Rais Samia: Mashtaka dhidi ya Mbowe sidhani kama yamechochewa kisiasa. Natamani kukutana na Wapinzani

Rais Samia: Mashtaka dhidi ya Mbowe sidhani kama yamechochewa kisiasa. Natamani kukutana na Wapinzani

Kama kesi ya ugaidi dhidi ya Mbowe alikuwepo mahakamani tangu mwaka Jana kabla ya uchaguzi, Umoja wa Mataifa na watetezi wa haki za binadamu wanasubiri nini kuitangaza Tanzania kuwa nchi inayoongoza duniani kwa "Ustaarabu wa Kijinai?"
Maana hakuna nchi duniani ambayo ingeweza kumwacha anatamba mitaani mtuhumiwa mkuu wa votendo vya ugaidi na kuua viongozi. Yaani tuseme viongozi wa Tanzania walikuwa tayari wauawe na GAIDI huku wakichekelea lakini hawako tayari kuona Mtanzania akienda mahakamani kusikiliza kesi dhidi ya GAIDI huyo? Inachukua mwaka mzima kumkamata GAIDI lakini haiishi hata sekunde kumkamata mwananchi aliyekwenda Kisutu kusikiliza kesi dhidi ya GAIDI huyo?
UN, Amnesty nk mnaionea gere Tanzania, itangazeni mara moja kuwa nchi bora katika Ustaarabu wa kijinai.
Serikali inachukua hatua ya kumkamata mtu hasa kwa kesi kubwa kama hizo za ugaidi baada ya kujiridhisha sana na matokeo ya uchunguji. Ukiona Mbowe amekamatwa jua kuna ushahidi wa kutosha. Yeye mwenyewe Mbowe anajua ukweli. Unashangaa kuchukua mwaka kumkamata gaidi. Marekani iliwachukua miaka mingapi kumtia Hosama bin Laden mikononi na hatimaye kumuua? Serikali inaendelea kuchunguja wote wanaojihusisha na vitendo vya hujumu huchumi na ugaidi. Jihadhari usiwe ukawa ni miongoni mwa wanaochunguzwa au ndugu zako wengine
 
'" Askari wetu huwa awakosei shabaha"
"Lisu alijipiga mwenyewe risasi"
Vipi unahitaji degree hapa
 
Serikali inachukua hatua ya kumkamata mtu hasa kwa kesi kubwa kama hizo za ugaidi baada ya kujiridhisha sana na matokeo ya uchunguji. Ukiona Mbowe amekamatwa jua kuna ushahidi wa kutosha. Yeye mwenyewe Mbowe anajua ukweli. Unashangaa kuchukua mwaka kumkamata gaidi. Marekani iliwachukua miaka mingapi kumtia Hosama bin Laden mikononi na hatimaye kumuua? Serikali inaendelea kuchunguja wote wanaojihusisha na vitendo vya hujumu huchumi na ugaidi. Jihadhari usiwe ukawa ni miongoni mwa wanaochunguzwa au ndugu zako wengine
Alivyowindwa miaka tuhuma tu asingekuwa uraiani, achilia kukamilika kwa ushahidi.
Tuhuma tu angesingekuwa uraiani.
 
Kama kesi ya ugaidi dhidi ya Mbowe alikuwepo mahakamani tangu mwaka Jana kabla ya uchaguzi, Umoja wa Mataifa na watetezi wa haki za binadamu wanasubiri nini kuitangaza Tanzania kuwa nchi inayoongoza duniani kwa "Ustaarabu wa Kijinai?"
Maana hakuna nchi duniani ambayo ingeweza kumwacha anatamba mitaani mtuhumiwa mkuu wa votendo vya ugaidi na kuua viongozi. Yaani tuseme viongozi wa Tanzania walikuwa tayari wauawe na GAIDI huku wakichekelea lakini hawako tayari kuona Mtanzania akienda mahakamani kusikiliza kesi dhidi ya GAIDI huyo? Inachukua mwaka mzima kumkamata GAIDI lakini haiishi hata sekunde kumkamata mwananchi aliyekwenda Kisutu kusikiliza kesi dhidi ya GAIDI huyo?
UN, Amnesty nk mnaionea gere Tanzania, itangazeni mara moja kuwa nchi bora katika Ustaarabu wa kijinai.
Amefunguliwa kesi juzi ila uchunguzi dhidi yake ulikuwepo toka mwaka jana
 
Mama kajamba mbele ya watoto Sasa wanashindwa kucheka ila wanabaki wanashangaa kumbe mama anajambaga 🤣🤣 ila wale watoto wengine wanabaki kusifu eti ananukia vizuri huku wameziba pua wamegeukia pembeni 🤣🤣
Mpishi anapika naona kaacha samaki ajikaange kwa mafuta yake Sasa sijui ndio namna yake ya mapishi au alikua anakwepa lawama ataonekana kaunguza samaki ndio maana hata hakumgeuza alimuacha arukeruke
 
Wakuu, nadhani wote tunakumbuka Nini kilijiri katika mahojiano ya mwenye nchi na Salimu Kikeke.

Lakin Kuna sintofahamu kuwa hata mpelelezi wa kesi hii hafahamu kuwa Mh.Mbowe alichelewa kukamatwa kwa sababu alikimbia nje ya nchi!

Sasa hizi habari Rais alizitoa wapi?

Haiwezekani akaitwa ili kuisaidia Mahakama kuuondoa utata huu?
 
Itaenda picha yake na ile ngao ya bibi na bwana,
...... Mamndenyi yatakushinda...
 
Wazo zuri sana, ila sidhani kama litatimia, nakumbuka Mkapa aliwahi kwenda kutoa ushahidi mahakamani kwa ajili ya Mahalu lakini ilikuwa ni baada ya kumaliza muda wake wa uongozi.

Hili taifa letu linatakiwa kuwa la uwajibikaji kwa namna hii ya wazo lako, ili kuwafanya viongozi wasijiamulie chochote cha kusema au kufanya pasipo kuwa na taarifa sahihi.

Kwenye maswali ya Kibatala leo kuna mahali alimuuliza shahidi wa jamhuri kama anafahamu kuhusu hii kauli aliyoitoa Rais akiwa BBC, shahidi akasema sio kazi yake kujibu hilo swali.

Jaji akaingilia kati akamwambia Kibatala shahidi amekuja mahakamani kutoa ushahidi wa kesi yeye kama yeye, sio kama muwakilishi wa serikali, kama ikihitajika kufanya hivyo itabidi awepo muwakilishi toka serikalini kwa ajili hiyo na wataruhusiwa na mahakama kumuita shahidi wa aina hiyo, Kibatala akamwambia jaji sawa, alifanya hivyo ili kuweka record sawa.
 
Sheria [katiba] inamlinda kushitakiwa yeye binafsi kwa makosa ya jinai anapokuwa na hata atakapokuwa ametoka madarakani...

Hii ya kuwa shahidi, hakuna sheria inayomlinda labda kwa hofu tu mahakama imwogope yenyewe kumuita na kumtaka asimame mahakamani kutoa ushahidi maana ushahidi wake ni muhimu sana ktk kesi hii kwa ajili ya haki ya mtu...

Kinyume chake ni kuwa, kama mahakama itakataa kumwita, hii maana yake kesi yote inakuwa haina maana na kwa lugha rahisi kabisa Freeman Mbowe na wenzake watakuwa huru immediately from that moment...!

NB: Hii ndio sababu ya kelele za watu kutaka kesi hii ifutwe mara moja kwa kuwa, hii kiuhalisia na kisheria ni SIYO KESI bali ni mkakati mbaya na wa hatari, wenye gharama kubwa kwa nchi, wa kisiasa wenye nia OVU kumkomoa na kumuumiza Freeman Mbowe kwa sababu tu ya misimamo yake ya kisiasa inayokinzana kwa mbali na watawala wa CCM walafi wa madaraka...!
 
Labda katiba mpya ipatikane ndo anaweza kusimama mahakamani....ila saivi vyoooote anamiliki yeye Chief hangaya
 
Back
Top Bottom