikite kudai KATIBA mpya itokanayo na RASIMU alosimamia Judge WARIOBA kabla haujaingia Bunge la Katiba.
Ameeeen.
Namaanisha mkubwa hakosei, km unatunza record vizuri, Mzee wa mamvi aliwajibika kumfunika Mzee wa msoga asichafuke Kwa tuhuma zilikuwa zinaelekezwa kwake.Ukijua nani alimweka nani madarakani, hutasema tena kwamba wanamchafua. Chui jike hawezi kusingizia eti anachafuliwa kwa damu ya swala aliyemwinda na kumrarua mwenyewe. Are you dreaming?