Rais Samia mfute kazi Waziri Mkenda; anakuchafua nje ndani

Baadhi ya watu linapotokea jambo huchukulia kama nwanya wa kutapika chuki zao dhidi ya mtu au ndio fursa kwao ya kuchomekea au kupigia debe jambo ambalo hapo awali kabla ya tukio wasingeweza mfano huyu mtoa mada hapa. Maoni yako hayawezi kuwa ndio uwe msimamo wa waziri . Waziri anaongozwa na sheria katika utendaji wakw wa kazi sio jazba. Waziri ametia adhabu kulingana na ukubwa wa kosa na wale watumishi wa serikali amewasimamisha kazi na amesema watafukuzwa kazi ikibidi sasa wewe bado kwako unaona axhabu ni ndogo halqfu unataka maoni yako ndiyo yawe agizo la kufutwa kazi waziri!
 
Huyu Bibi mwenyewe ajiuzulu tu. Viongozi wasio maono wanalizamisha hili taifa.
 
Imeniuma jana bundle la mwez internet la 20k kutoka GB 12 sasa 9
 
Punguza mihemko.yaani watoto wengine wakose elimu kwasababu ya ujinga wa watu wachache kwenye mtihani.Udanganyifu kwenye mitihani uko kila mahali nchi hii tatizo nikwamba hayo matukio hayaripotiwi.Suluhisho sio kufungia shule wala kuondoa waziri bali kuangalia nikwanini tunafikia hatua yakudanganya kwenye mitihani.Tutatue chanzo cha tatizo badala ya matokeo ya tatizo.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Tuliza kalio unisome vizuri wewe mama; usihemke bila sababu. Ndiyo maana hii kesi nimeipeleka kwa Rais moja kwa moja au ulitaka niiliete kwa basha wako wee mbwa pori?
Rais gani anaweza kusikiliza ujinga wako wa hivyo?.Unaona ni vitu rahisi rahisi vyakujikurupukia tu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kiufupi hiyo shule itaporomoka vilivyo kwa sasa, naamini Januari itakuwa nadra sana mzazi kumpeleka mwanaye hapo
Sio kwa wananchi wa hii nchi.hadi december tutakua tumeshasahau kila kitu.Ni wananchi wachache wanaowaza mambo kama hayo.ata hivyo adhabu ikishatolewa kwa wahusika shule bado itaendelea kutoa elimu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Prof huyu ni profesor kweli hayumbishwi
Hata akiwa wizara ya kilimo na katibu mkuu maliasili jamaa yuuko very strickly
 
Kwenye sakata hili ndio Riziwan alikuja kwa kasi sana kama vile kutaka kuisafisha Chalinze Modern Islamic, tunamtaka aandike tena andiko kama alivyoandika siku Iptisam anatoa malalamiko yake
 
Waziri ameshasema wahusika watachukuliwa hatua za kisheria.
Sasa ndiyo aachie shule iendelee kupiga kazi kuna waalimu kibao wapo kitaa wanasikilizia mchongo Kama huu, maana hao wanaotemeshwa mapengo yao lazima yazibwe kazi iindeleee!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Sasa ndiyo aachie shule iendelee kupiga kazi kuna waalimu kibao wapo kitaa wanasikilizia mchongo Kama huu, maana hao wanaotemeshwa mapengo yao lazima yazibwe kazi iindeleee!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Je Waziri wa Mambo ya ndani akikuta kuna udanganyifu kituo Cha police uliofanywa na police wachache, inamaana atakifunga hicho kituo Cha police!!!??

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo shule itakufa kifo cha kawaida kabisa bila hata serikali kuipiga nyundo. Mwakani wazazi watahamisha watoto wao na hakuna mzazi mwenye akili atapelekea mwanae hapo
 
Mama akimfuta uwqziri ndio uteuliwe wewe. Ni adhabu ndogo umepima kwa mizania gani?.. waziri kafanya kam alivyoshauri na kamati iliyopewa jukumu la kifuatilia tuhumu sasa ukitaka yeye atangaze nafunga shule, shule si itabadili jina na kusajili kwa jina lingine, au afungie majengo.serikali ni kichuguu waliofanya udanganyifu watasubiri AU tatu kama walivyoapa siku ya kiapo kuwa waadilifu.
 
haoni kuwa uamuzi alioutoa ni sahihi sababu ukiifuta shule kungewaathili wanafunzi wengi zaidi lkn kwa kutumia busara kaamua kufunga kituo.mtoa uzi ana mihemuko na anaonekana hata akipewa kitongoji hawezi kukiendesha.
 
Nadhani hii ndio mbinu ilikuwa inatumika kufaulu watoto wa baadhi ya walimu kupitia migongo ya vipanga masikini
 
Kwenye sakata hili ndio Riziwan alikuja kwa kasi sana kama vile kutaka kuisafisha Chalinze Modern Islamic, tunamtaka aandike tena andiko kama alivyoandika siku Iptisam anatoa malalamiko yake
Hebu tupia huo utetezi wake ili nasi tuchambue pumba na mchele vinginevyo utamwonea Waziri.
 
Pia nape amtoe tunapigwa tukiweka vocha sh 100 unaambiwa kuna huduma ulijiunga ambavyosiokweli nape achia wizara tafadhali nakuomba
Hii ni kweli kabisa hata mimi vodacom wamenikata sh 20,000 eti nilikopa kwao. Na siku hizi hata wameondoa mazungumzo ya moja kwa moja "customer care"
 
Nihatari kaka ndio maana magu alimpiga chini jamaa atatuuwa huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…