Genio the great
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 298
- 842
Sijui umeelewa alichoongea mkuu ,unafahamu maana ya kibali? Unajua kama Kuna watu wanamiliki bastora Kwa kibali maalumu, ?Kwa akili yako ya kawaida,kumuua mamba kama huyo kwenye hifadhi ni sawa?!! Unaweza kukadiria imechukua miaka mingapi mpaka akawa na ukubwa huo?!!
Kama angebaki na akajengewa eneo maalumu kwa ajili ya watu kwenda kumuona ingekua ni hasara kwa Taifa ama faida zaidi?!! Baada ya huyo kuuliwa,kuna wengine wenye ukubwa huo?!! Kama wapo,nao hawatauliwa?!! Aliemuua anaenda mfanyia nini?!!!! Hicho anachoenda kukifanyia- Taifa linanufaikaje?!!
Tuache kutetea upuuzi na uharibifu wa Mali asili
Unaonaga raia Wanakamatwa Kwa kuua wanyama pori kiholela lakini Kwa kibali wanaruhusiwa unakwenda unalipia unachotaka kufanya kama unashida na nyama ya swala unalipia hiko kibali unakwenda kuwinda kulingana na gharama na idadi ya kibali ukicholipia kwahyo huwez jua yamkini ameua akiwa na kibali hakukurupuka ?
Unaanza kuuliza faida Gani inapatikana Kwani lengo la kuweka kibali ni nini si Ili iingize foreign currency/ pesa za ndani kawaida ambayo ndio yanakuza Pato la taifa au unajua mbuga za wanyama na hifadhi Kwa ujumla zipo kwaajili ya kuwaangalia wanyama tu ?
Na Inshort huyo mzungu sio mjinga aue bila kibali halaf apost world wide, Kaa ukijua atakuwa kapata kibali Kwa mamlaka husika hawakurupuki kufanya vitu hao.