Rais Samia: Makamba kwenye nishati atakufelisha! Umeme unakatika mno!

Rais Samia: Makamba kwenye nishati atakufelisha! Umeme unakatika mno!

Lete solutions tusikie, Jf tujadili, usilete siasa Tu na mambo ya kuhisi bila fact, hapa sio Facebook au Badoo
Usifikiri wote JF tunaishi Dar pia Mimi sio mwana siasa najibu kile naweza kujibu hata ukikuta nimejibu ya siasa, narudia sisi tuna umeme na ukikatika lazima itakuwa NI nchi nzima au mikoa kadhaa au NI tatizo la tulipo baada ya muda tutelezwa sababu tu.
 
Kama unapenda aendelee kuwa waziri sasa unaweza kumbadilisha vizara ila kwa wizara ya nishati kusema kweli ni changamoto kubwa:

Watu wanalia kila kukicha lakini wewe kuna uwezekano hupati taarifa sahihi,ila naomba ujue hali sio nzuri!

Gharama za maisha zimepanda watu wa ofisi ndogondogo kama za saloon na maduka ya vivywaji, kuchomelea, gereji n.k wanaumia sana na kukatika kwa umeme na hii hali inawafanya warudi nyuma!

Kibaya zaidi kumekuwa na ngonjera nyinyi na vizingizio visivyoisha kila kukicha matatizo!
Jana amepeleka waandishi wa habari kwenye bwawa na mwl Nyerere sasa kitu kizuri ila mtaani performance yake bado ni ndogo!

Mimi sina chuki na Makamba ila kwenye nishati kapwaya mbadilishie wizara!.

Asanteh
Ndugu mteja!

Tafadhali tujulishe ni eneo gani na Wilaya ipi kuna changamoto husika, tafadhali onesha na namba yako ya simu kwa hatua zaidi

Tupo kukusikiliza na kukuhudumia


Ahsante
 
Back
Top Bottom