Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Adhabu iliyotolewa ni ndogo sana. Walimu wanaovujisha mitihani tu hufungwa jela sembuse hawa waliobadilisha namba za watahiniwa eti wanafutwa kazi tu bila kufungwa jela. Inasikitisha sana.Tambua kuwa baraza la mitihani la Tanzania,kwa sheria iliyolianzisha,ya mwaka 1973;Ni chombo chenye mamlaka kamili na sheria zake nyingi haziathiriwi na taasisi zingine.
Hivyo adhabu hii iliyotolewa ndiyo adhabu sahihi kulingana na uzito wa kosa.