Bora useme ww watu wana mihemuko.Unajua madhara ya mamba mkubwa hivyo kuroam freely?
Bora nchi imepata mapato na mamba kauwawa, siku zake zilikua zinahesabika na angeuwawa bure kabisa. BTW hunting is legal in TZ.
Muwindaji ametembelea mamba wote Tanzania? Kuwa makini na kazi ni kupima ukubwa wa kila mamba?Kama hawajulikani maana yake watu hawako makini na Kazi zao !!
Kuhusu muwindaji kujigamba ni kwamba yule ni kazi yake ile hivyo alichokisema ana uhakika !!
Wale sio kama sisi tunaopenda sifa za uongo uongo !!
Maana anajua dunia imeshasikia na itafuatilia !!
Sio kweli, mihemko ya wabongo tu. Huyo mamba angekufa anywayWatu hawako seriously na kazi zao ndio maana hawafahamu vitu vya namna hiyo !!
Umemuona mamba mwenyewe kwenye YouTube ?Muwindaji ametembelea mamba wote Tanzania? Kuwa makini na kazi ni kupima ukubwa wa kila mamba?
Kwa akili yako, kipi ambacho kinatakiwa kuwindwa au kuvunwa? Mamba mzee aliyeishi miaka mingi au mamba wadogo wanaokua?Umemuona mamba mwenyewe kwenye YouTube ?
Ni mamba kweri kweri !!
Lakini ndo ameshakufa !!
Bad luck Mungu alishaamua iwe hivyo 😅😅 ! Kama kawaida yetu kutoa majibu mepesi kwenye maswali magumu !! 🙏🙏
Hahusiki ni mgeni Wizara hiyo !!Ila sijui kapewa lini Wizara hii?
Mamba yeyote yule anapaswa kuvunwa isipokuwa tu yule mkubwa kuliko wote Duniani !!Kwa akili yako, kipi ambacho kinatakiwa kuwindwa au kuvunwa? Mamba mzee aliyeishi miaka mingi au mamba wadogo wanaokua?
I meant wanaokosoa !Mamba yeyote yule anapaswa kuvunwa isipokuwa tu yule mkubwa kuliko wote Duniani !!
Huyo angekuwa ni moja ya attractions kubwa kwenye utalii. !!
Ni vyema tukawa tunakubali kukosoana ili tupige hatua zaidi !!
Akili ya wengine hudhani kila anayekosea ni wa Chama cha Upinzani !
Sisi wengine hatuna Chama ni Raia wema tu na tunajulikana japo tunatumia fake ID 🪪 😅🙏🙏
Ukiomuona amekua mkubwa hivyo jua amekaribia siku zake za mwisho, so ni bora kuwindwa akafaidisha taifaMamba yeyote yule anapaswa kuvunwa isipokuwa tu yule mkubwa kuliko wote Duniani !!
Huyo angekuwa ni moja ya attractions kubwa kwenye utalii. !!
Ni vyema tukawa tunakubali kukosoana ili tupige hatua zaidi !!
Akili ya wengine hudhani kila anayekosea ni wa Chama cha Upinzani !
Sisi wengine hatuna Chama ni Raia wema tu na tunajulikana japo tunatumia fake ID 🪪 😅🙏🙏
Nyama ya mamba ni tamu sana Kwa sisi tulio wai kula..Unajua madhara ya mamba mkubwa hivyo kuroam freely?
Bora nchi imepata mapato na mamba kauwawa, siku zake zilikua zinahesabika na angeuwawa bure kabisa. BTW hunting is legal in TZ.
Enzi za Jasiri Dr Slaa haya mambo ya Mamba mkubwa kuliko wote Duniani kuuawa yangeibuliwa Mapema Sana ila hii Chadema ya sasa yote imevimbewa inaachilia hewa nzito nzito tu
Yesu akasema ole wenu mnaocheka sasa maana baadae mtalia
Mheshimiwa George SIMBACHAWENE ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na MazingiraHahusiki ni mgeni Wizara hiyo !!
Wale wa kule site ndio walitakiwa wajue yupo mamba mkubwa kuliko wote Duniani na kwamba hapaswi kuuawa !
🙏🙏 Nashukuru kwa ufafanuzi huo !!Mheshimiwa George SIMBACHAWENE ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira
Ushauri wangu hili achaneni nalo mrudi kwenye lile ambalo Waziri wenu aliwaingizieni Chupa watanzania kwenye sehemu ya kupitishia haja kubwa.Tazama kwanza Mama huyu akipelekwa kwenda kutumikia kifungo Cha miaka 22 kwa kosa la kukutwa na vipande 12 vya nyama ya swala miezi miwili iliyopita.
NB- tuzingatie na kutafakari pia wawindaji waliomuua mamba wamepigwa marufuku kufanya uwindaji nchini kwao.
Sasa twende kwenye tukio lilisambaa duniani kutokea Tanzania kwa mzungu kuua mamba mwenye umri wa zaidi ya miaka 100.
Mzungu huyu ameonekana akiwa na maafisa wa wanyama pori akifurahia kumuua mamba mkubwa mwenye urefu zaidi ya mita 4 ndani ya hifadhi moja wapo ya Taifa.
Huu ni uhujumu wa makusudi ambae umefadhiliwa na vyombo vya dola (maafisa wa hifadhi kwani kazi ya kumuwinda mamba mkubwa kama huyo na hatimae kumuua na kuanza kumburuta na kumfunga abebwe sio jambo la siri na clips zimeenea mitandaoni na dunia nzima.
Mzungu husika akamatwe kama ndugu zetu na jamaa wanavuokamatwa hata kwa kukutwa na vipande vya nyama tu ya kitoweo cha familia.
Waziri husika nae aachie ngazi, ikiwa watu wanafikia hadi kufanya ujangiri wa kuhujumu uchumi huku wanalindwa na vyombo vya dola na wakijitajgaza wazi wazi, je vungapi hatuoni ambavyo ni zaidi ya hivi?
===
Raia mmoja wa Kizungu anayejiita Bowmarbow hunting ameonekana mitandaoni akitrend kwa kujisifu kuua Mamba mkubwa zaidi kutoka Tanzania.
Kupitia Instagram yake ameandika kuwa ameingia kwenye rekodi ya kuua Mamba mkubwa zaidi.
Ameandika haya;
“PENDING NEW WORLD RECORD CROC with a bow. This monstrous crocodile measured in at an astounding 16’ 3”! Making him the largest croc in history to ever be harvest with a bow and arrow. The best part is, he’s a 100% wild & 100% free ranging croc in the wilds of Tanzania, which is not how most of the WRs are shot in Africa.
This hunt was beyond incredible to say the least, I can’t wait to share it with you all! The footage we captured was some of our best and this is by far the biggest animal ever shot with a beast_broadheads at 25 yards with an 84lb bow and only a 530 gr arrow it buried through his armor and went all the way up to the fletching.
Just a crazy testament to the lethality of the head.
PSA: As for the Broadheads, next week we’ll be opening them back up for you everyone again A thank you all for your patience with being sold out”
Je, ni sahihi kwa Wanyama kama hawa kuuawa kiholela kwa ajili ya kuweka Rekodi?
Bongo 5
Pia soma = Mzungu ana nyaraka zote za kumruhusu kuwinda Mamba, TAWA wamkamate waone!
Wewe ni mkenya ama mtutsi?!!Ushauri wangu hili achaneni nalo mrudi kwenye lile ambalo Waziri wenu aliwaingizieni Chupa watanzania kwenye sehemu ya kupitishia haja kubwa.