Rais Samia, mfute kazi Waziri wa Maliasili na Utalii, mzungu naye akamatwe na kushtakiwa kwa uhujumu uchumi

Rais Samia, mfute kazi Waziri wa Maliasili na Utalii, mzungu naye akamatwe na kushtakiwa kwa uhujumu uchumi

Tazama kwanza Mama huyu akipelekwa kwenda kutumikia kifungo Cha miaka 22 kwa kosa la kukutwa na vipande 12 vya nyama ya swala miezi miwili iliyopita.
View attachment 2854918
Sasa twende kwenye tukio lilisambaa duniani kutokea Tanzania kwa mzungu kuua mamba mwenye umri wa zaidi ya miaka 100.
Mzungu huyu ameonekana akiwa na maafisa wa wanyama pori akifurahia kumuua mamba mkubwa mwenye urefu zaidi ya mita 4 ndani ya hifadhi moja wapo ya Taifa.

Huu ni uhujumu wa makusudi ambae umefadhiliwa na vyombo vya dola (maafisa wa hifadhi kwani kazi ya kumuwinda mamba mkubwa kama huyo na hatimae kumuua na kuanza kumburuta na kumfunga abebwe sio jambo la siri na clips zimeenea mitandaoni na dunia nzima.

Mzungu husika akamatwe kama ndugu zetu na jamaa wanavuokamatwa hata kwa kukutwa na vipande vya nyama tu ya kitoweo cha familia.

Waziri husika nae aachie ngazi, ikiwa watu wanafikia hadi kufanya ujangiri wa kuhujumu uchumi huku wanalindwa na vyombo vya dola na wakijitajgaza wazi wazi, je vungapi hatuoni ambavyo ni zaidi ya hivi?



===

Raia mmoja wa Kizungu anayejiita Bowmarbow hunting ameonekana mitandaoni akitrend kwa kujisifu kuua Mamba mkubwa zaidi kutoka Tanzania.

Kupitia Instagram yake ameandika kuwa ameingia kwenye rekodi ya kuua Mamba mkubwa zaidi.

Ameandika haya;

“PENDING NEW WORLD RECORD CROC with a bow. This monstrous crocodile measured in at an astounding 16’ 3”! Making him the largest croc in history to ever be harvest with a bow and arrow. The best part is, he’s a 100% wild & 100% free ranging croc in the wilds of Tanzania, which is not how most of the WRs are shot in Africa.

This hunt was beyond incredible to say the least, I can’t wait to share it with you all! The footage we captured was some of our best and this is by far the biggest animal ever shot with a beast_broadheads at 25 yards with an 84lb bow and only a 530 gr arrow it buried through his armor and went all the way up to the fletching.

Just a crazy testament to the lethality of the head.

PSA: As for the Broadheads, next week we’ll be opening them back up for you everyone again A thank you all for your patience with being sold out”

Je, ni sahihi kwa Wanyama kama hawa kuuawa kiholela kwa ajili ya kuweka Rekodi?

Bongo 5

Mpaka sasa sidhani yule mama aliyefungwa kwa kukutwa na nyama ya swala kuwa yuko kifungoni ; kama Mama Abdul aliona story hii nadhani atakuwa amemuachia huru! It does not make any sense kutoa hukumu ya kijinga kama hiyo.
 
Mpaka sasa sidhani yule mama aliyefungwa kwa kukutwa na nyama ya swala kuwa yuko kifungoni ; kama Mama Abdul aliona story hii nadhani atakuwa amemuachia huru! It does not make any sense kutoa hukumu ya kijinga kama hiyo.

Bado yupo kifungoni Mkuu,UWT chini ya Jokate walitoa maelezo ya propaganda tu kua watamsaidia kisheria!!
 
Daaah!!!
Unajiona unajua Sana 🤣🤣🤣🤣 nijicheke maana huna u GT hata kidunchu.. kisa forum upo upo tu..

Sasa hao si uwaulize moderators au?
Nime claim u GT saangapi Coco?

Sijawahi kuwa GT najijua. ila nakufahamu bana wewe mLumumba
 
Tazama kwanza Mama huyu akipelekwa kwenda kutumikia kifungo Cha miaka 22 kwa kosa la kukutwa na vipande 12 vya nyama ya swala miezi miwili iliyopita.
View attachment 2854918
Sasa twende kwenye tukio lilisambaa duniani kutokea Tanzania kwa mzungu kuua mamba mwenye umri wa zaidi ya miaka 100.
Mzungu huyu ameonekana akiwa na maafisa wa wanyama pori akifurahia kumuua mamba mkubwa mwenye urefu zaidi ya mita 4 ndani ya hifadhi moja wapo ya Taifa.

Huu ni uhujumu wa makusudi ambae umefadhiliwa na vyombo vya dola (maafisa wa hifadhi kwani kazi ya kumuwinda mamba mkubwa kama huyo na hatimae kumuua na kuanza kumburuta na kumfunga abebwe sio jambo la siri na clips zimeenea mitandaoni na dunia nzima.

Mzungu husika akamatwe kama ndugu zetu na jamaa wanavuokamatwa hata kwa kukutwa na vipande vya nyama tu ya kitoweo cha familia.

Waziri husika nae aachie ngazi, ikiwa watu wanafikia hadi kufanya ujangiri wa kuhujumu uchumi huku wanalindwa na vyombo vya dola na wakijitajgaza wazi wazi, je vungapi hatuoni ambavyo ni zaidi ya hivi?



===

Raia mmoja wa Kizungu anayejiita Bowmarbow hunting ameonekana mitandaoni akitrend kwa kujisifu kuua Mamba mkubwa zaidi kutoka Tanzania.

Kupitia Instagram yake ameandika kuwa ameingia kwenye rekodi ya kuua Mamba mkubwa zaidi.

Ameandika haya;

“PENDING NEW WORLD RECORD CROC with a bow. This monstrous crocodile measured in at an astounding 16’ 3”! Making him the largest croc in history to ever be harvest with a bow and arrow. The best part is, he’s a 100% wild & 100% free ranging croc in the wilds of Tanzania, which is not how most of the WRs are shot in Africa.

This hunt was beyond incredible to say the least, I can’t wait to share it with you all! The footage we captured was some of our best and this is by far the biggest animal ever shot with a beast_broadheads at 25 yards with an 84lb bow and only a 530 gr arrow it buried through his armor and went all the way up to the fletching.

Just a crazy testament to the lethality of the head.

PSA: As for the Broadheads, next week we’ll be opening them back up for you everyone again A thank you all for your patience with being sold out”

Je, ni sahihi kwa Wanyama kama hawa kuuawa kiholela kwa ajili ya kuweka Rekodi?

Bongo 5
Naunga mkono simbachawene afutwe kaxi
 
Kwa akili yako ya kawaida,kumuua mamba kama huyo kwenye hifadhi ni sawa?!! Unaweza kukadiria imechukua miaka mingapi mpaka akawa na ukubwa huo?!!

Kama angebaki na akajengewa eneo maalumu kwa ajili ya watu kwenda kumuona ingekua ni hasara kwa Taifa ama faida zaidi?!! Baada ya huyo kuuliwa,kuna wengine wenye ukubwa huo?!! Kama wapo,nao hawatauliwa?!! Aliemuua anaenda mfanyia nini?!!!! Hicho anachoenda kukifanyia- Taifa linanufaikaje?!!

Tuache kutetea upuuzi na uharibifu wa Mali asili

Unajua hii nchi ina idadi gani ya mamba na wangapi wamefika ukubwa huo?
Una data zozote kuhusu record ya idadi ya mamba nchini wenye ukubwa huo?
 
Tazama kwanza Mama huyu akipelekwa kwenda kutumikia kifungo Cha miaka 22 kwa kosa la kukutwa na vipande 12 vya nyama ya swala miezi miwili iliyopita.
View attachment 2854918
Sasa twende kwenye tukio lilisambaa duniani kutokea Tanzania kwa mzungu kuua mamba mwenye umri wa zaidi ya miaka 100.
Mzungu huyu ameonekana akiwa na maafisa wa wanyama pori akifurahia kumuua mamba mkubwa mwenye urefu zaidi ya mita 4 ndani ya hifadhi moja wapo ya Taifa.

Huu ni uhujumu wa makusudi ambae umefadhiliwa na vyombo vya dola (maafisa wa hifadhi kwani kazi ya kumuwinda mamba mkubwa kama huyo na hatimae kumuua na kuanza kumburuta na kumfunga abebwe sio jambo la siri na clips zimeenea mitandaoni na dunia nzima.

Mzungu husika akamatwe kama ndugu zetu na jamaa wanavuokamatwa hata kwa kukutwa na vipande vya nyama tu ya kitoweo cha familia.

Waziri husika nae aachie ngazi, ikiwa watu wanafikia hadi kufanya ujangiri wa kuhujumu uchumi huku wanalindwa na vyombo vya dola na wakijitajgaza wazi wazi, je vungapi hatuoni ambavyo ni zaidi ya hivi?



===

Raia mmoja wa Kizungu anayejiita Bowmarbow hunting ameonekana mitandaoni akitrend kwa kujisifu kuua Mamba mkubwa zaidi kutoka Tanzania.

Kupitia Instagram yake ameandika kuwa ameingia kwenye rekodi ya kuua Mamba mkubwa zaidi.

Ameandika haya;

“PENDING NEW WORLD RECORD CROC with a bow. This monstrous crocodile measured in at an astounding 16’ 3”! Making him the largest croc in history to ever be harvest with a bow and arrow. The best part is, he’s a 100% wild & 100% free ranging croc in the wilds of Tanzania, which is not how most of the WRs are shot in Africa.

This hunt was beyond incredible to say the least, I can’t wait to share it with you all! The footage we captured was some of our best and this is by far the biggest animal ever shot with a beast_broadheads at 25 yards with an 84lb bow and only a 530 gr arrow it buried through his armor and went all the way up to the fletching.

Just a crazy testament to the lethality of the head.

PSA: As for the Broadheads, next week we’ll be opening them back up for you everyone again A thank you all for your patience with being sold out”

Je, ni sahihi kwa Wanyama kama hawa kuuawa kiholela kwa ajili ya kuweka Rekodi?

Bongo 5

Hamna mahali waziri kahujumu uchumi. Sometimes tusome sheria za uwindaji zinasemaje.
Huyu kalipia kibali kabisa, akiwa na asilimia 100, ndio maana kawa assisted na askari wa mamlaka husika.
Kama taratibu na sheria za uwindaji zinavyosema.

Waziri aliyepo hakutunga na kupitisha sheria za uwindaji.

Tofauti na mama yetu , ambae probably hausiki na uwindaji moja kwa moja lakini amekutwa na nyama kinyume na taratibu.

Swali je? Kuna shida gani mwananchi wa kawaida kufuata taratibu za mamlaka kwenye uwindaji?
 
Tusijidanganye kwamba ameamua kumuua huyo mamba bıla ya kuwa na kibali.huyu alichokifanya kibaya ni kutokuwa na roho ya kujali hasa mazingira na miaka ambayo huyo mnyama ameishi leo unakatiza uhai wake kwa ukatili kisa ni kibali unacho,huu ni ukatili japo hawezi fanywa lolote maana amepewa kibali.

Waliotoa kibali ndio wenye control. Mgeni si wa kulaumu
Isitoshe tz ina idadi kubwa ya mamba. You have no idea mamba wakubwa kiasi hiko wako kiasi gani. Maana si mmoja tu
 
Kwa kweli mimi ninachoona tatizo ninaliona gari letu tuna tatizo la dereva na wala sio matairi na vioo.
 
Unajua hii nchi ina idadi gani ya mamba na wangapi wamefika ukubwa huo?
Una data zozote kuhusu record ya idadi ya mamba nchini wenye ukubwa huo?

Unaweza kuweka hapa idadi ya mamba wenye umri wa miaka 100 kama huyu?!!

Kwa akili yako,kumuua kwa malipo ya dola 3000 na kuendelea kumtunza, kipi ni bora kwa Taifa?!
 
Labda aña vibali.....asikilizwe kabla kukurupukaa.....mamba wako wengi sana...ukiomba kibali na kulipia unaua tuu wapungue
Tuanzie hapa kwanza: Kwenye Hifadhi za Taifa unaruhusiwa kuwinda? Sheria inasemaje?
 
Kwa akili yako ya kawaida,kumuua mamba kama huyo kwenye hifadhi ni sawa?!! Unaweza kukadiria imechukua miaka mingapi mpaka akawa na ukubwa huo?!!

Kama angebaki na akajengewa eneo maalumu kwa ajili ya watu kwenda kumuona ingekua ni hasara kwa Taifa ama faida zaidi?!! Baada ya huyo kuuliwa,kuna wengine wenye ukubwa huo?!! Kama wapo,nao hawatauliwa?!! Aliemuua anaenda mfanyia nini?!!!! Hicho anachoenda kukifanyia- Taifa linanufaikaje?!!

Tuache kutetea upuuzi na uharibifu wa Mali asili
Linchi letu limefikia huko wazee twendeni nalo tu hatuna watu wa kulinda maliasili zetu tena. People ziko busy kupiga pesa tu, kulinda watawala, kulamba asali na kushindana kwenye uchawa.

Nchi iko kwenye auto pilot acha ijiendee tu mpaka akili itakapotukaa sawa sijui ni lini.
 
Mnatoa kibali cha uwindaji na uuaji, unatoa askari wa kuambatana na muwindaji kwenda kushuhudia mauaji, unaweka fedha kibindoni kwa siri, kisha unataka CDM wafanye nini!?

Bwashee dalili za ugonjwa uliokuwa nao, rejea maoni ya Dkt. Janabi hivi karibuni.
 
Enzi za Jasiri Dr Slaa haya mambo ya Mamba mkubwa kuliko wote Duniani kuuwawa yangeibuliwa Mapema Sana ila hii Chadema ya sasa yote imevimbewa inaachilia hewa nzito nzito tu

Yesu akasema ole wenu mnaocheka sasa maana baadae mtalia
Nchi hii hakuna upinzanii ni upuuzii mtupu huu ndio ukwelii mchungu wapo kimaslahii Yao tuu,,wao kitu kikubwa kwao ni katiba nzurii ambayo itawapa urahisii wa kushinda uchaguzii,trust me hata upinzanii wakipewaa serikalii bado mambo yatabakii yaleyale mifano ipo mingi kwenye nchi za kiafrika wapinzani walipochukua serikalii mambo yalibakii kuwa vile vile kiufupii Afrika tumelaaniwa,ni wabinafsii hatuna akilii na hili la kuwindwa kwa mamba mkubwa kama huyo inadhihirisha wazi Waafrika tulivyo hatuna akilii.
 
Back
Top Bottom