Rais Samia, mfute kazi Waziri wa Maliasili na Utalii, mzungu naye akamatwe na kushtakiwa kwa uhujumu uchumi

Muache mihemuko, haya ndiyo mafanikio ya Royal Tour Tanzania.

Mnyama maji mamba wamezidi kuwa wengi hivyo ni vizuri kuvunwa kwa kupitia utalii wa uwindaji.

Kubwa ni kuibeba stori hii kwa mizania inayostahili badala ya kucheza ngoma ya mabeberu au washindani wetu katika utalii makini wa kuwinda kupunguza idadi kubwa ya mamba na kuhakikisha wananchi wanakuwa salama pia kuwepo kizazi endelevu cha mamba ili utalii huu pia uwe wa manufaa kwa nchi na dunia kwa ujumla.

Stori hii ibebwe kwa umakini wa kusapoti Royal tour Tanzania, na habari hii haina uhasi/ negativity kwa utalii bali dunia ieleweshwe na kupewa taarifa sahihi na kupromoti maliasili hii adimu.
We heard a lot about how a good story can have a disappointing ending, but can a bad story have a good written ending?
ShowTime” is down! This two year journey has came to a beautiful end

Explore Our Hunting Regions


BOTSWANA
MOZAMBIQUE
NAMIBIA
SOUTH AFRICA
UGANDA
ZIMBABWE

Africa is home to all the dangerous and big game species​

Big Game Hunting in Africa | Chapungu-Kambako Safaris


Watafutwe waandishi wa habari nguli na watu wa PR Public Relations wajibu hii story kwa lugha zote wa watalii wetu Kiingereza, Kijerumani, Kiarabu, KiHispania n.k ili iishie kuwa ni habari njema kwa utalii wa Tanzania kwa kuwapa elimu walimwengu kuwa mamba wamezidi kupita kiasi Tanzania hivyo kuvunwa kwa kupitia uwindaji ni jambo jema kwa Tanzania na wale watalii wawindaji.
 
Ila mamba wanaua Watanzania maskini wanaohemea maji na dagaa.
Hupigi kelele.
Mwaka 2022/2023 Lindi pekee imepoteza Watanzania wengi kwa kuuliwa na tembo na serikali imeishia kutoa pole ya milioni 1 tu kwa familia zao.
Wauawe tu angalau wapungue kwa usalama wa Watanzania.
 
Cheki kwanza na mamlaka husika, yawezekana ana vibali halali vya kuwinda.

Kwani wataalamu wa wanyama pori wanasemaje kuhusu eco system?
 
Watakuambia kuwa huo ni uvunaji wa wanyamapori..... Hakuna kesi hapo.
 
Punguza mihemko.mnyama anayetolewa vibali vyakuwindwa ni aliyekomaa,sasa unashangaa nini mamba mkubwa kuwindwa,au ulitaka wawinde mtoto?..Kwasababu sio kwamba yuko huyo peke yake nchi nzoma,wako wengi ila yeye anazungumzia rekodi ya aliyewindwa.Jambo jingine ni kwamba kwenye hifadhi za taifa hakuwindwi.mambo mengine kabla yakuleta mihemko mitandaoni pata muda wakujielimisha kwanza.
 
Kuwinda mamba sio kosa lakini tungejiwekea mipaka kwamba wawindwe mamba wenye ukubwa fulani huyo asingetakiwa kuguswa wala kusogea eneo alipo au makazi yake yote sasa tunasifia royo tua wakati ndugu zetu waongoza watalii wanakiri kwamba hakuna kilichoongezeka tena data zinapikwa mbaya mno labda mafanikio ya royo tua ni kuonyesha mabeberu sehemu gani nzuri waje waimiliki.....
 
leo kuna mtu kakamatwa na 3tons za madawa kigamboni huko.

Goli liko wazi, Nchi imefunguka sasa.
Sasa kaama goli liko wazi ni vipi mtu huyo kakamatwa!? Ukiwa mkosoaji kosoa kwa usawa,hoja yako ingekuwa na nguvu ikiwa mtu huyo wa kilo 3K asingekamatwa
 
Ujuaji ni mwingi sana bongo.Tena ujuaji wakijinga.
 
Hili nalo mkalitazame

Angekua mTanzania angebinywa mbupu na praizi mpaka mayai ya mule ndani yapasuke ila kwa sababu ni mdhungu amekuja kuweka rekodi hatujui tumfanye nini
 
Tanzania tuna uwindaji wa kitalii na ndio inayoingiza pesa nyingi kwenye sekta ya utalii.Hapo hakuna kosa lolote liliotendeka kila kinachofanyika hufanyika kwa uwazi na kihalali,ndo maana mmeona game scout wapo.Za kuambiwa changanya na zako,trophy hunting inafanyika nchi nyingi barani Afrika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…